Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,452
- 2,197
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaitiwa baswata huku mkuu!Tangu kutokea msiba wake sifa lukuki zimekuwa zikitolewa kuhusu maisha na kazi zake ambazo nyingi ni za kweli. Lakini kama tujuavyo hakuna binadamu aliye mkamilifu hivyo ukitaka kumuelezea mtu halisi lazima na upande wa mapungufu yake uyagusie.
Kwangu mimi Ruge licha sifa zote , hakuwa mfano wa kuigwa kwa maisha ya kijana na nitaeleza sababu zaangu.
Ruge amefariki akiwa na umri wa miaka 49 lakini hakuwa na maisha ya familia, kwa maana ya mke na watoto.
Ameishi maisha ya kihuni yasiyofaa kuigwa kwa vijana wanaotafuta kuishi vizuri. Ruge angekuwa ni mtu aliyefanikiwa kimaisha, msiba wake ungekuwa nyumbani kwake na sio kwa wazazi wake.
Vijana wengi alioibua vipaji vyao japo wengi wamefanikiwa kupata pesa lakini wengi wao wanaishi maisha ya kihuni.
Ndoa zao zimeshindikana na wamekuwa watu wa kuonyesha vitendo vya aibu katika jamii. Hili nalo naweza kulihusisha na Ruge kwani mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake.
Zipo pia tetesi kuwa hata pale Clouds wafanyakazi wengi wanajihusisha na vitendo vya kishoga na kwa msemo wa kiswahili kuwa lisemwalo lipo, huenda likawa na ukweli ndani yake na Ruge akawa ni sehemu ya jamii hiyo.
Nimalize tu kwa kusema Ruge amejitahidi katika sehemu moja ya maisha na kufanikiwa, kiuchumi, ila upande wa pili wa maisha , kimaadili, hakufanikiwa hata kidogo.
Kama binadamu mwenye imani kiasi, namwombea kwa muumba wake aipumzishe roho yake mahali zinakopumzishwa roho zote , Amen
Aliyeoa ndo mwenye mawazo haya lkn kama hujaoa unaona kuoa ni mtindo wa kisasa.Aisee nimesoma baadhi ya maoni humu ndani pamoja na hoja yako mtoa mada nimegundua humu ndani wengi wazito sana kufikiri
Kwani hivi kuoa na kua na familia ni lazima?? Na usipooa ndio unakua mfano mbaya kwa jamii?? Tujifunze kwa wenzetu bana mbona watu kibao matajiri na mashuhuri dunia hii hawajaoa kuoa me naona sio lazima kila mtu abaki vipaumbele vyake familia yenyewe mbona unaeza ipata tu bila ndoa sasa kwanini ujibebeshe zigo la misumari
Idd Amin, Hitler,Antonio Norriega,n.k hawasemwi???????
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Hii apple yako ni feki mbona haijang'atwa? 😁😁😁😁
Kwani alikuwa kaumu ya Nabii LUTTU? Tujuzane ukweli mkuuHakuna kinachoweza kudumu milele ila Mungu pekee, media imemkuza sana kuliko alivyostahili. Sioni makubwa aliyoyafanya zaidi ya kuinua vipaji vichache vya mashoga na wahuni kadhaa
Mod mpe heshima marehemu kwa kuacha kupost maoni ya haters. Mwacheni apumzike kwa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la Msingi Ruge alipokuwa anakaa masaki ni kwake au alipanga?Nyumba bila mke inapwaya!
Penye msiba watu wanakula, wanakunywa !
Mfano hata mnahitaji vifaa flani mtajua vinakaaga wapi humo ndani?
Ama mtamuuliza nani? Na mwenyewe ndo huyo hayupo?!
Nazani amesema hana nyumba akimaanisha kuwa hakuwa na mke/familia !
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wakati Nandy alikula promo moja pale mawingu isiyo ya kawaida.Hivi niulize Yule Nandy ni mmoja wa wanafamilia ya mutahaba au ni mmoja ya wajane?
Maana karemjee alikua ndani ukimbini akiwa ameketi sehemu ya familiyana Amelia sana hata kushindwa kuimba hii imeleta utata
Sent using Jamii Forums mobile app
Nandy kajitakia nini ?Huyo ni kujitakia
Sio bbc ni wa dw
Akicheza anaweza asiipate tena ndo mana analia sana mana kabebwa sanaKuna wakati Nandy alikula promo moja pale mawingu isiyo ya kawaida.
Ila si amefunguliwa dunia yake kuwa anavyotakaAkicheza anaweza asiipate tena ndo mana analia sana mana kabebwa sana
Dah! Tunasafari ndefu sana. Ndio maana kuna watu wanafurahia Lisu kupigwa risasi na kunyimwa matibabu.Inatakiwa ufungwe jela maana umetoa bandiko linaloudhi watu. Wewe jifikirie had rais kaumia kwa kifo cha ruge wewe ni nan usiumie nawaagiza polisi ufungwe jela maana hujaumia kwa kifo cha Mwana ccm ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi niulize Yule Nandy ni mmoja wa wanafamilia ya mutahaba au ni mmoja ya wajane?
Maana karemjee alikua ndani ukimbini akiwa ameketi sehemu ya familiyana Amelia sana hata kushindwa kuimba hii imeleta utata
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu kutokea msiba wake sifa lukuki zimekuwa zikitolewa kuhusu maisha na kazi zake ambazo nyingi ni za kweli. Lakini kama tujuavyo hakuna binadamu aliye mkamilifu hivyo ukitaka kumuelezea mtu halisi lazima na upande wa mapungufu yake uyagusie.
Kwangu mimi Ruge licha sifa zote , hakuwa mfano wa kuigwa kwa maisha ya kijana na nitaeleza sababu zaangu.
Ruge amefariki akiwa na umri wa miaka 49 lakini hakuwa na maisha ya familia, kwa maana ya mke na watoto.
Ameishi maisha ya kihuni yasiyofaa kuigwa kwa vijana wanaotafuta kuishi vizuri. Ruge angekuwa ni mtu aliyefanikiwa kimaisha, msiba wake ungekuwa nyumbani kwake na sio kwa wazazi wake.
Vijana wengi alioibua vipaji vyao japo wengi wamefanikiwa kupata pesa lakini wengi wao wanaishi maisha ya kihuni.
Ndoa zao zimeshindikana na wamekuwa watu wa kuonyesha vitendo vya aibu katika jamii. Hili nalo naweza kulihusisha na Ruge kwani mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake.
Zipo pia tetesi kuwa hata pale Clouds wafanyakazi wengi wanajihusisha na vitendo vya kishoga na kwa msemo wa kiswahili kuwa lisemwalo lipo, huenda likawa na ukweli ndani yake na Ruge akawa ni sehemu ya jamii hiyo.
Nimalize tu kwa kusema Ruge amejitahidi katika sehemu moja ya maisha na kufanikiwa, kiuchumi, ila upande wa pili wa maisha , kimaadili, hakufanikiwa hata kidogo.
Kama binadamu mwenye imani kiasi, namwombea kwa muumba wake aipumzishe roho yake mahali zinakopumzishwa roho zote , Amen
ushaachwa na dunia weweOrodhesha majina matano na kuelezea historia zao kwa ufupi.
Gulwa hoja yako ni ya msingi sana. Ni ukweli usiopingika yapo mambo mazito ambayo hatupendi kuwa wakweli kuhusu upande wa pili wa huyu ndugu... Ukiangalia kwa undani upande wa pili 'leaves a lot to be desired' Mtu ambaye ana umri huo hana hata familia unajiuliza anawezaje kuwa role model? Watu wengi wanashabikia mambo bila kutafakari kwa undani. Hatuwezi kumhukumu maana hiyo ni kazi ya Mungu lakini ukiangalia hao vijana aliowasaidia wengi hawana msingi imara kama kiongozi wao alivyokua