Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuoa ndio jambo la msingi kwakoEti jamaa wanamwita modal wao wakati hata familia tu hakuwa nayo, ukweli ni kuwa alikuwa anaishi kihuni full stop
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana kiumbo na ki lifestyle aka mzee kijanaSema mimi nashangaa jambo moja eti wanauita kijana? Kijana gani ana miaka 49?
Acha ujinga Tena nakuonya acha ujinga rais ni binadam sema ye anamamlaka kila mmoja anajisikia anavyo hisi raisi akilia unataka wote tulie wengine watacheka jifunze sanaInatakiwa ufungwe jela maana umetoa bandiko linaloudhi watu. Wewe jifikirie had rais kaumia kwa kifo cha ruge wewe ni nan usiumie nawaagiza polisi ufungwe jela maana hujaumia kwa kifo cha Mwana ccm ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
anybody can do what he did...and maybe worse than him....Mimi ni shuhuda kidogo wa hayo yasemwayo na ruge mutahaba japo sina ushahidi wa moja kwa moja, nina mdogo wangu yeye ni mwanamuziki amefanya juhudi sana kuzurula kuifuata Fiesta na kusahau shule sasa basi grand finale ya 2016 ndipo akaniambia Bro aisee hawa majamaa sio wameniomba "Nyuma" ndio nitoboe kimziki naombeni tu nirudi shule nilicheka sana na kuona dogo anatafuta gia ya kuhurumiwa arudi shule.
.
Sasa baada ya Dudu kuanza kueleza hayo hadharani nikaanza kuona kidogo hili jambo yawezekana lina uhalisia fulani kuna msanii yupo THT jina namuhifadhi bado ni mchanga sana anasema Wadada warembo wote wa pale kapitiaaa mzee marehemu. "Sina ushahidi wa moja kwa moja ila ndivyo yanavyosemekana"
kuoa ndio jambo la msingi kwako
Asante Sana👊👊👊👊Ruge alikuwa mtu mwenye mawazo huru. Na watu wengi wa jamii yake sio wafuata mkumbo. Eti kwa kuwa wanaume wengi huwa wanaoa wakifikisha umri fulani basi na yeye aige. Watu wengi wenye mawazo huru wamefanikiwa sana kimaisha (si lazima kifedha) na wanaishi kwa terms zao. Wewe ukiona kuoa ni lazima oa ila usitake kila mwanaume aoe akifikisha umri fulani.
Pumba**fu waheed mkubwa wewe, ndo nyie kuunga mkono uzalendo kutoa kasoro beberu!Marehemu hasemwi, kama una mabaya yake kaa kimya na kama una mazuri yake sema.. hatufanyi vyema kwa kutangaza mabaya ya watu
Wewe mwenye familia umeisaidia nini nchi zaidi ya KUNYA na KUJAMBA hovyo tu.Eti jamaa wanamwita modal wao wakati hata familia tu hakuwa nayo, ukweli ni kuwa alikuwa anaishi kihuni full stop
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais ana maadili gani?Inatakiwa ufungwe jela maana umetoa bandiko linaloudhi watu. Wewe jifikirie had rais kaumia kwa kifo cha ruge wewe ni nan usiumie nawaagiza polisi ufungwe jela maana hujaumia kwa kifo cha Mwana ccm ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaha........ ana bahati walimuomba.... angezubaa wangemnyang'anya nyuma kwa nguvu.Mimi ni shuhuda kidogo wa hayo yasemwayo na ruge mutahaba japo sina ushahidi wa moja kwa moja, nina mdogo wangu yeye ni mwanamuziki amefanya juhudi sana kuzurula kuifuata Fiesta na kusahau shule sasa basi grand finale ya 2016 ndipo akaniambia Bro aisee hawa majamaa sio wameniomba "Nyuma" ndio nitoboe kimziki naombeni tu nirudi shule nilicheka sana na kuona dogo anatafuta gia ya kuhurumiwa arudi shule.
.
Sasa baada ya Dudu kuanza kueleza hayo hadharani nikaanza kuona kidogo hili jambo yawezekana lina uhalisia fulani kuna msanii yupo THT jina namuhifadhi bado ni mchanga sana anasema Wadada warembo wote wa pale kapitiaaa mzee marehemu. "Sina ushahidi wa moja kwa moja ila ndivyo yanavyosemekana"
Kuna sehemu kavunja katiba ya nchi..Anafaa sanaMkuu sina maana hiyo, lakini je anafaa/afatwe kuongoza jamii ya kitanzania kuishi maisha kama aliyoishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona umchafue marehemu na kazi kubwa aliyofanya kusaidia watanzania na Tanzania.Asante Sana[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]