RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu

hawa wapigwe hata spana mwaka mzima.

"wapinzani watetereke" by Chuchu sijui Zuchu
 
Nchi inaongozwa na washamba washamba Sana kuna uchi gani hapo?
 
Nilishangaa sana multichoice kuziondoa ITV na Start TV kwenye king'amuzi chao (binafsi naamini yale yalikua maelekezo kutoka nanilii) halafu wakaiweka Wasafi TV; nilishangaa sana yaani
 
Hao TCRA itabidi wapunguziwe mamlaka, itakuwa wanatumika tu na washindani wa kibiashara wa watu.

Miezi sita as if wametangaza kupindua serikali.

Hizo ni ajira za watu na ni uwekezaji pia lazima adhabu zizingatie na hayo.
Upo sahihi ila hizi television zinaupumbavu mwingi sana,wengine watajifunza
 
Wana
wanyoosha balaa raia. Wakiiba sh.100 kwa wateja million 2 tu washarudisha hela zao.
Na Target kubwa ya hizo regulatory authorities siku hizi imekuwa ni kukusanya pesa, siyo kuboresha ay kusimamia huduma. Ni mwendo wa kuviziana tu, ukosee uliwe.

Nchi hii ndio maana watu wanakwepa kodi maana issue siyo kodi tu.

Siku hizi kila kitaasisi kinakusanya pesa.

1. TCRA

2. TARURA
3. NEMC .
4. TMDA
5. Serikali za mitaa

6. TRA

7. TCCIA ( Hawa wanachukupesa za Kurusha drone 🤓🤓

8. Halmashauri
9. TBS
10. Traffic Polisi

11. DPP




Na CCM hawajakufuata kutembeza bakuli la shughuli za chama na michango ya mwenge
 
Hawa Wasafi dizain flani kama walitaka kuleta mazoea hivi. Au walizani....
kisa walimpigia mheshimiwa kampeni, ndo wakivunja sheria wasishughulikiwe?
Hii ndo serikali ya chuma a.k.a mwamba ukizingua lazma uketishwe kwenye kuti la moto bila ya kujali ulifanya nini na wee ni nani
Waliipenda wenyewe chaguo lao milele na wavimbe wa pasuke TCRA mbele kwa mbele
Mitano Tena.
 
Japo ni adhabu nzuri lakini haikustahili.
Maana hapo kuna ajira za watu wengi pamoja na mapato yanapotea kwao.
Bora wangewapa adhabu ya kuwafungia hata kwa mda mchache au kutoa faini au vyote kwa pamoja.
Ila si kwa miezi yote hiyo.
Nitarudi...
 
Hao TCRA itabidi wapunguziwe mamlaka, itakuwa wanatumika tu na washindani wa kibiashara wa watu.

Miezi sita as if wametangaza kupindua serikali.

Hizo ni ajira za watu na ni uwekezaji pia lazima adhabu zizingatie na hayo.
mkuu hata mimi ninashangaa cjui hii nchi inaongozwa na watu aina gan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…