Rupia: Hazina ya Mjerumani

Rupia: Hazina ya Mjerumani

i was once involved with wht i kol "rupia and mercury corn artists.

....... kwnz rupia yenyewe niliifata hko Lushoto Milimani mwaka 2009 na huyo babu alikua anataka 15m in exchange ya hyo rupia......

tatzo ilikua sio pesa koz aliejiita mteja alitoa dau la 400m, ila hayo masharti tuliopewa ndio kiboko halaf hayaishi.

mara uchinje ng'ombe wa matambiko, mara ukachome mishumaa 52 baharini, mara usisafiri jumanne ..........etc

inshort am dealin with gems for a livin lakini we don't have any rituals........ nw y rupia?

i stand strong to tell all jf members nt to engage in dis staff........ unaeza geuka mganga at the end of the day

Hiyo conclusion yako kiongozi imenifurahisha Sana.
 
mkuu maeneo yapo mengi sana sehemu zingine nsizijui ila kama ukijiingiza katika hiyo ishu utakutana na jamaa kibao ambao kila kukicha mtakuwa mnagundua maeneo but kwa uzoefu wangu na kwa muda niliojihusishaga na hayo mambo sijawahi ona mtanzania katoa mali za wajerumani sehem walizozificha zaidi ya kumuona Lena na wajerumani wengine wanaokujaga tz kutoa refer post ya chakalikamkopo hapo juu,wengi wa watu huishia kutapeliwa,kufa na kufirisika huku wakitafuta hizo mali lakini hawapati,na unatakiwa kuzingatia kuwa ON YOUR WAY kwenda kutoa hazina ya mjerumani kuna 'DEALTH TRAP' kwa kiswahili ningesema MITEGO YA KIFO hasa kwa hazina zilizofukiwa ardhini,mfano ni PROXIMITY BOMBS,WIRE FUSED BOMBS,CABON CHAMBERS(VOIDS),MERCURY,ACIDY,MASHETANI,MAJI, NK ....so wao wakati wakiwa wanatoa huwa wanajua SAFE entry positions ambazo huwezi ukajua hadi uwe na ramani origina ya huyo aliyedesign hilo shimo,labda kwa kuongezea katika post ya chakalikamkopo nikwamba Nyerere alipokwendaga marekani immediately baada ya kupata uhuru kilichompeleka huko ni kwenda kuomba msaada wa ujenzi wa reli tokea DAR ES SALAAM hadi KAPIRI MPOSHI lakini wengi hawajui nikuwa ile trip ilikuja baada ya wanakijiji fulani wakishirikiana na baadhi ya maafisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati huo walimkamata mjerumani mmoja ambaye alikutwa katokea katika pori la seluu akiwa na baadhi ya madini na baadhi ya ramani! sasa nikwamba katika pori la seluu ukiingilia KIBITI mkoani pwani takribani km kama 200 hivi kuna boma la zamani sana la mjerumani ambalo inasemekana mjerumani huyo alitokea hapo sasa kitu ambacho ni interested nikwamba moja ya ramani ambazo alikutwa nazo ni surveyed map ya reli ambayo wajerumani walifanya coz walikuwa na lengo la kuunganisha makoloni yao yote kwa njia ya reli kutokea germany east africa(tanganyika) hadi BOTSWANA na baadhi ya ramani zenyekuonyesha maeneo yaliyohifadhiwa hazina so zilipomfikia mchonga ndio akapata wazo la kujenga reli ya TAZARA! na akajenga shule,na kambi za jeshi sehemu ambazo kulikuwa na hivyo vitu but sio zote coz hakupata ramani zote,sasa katika kuhaha kutafuta watu wa kujenga akaenda kwa JF KENEDDY kuomba msaada ,jfk alipojua kuwa jamaa ni kichwa na kajua nini walichoacha wamarekani akamwambia usa haiko tayari kuisaidia tz kwa kipindi kile (coz tulikuwa upande wa china na russia) ila yeye binafsi AKAMPA NYERERE KITABU AMBACHO ALIAMBIWA AKISOME KITAMSAIDIA! inasadikiwa kile kitabu kilikuwa na ramani zote za Hazina wajerumani walikoficha na sehemu zenye madini ambazo wajerumani walifanya survey ambazo wamarekani walizipata baada ya kuipiga ujerumani ktk vita kuu ya 2 ya dunia CIA walipojua kuwa JFK kampa copy ya hicho kitabu WAKAMUIBIA JKN KABLA HAJAONDOKA IKULU YA WHITE HOUSE!,mchonga baada ya kuona hayo akaendazake china kuomba msaada wa kujenga reli tokea dar ha kapirimposhi zambia MAO wakati huo wameshibana sana na JKN ukawa msaada ambao hadi leo tunayo hiyo reli,sasa baada ya wachina kuja wao walipewa tu ile ramani ya mjerumani na kufanya survey kidogo tu na wakaanza ujenzi sasa marekani na uingereza wakahisi kuwa huenda wachina wanajua kuhusu hazina za mjerumani na wangeweza kutoa so nao ili wawe karibu kupeleleza nini kinaendelea wakaahidi kutoa msaada wa kujenga BOMBA LA MAFUTA NA BARABARA KUTOKEA DAR HADI ZAMBIA! na kama hujui kulishatokea mapigano kati ya wahandisi wa kichina na marekani, waingeleza sehemu ambazo hivi vitu viwili vilikuwa vinapishana mfano ni nipale usangu ambapo leri inavuka barabara hadi nyerere aliamua maeneo kama hayo ujenzi wa bomba na barabara urukwe serikari yenyewe itakuja kumalizia sjamaa wanatujua ndani nje nje ndani kila kitu thats y usishangae migodi mikubla inatoka canada ,usa na kwingine kote inakuja moja kwa moja tz hata hawahangaiki kufanya sijui upembuzi yakinifu nk ..............

Asante Sana kwa elimu hii kiongozi naona uko kina cha bahari (deep) Sana juu ya hivi mavitu.

Nimegain vitu hapa.
 
Mi sihitaji kuchangia mada ya kuwa vipo au havipo kwa wale wenye navyo vitu vya kijeruman iwe pasi ..fufumark
.red mercury au stoves
 
Mi nnayo stove na najua sehemu hivi vyote vilivotajwa vilipo mtu akitaka anipm

Hamna kitu the don. Trust me huna kaka! Jamaa yangu aliambiwa iko bush akaambiwa ili ije anatakiwa kununua kuku saba weupe matetea na njiwa weusi watatu! Kisha akaambiwa atoe laki mbili za mganga ili aiombee rupia ikubali. Jamaa akatoa na kilichofuata akaambiwa rupia imegoma kwa kuwa jamaa ana roho mbaya! Jamaa alishaanza kuwehuka kushinda beforward akisaka Bentley na hule mbezi akisaka hekalu akaishi maana aliambiwa value ni dola za marekani milioni mbili!
 
mkuu kuhusu shule ya iyunga sina data napo sana ila kwa uzoefu wangu sehem ninazozijua hivyo vitu sijui rupia,masanduku yenye dhahabu,na vito mbalimbali ni sehem zenye makanisa/hospitali za moravian,shule,maboma +nyumba ambazo zilijengwa na wajerumani wenyewe enzi za ukoloni pamoja na migodi yao ya zamani mfano iliyoko chunya (makongolosi na saza),

Mkuu nimekufatilia kwa ukaribu sana na nimepata picha fulani,kuna kipindi niliishi pale Mpanda kwasasa mkoa wa Katavi,kuna eneo moja almaarufu kama "kampuni",ukifika hapo utakuta mashimo makubwa na marefu(yasio na kadirio la urefu) na ardhi iliyo badirika na kuwa katika hali ya jangwa baadhi ya nyumba za kizamani,pamoja na mlima mrefu wa kokoto ambazo haziishi miaka nenda rudi..
Katika masimulizi ya wakazi wapale unaambiwa katika baadhi ya hizo nyumba kuna nyumba moja ambayo mjerumani anaondoka aliicha kafunga kufuri moja kubwa sana katika chumba kinachoonekana ni underground na kunaidadi ya wazawa walio wahi kujaribu kubomoa huo mlango na hilo kufuri kwa kila namna lakini hakuana alie fanikiwa,inasemekana mjerumani hapo pia aliacha mali nyingi sana katika hicho chumba..Fikiri kuanzia Muingereza kuchukua hii nchi kwa wakati hule pia hakuweza kufanikisha pia kupata nafasi ya kubomoa hilo jumba.
Pia katika hayo mashimo inasemekana Mjerumani wakati anaondoka alitoboa miamba ambayo ilifanya maji ya jae katika hayo mashimo pia kunatetesi kuwa kunabaadhi ya watu walijaribu kutumbukia kutafuta kilichomo na walipotelea na hawa julikani wala maiti hazikuonekana,pia na kumbuka katika ushuhuda fulani tulichukua mawe makubwa makubwa na kutupia pindi jiwe litumbukiapo katika hayo mashimo husikia likisafiri bila ya kusikia hitimisho lake,na wenyeji wanakwambia kuwa kunaidadi kubwa ya wananchi waliotembelea eneo hilo nakutupa mawe lakini halijawahi kujaa walakuonyesha dalili za kujaa..Pia ni idadi kubwa sana ya waswahili wanao fika pale kwenda kutafuta utajiri
 
Mkuu nimekufatilia kwa ukaribu sana na nimepata picha fulani,kuna kipindi niliishi pale Mpanda kwasasa mkoa wa Katavi,kuna eneo moja almaarufu kama "kampuni",ukifika hapo utakuta mashimo makubwa na marefu(yasio na kadirio la urefu) na ardhi iliyo badirika na kuwa katika hali ya jangwa baadhi ya nyumba za kizamani,pamoja na mlima mrefu wa kokoto ambazo haziishi miaka nenda rudi..
Katika masimulizi ya wakazi wapale unaambiwa katika baadhi ya hizo nyumba kuna nyumba moja ambayo mjerumani anaondoka aliicha kafunga kufuri moja kubwa sana katika chumba kinachoonekana ni underground na kunaidadi ya wazawa walio wahi kujaribu kubomoa huo mlango na hilo kufuri kwa kila namna lakini hakuana alie fanikiwa,inasemekana mjerumani hapo pia aliacha mali nyingi sana katika hicho chumba..Fikiri kuanzia Muingereza kuchukua hii nchi kwa wakati hule pia hakuweza kufanikisha pia kupata nafasi ya kubomoa hilo jumba.
Pia katika hayo mashimo inasemekana Mjerumani wakati anaondoka alitoboa miamba ambayo ilifanya maji ya jae katika hayo mashimo pia kunatetesi kuwa kunabaadhi ya watu walijaribu kutumbukia kutafuta kilichomo na walipotelea na hawa julikani wala maiti hazikuonekana,pia na kumbuka katika ushuhuda fulani tulichukua mawe makubwa makubwa na kutupia pindi jiwe litumbukiapo katika hayo mashimo husikia likisafiri bila ya kusikia hitimisho lake,na wenyeji wanakwambia kuwa kunaidadi kubwa ya wananchi waliotembelea eneo hilo nakutupa mawe lakini halijawahi kujaa walakuonyesha dalili za kujaa..Pia ni idadi kubwa sana ya waswahili wanao fika pale kwenda kutafuta utajiri

weka picha
 
Hamna kitu the don. Trust me huna kaka! Jamaa yangu aliambiwa iko bush akaambiwa ili ije anatakiwa kununua kuku saba weupe matetea na njiwa weusi watatu! Kisha akaambiwa atoe laki mbili za mganga ili aiombee rupia ikubali. Jamaa akatoa na kilichofuata akaambiwa rupia imegoma kwa kuwa jamaa ana roho mbaya! Jamaa alishaanza kuwehuka kushinda beforward akisaka Bentley na hule mbezi akisaka hekalu akaishi maana aliambiwa value ni dola za marekani milioni mbili!

Hahahaa, naona umempa kavu za uso! safi sana.
 
mimi nimesoma iyunga technical sec.school pale mbeya,hii habari za kutafuta rupia ni kweli kabisa nakumbuka mwaka 1996-1999 kuna jamaa walikuja kuchimba shimo kukwa na refu tu kule kwenye bweni la ruthuli wakutafuta hizo rupia,sasa sijui kulikuwa na mkono wa serikali sijui kwakuwa jamaa wakuja wamejandaa na walikuwa na dhana za kazi za uhakika
 
Ina madini muhimu sna yanayotafutwa kwa udi na uvumba nchini ujerumani. Kuna kibabu kule lushoto anayo RUPIA lkn tatizo anahitaji kiac kdg amkabidhi mtu wake aje nae mjini kuiuza. kama una soko zuri wasiliana nami, ebutati@gmail.com

Huwa hazina madini ila zinakuwa na MAJINI.....Wafanyabiashara wakubwa wanaijua kazi yake ila kuipta ya kweli ndio issue hata huyo anaekwambia huenda atakuwa nayo yakuchonga kuipa halis ckz ndogo.....naukickia mtu anayo naanataka pesa ndio akupe huyo ni MUONGO .....
 
Tatizo ni elimu ya hizo rupia wtz wengi hawana. Kutokana na kukosa elimu wtz wengi wanadharau na kutotafuta taarifa kamili juu ya hizo rupia.

Leo ngoja niwape kwa ufupi kuhusu rupia. Kwanza sarafu hizo ni za mjerumani ambazo zilitumika kipindi cha utawala wao hapa Tanganyika. Hela hizo zimetengenezwa kwa majini na sarafu moja inakadiriwa kuwa na majini 200 hadi 500. Kutokana na sarafu hizo kuwa na majini mengi, zina mashart mengi juu ya utunzaji wake na pia uuzaji wake.

Wtz wengi tunapenda kwenda kutibiwa kwa waganga na wengine hupeleka sarafu hizo kwa ajili ya kusafishwa nyota na mengineyo. Kwa kufanya hivyo kama sarafu hiyo ya rupia ulishaifanyia/ilishafanyiwa mambo hayo tayari kitaalam unakuwa umekwisha iharibu. So ili rupia hiyo iwe safi na iuzike kirahisi ni lazima iwe haijapitia kwa waganga na pie iwe imetunzwa mahali pasafi na hasa kwenye kitambaa cheupe. Pia unapoibeba kwa ajili ya kwenda kuiuza usiweke nia ya kuiuza bali weka nia ya kwenda kupewa zawadi.

Kwa ufupi ni hayo nitaendelea.....
 
Pia rupia zina utaratibu wa kuipima kama ni yenyewe au ni feki. Ili ujue kama rupia uliyo nayo ni yenyewe chukua glass hasa ya kioo weka maji ndani yake halafu weka sarafu hiyo ya rupia kisha ndani ya glass yenye maji kisha dumbukiza sarafu yoyote ya tz kisha angalia matokeo yake. Utapata jibu na fanya tena kinyume chake kama matokeo yatafanana ujue hiyo rupia ni feki.

Rupia ziko za aina tatu kuna za simba wawili kati kati mtende, hizo zina thamani kubwa. Kuna za simba mmoja hizo zina thamani ndogo tena masharti yake ni magumu zaidi kuliko yale ya zenye simba wawili.

Hela inayopatikana kwa kupata zawadi ya rupia pia ina mashart yake. Kwanza hela hiyo kabla ya kuitumia lazima utoe zaka, usaidie jamii kv watoto yatima, wagonjwa, walemavu nk.

Wengi waliojua masharti haya na mengine mengi wamefanikiwa na ndo maana mnaona baadhi ya matajiri wakubwa wanatoa misaada mikubwa tena wengine ukiangalia biashara zake na utajiri alionao unashindwa kuamini. Kumbe amepata hela ya rupia. Fanyen utafiti acheni longolongo.
 
Back
Top Bottom