Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Uzi umeshiba sana, keep going ...🤛🤛🤛
mi nilipoona Balozi wa China anaenda Washington mwenyewe ku-declare kwamba china haijatoa silaha kuisaidia russia kwenye ile vita ya Ukraine basi nilijua tu china kumbe ni chui jike tu kwa Marekani
 
Ukraine ana 72Trilions za Kuijenga nchi yake Upya ziko mkononi kwa Kutoka America Na washirika , alafu sehemu Ilo vanima Ukraine haifikii hata Nusu Ya miundombinu Ya Ukraine Majimbo yaliyo athirika Sana ni Yale Ya Mauripolo, Summy , Kharkiv Na Iripina Na Bucha Pia Na Viwanda tu Vya ndege Na Kambi za jeshi, Ukraine kapoteza kwa miundombinu sawa ila siyo Kwamba hatajenga,

Jana Zelensky katangaza kwa kila mu Ukriane alopatwa Na Janga watalipwa ndani Ya miezi miwili wajiandae Baada Ya Vita,

Kapoteza ndege Yao Ya Mirya Antonov ndo suala wanaloona ni pigo kubwa Sana
 

pale nchi 30 zinapopigana na inchi moja na zote zikashindwa sasa wameanza kutafuta mchawi nani [emoji16][emoji16]
 
RUSSIA kapoteza kwamba wewe uko uwanja wa vita(UKRAINE) ukishuhudia RUSSIA akipambana na nchi zaidi ya 30(NATO) huku akiwa na vikwazo vya kiuchumi au unaleta matokeo ukiwa kwenye sofa nyumbani kwako ukishushia kinywaji baridi taratiiibu [emoji848]
Russia hapigani mwenyewe, ana wasaidizi, wapambe na mamluki wengi tuu!
 
That's why now I am learning Data Analysis/Science.Umeupiga mwingi kamanda

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
HIVI NAULIZA BRITANICCA WA JF NA WA TWITTER NI YULE YULE?
 
Na kadri watu wanavyotoa comments juu ya Russia-Ukraine War unaona kabisa watanzania wengi hawana international contexts,hawajui chochote mambo yanavyoendeshwa humu duniani

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
... dah; ha ha ha! Warusi wa Buza walii-underestimate Ukraine; sio waarabu au wabantu wale mjue hilo.
 
Brittanica Jf encyclopedia.


Bro naomba list ya vitabu unavyosoma au genres


Sorry for quoting whole thread
 
Nimesoma uzi wako ila sijaumaliza. Nimefika mahali nikaona unaegemea kimarekani marekani hivi nikajua hamna uzi tena hapo bali kuna kuisifia marekani
 
Kuna uzi mmoja amezungumza allen lobo quora ngoja niweke link hapa mwenye kutaka kusoma na asome ..
Ni uchambuzi wake na namna anavyoutizama huu mzozo.

Nb:Lugha ni ya malkia na uzi ni mrefu mno
 
Mods unganisheni huu uzi, ni content zilezile za hii vita. Hii mushrooming ya thread haina tija. Uzi hauna tofauti yoyote na mchango wa kwenye uzi mama.
MODS UNGANISHENI HUU UZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…