Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Wadanganye hawahawa mashabiki maandazi ila sio watu wenye uwezo wa ku reason. Unasema Russia wamefiwa na wanajeshi 7000+, ila husemi Ukraine wamefiwa na wanajeshi wangapi? Unasema ndani ya urusi supermarket bidhaa zinaisha, Ukraine zipo?

Je urusi imezalisha wakimbizi wangapi? Ukraiane ni wangapi? Kichekesho ni hiki 'marekani wanaenda Venezuela kuvuna mafuta' [emoji23][emoji23][emoji23] je marekani wanamtambua rais wa Venezuela? Toka lini? Watafanya biashara na serikali wasioitambua?

Nenda kasome tena, itachukua miaka 8 kwa ulaya kupata mbadala wa ges ya urusi, haya sio maneno yangu ni wataalamu na wanasiasa wa ulaya wenyewe.
Marekani alitangaza kusitisha kuchukua mafuta nchini Urusi, kwa taarifa yako mpaka jana asubuh meli zao zilichukua mzigo.

Hao hao marekani wameondoa vikwazo kwenye mbolea kutoka urusi. Alafu wewe baada ya kula kachori unadanganya watu hapa. Semeni ukweli sio ushabiki

Jana Putin na scholz wa Germany wameongea kwa simu juu ya biashara ya gesi, wameelewana juu ya means of payments
Mkuu bahati nzuri Technology ni nzuri sana. Kuna miezi kadhaa utakimbia comments Zako hapa ,
 
ukifikiria nje ya box utagundua huu uzi wa huyu BRITANICCA ni moja ya mikakati ya Propaganda mfu za kudanganya dunia.
Amekuja na kisingizio cha Uchambuzi lakini uhalisia ni uzi wa PROPAGANDA MFU DHIDI YA RUSSIA. Ni Uzi maalum wa kuichafua Russia.
Na hii sio hapa tu ni Dunia nzima kuna watu wamepewa hii kaz. Fun enough na Moderator kampa Uzi ujitegemee wakati nyingi sana zinazo balance amekuwa akiziunga mwenye uzi wa Mwanzo.

Hebu mtu alete Uzi kama huu unao propagate negatively issue za West/NATO kama utaachwa ujitegemee.
Juzi umeshiba not like other cheap threads
 
Siko CNN wala na sijAweza kubase Huko Nina vyanzo sahihi kutoka field na ukitaka nianze kuweka habari ambazo naweka sasa hivi Alafu CNN na hao wengine RT wanakuja kuzitangaza Baada ya Lisaa?
Kwa hiyo ni wewe tu una watu huko Field!! Walioko kwenye vyanzo wala hutawasikia wakijinasibu hivi. Kwa kauli hiyo tu ya kujinasibu kuwa una vyanzo sahihi field tayari saikolojia inaonyesha wewe ni muongo. Thread yako 100% ni MTAZAMO WAKO BINAFSI NA MATAMANIO YAKO
 
Ukraine kapoteza sana sanaa!! kwa maana hadi sasa kuna taifa la Ukraine kwa jina tu na si uhalisia kama tunavyofikiria ...... nchi imetekekezwa kabisa miundombinu yote muhimu ya jeshi, barabara, mahospitali, masoko, taasisi za kutolea elimu, mitambo ya kidigitali, maghala ya nishati, vyakula na vingine viingi vimeharibiwa kabisa.. nchi imemegwa(don bass region) kaingiliwa kila sehemu ya maeneo yake ya sili na majeshi ya Russia... na kuna mengine meengii ambayo Ukraine inabidi ianze kujenga upya na kumchukua miaka kadhaa kufikia pale walipokuwa kabla ya uvamizi.. kuhusu mafuta ni kwamba nchi za ulaya zinaweza kujinasua kabisa katika hili janga may be baada ya miaka 4-5 na bado bei za mafuta zisiwe rafiki kama urusi anavyowauzia kwa sasa.. ushauri wangu kwako ni kwamba utulie kwanza usubirie may be vikwazo alivyowekewa urusi vinaweza kumuathiri hapo baadae lakini sio sashivi rubble yake inapanda kila kukicha kwa sabbu makampuni ya ulaya kwa siri siri yameanza kununua hizo rubble kwa ajili ya kununulia mafuta ya urusi.
Acha wapige propaganda MOSCOW hakuna hizo habari
 
pale nchi 30 zinapopigana na inchi moja na zote zikashindwa sasa wameanza kutafuta mchawi nani [emoji16][emoji16]
Inchi ni non living object, hakuna inchi iliyowaingia vitani ila tuna nchi zinapigana.. hiki kibonzo kinatoa picha halisi ya wapiga mapambio wa putin mlivyo.

FB_IMG_1646219092949.jpg
 
Ukraine ana 72Trilions za Kuijenga nchi yake Upya ziko mkononi kwa Kutoka America Na washirika , alafu sehemu Ilo vanima Ukraine haifikii hata Nusu Ya miundombinu Ya Ukraine Majimbo yaliyo athirika Sana ni Yale Ya Mauripolo, Summy , Kharkiv Na Iripina Na Bucha Pia Na Viwanda tu Vya ndege Na Kambi za jeshi, Ukraine kapoteza kwa miundombinu sawa ila siyo Kwamba hatajenga,

Jana Zelensky katangaza kwa kila mu Ukriane alopatwa Na Janga watalipwa ndani Ya miezi miwili wajiandae Baada Ya Vita,

Kapoteza ndege Yao Ya Mirya Antonov ndo suala wanaloona ni pigo kubwa Sana
Mpaka juzi waziri wao anakwambia wameingia hasara ya trillion 1300s
Kwahio hapa kweli UKRAINE kashinda heeheee
 
Habari za wakuu hapa ni vema uzi uachwe kuonesha nani kapoteza kwa namna tofaut tofauti,

Kuna Nyuzi nyingi Sana hapa ila huu utakuwa wa kitaalamu Na shuhuda nilizoshuhudiwa siyo kwa kusimuliwa

Wengi wameeleza chanzo cha Vita hii ila kwa hapa naonesha Matokea tu

1. Mpaka sasa week Jana natoka Moscow kulikuwa Na hali Ya sintofahamu juu Ya majenerali wanaokufa vitani,
Putin amepangua walinzi wake mara nne tokea vita imeanza, kutokana na kuhofia Usalama wake ,
2. Kuna Uhaba wa Bidhaa katika supermarkts na zimebaki zilizokaribia kuisha Muda wa matumizi,
3.mpaka tarehe 24/03/2022 warusi 1200 walikuwa wakipinga na kuandamana kukataa vita wamefungwa magerezani na watakuwa na kesi za kujibu

4. Wanajeshi wanaokufa ni wengi sana wa Urusi takriban wanajeshi 7000 wameuwawa kwa namba sahihi, Hii ni kwasababu wengi wao hawakuwa tayari na vita hii hawakupenda,

Ukawa mzozo mkubwa wa warusi kutengwa na Dunia

Waliosafiri Au waliobahatika Kusafiri wanaelewa hapa nikisema,

-Visa card yako haifanyi kazi,
-Hutaweza kulipa Au kulipwa na wadeni wako kwakuwa benki yako Iko disconnect
-hutapata visa Kwenda sehemu kadhaa Duniani hata Kama una maslahi huko
-Majumba Au mali ulizonazo zinawekwa rehani

Hayo ndo wanapitia warusi..

Suala la kutengwa Duniani kuhusu Biashara limemuumiza sana Urusi

1.Kuna nchi ambazo zilitaka kuonekana Neutral Kama India Lakin hakuna wakubishana na Dunia akaweza,

Natoa mfano tu

India na Marekani na Kwanini India hawezi poteza uchumi wake eti Kisa Ushikaji na Urusi

Watu wanadhani India ana uwezo wa kutenda Kunyume na USA.
Hebu tuangalie hapa.
Biashara kati ya India na Russia ni US$ 8 billion,
Kati ya hizo, india anaingiza US$ 2.6 wakati Russia anaingiza US$ 5.48 billion.

Biashara kati India na US ni US$ 113.391
Kati ya hizo, India anaingiza US$ 73 billion, wakati US wanaingiza over US$ 40 billion.

Yaani India abomoe uchumi wake kwa ajili ya Russia.
Kati the world largest trading partners 20 wa India duniani, Russia hayupo kabisa, halafu mnamuamini India akisema yeye hapangiwi cha kufanya...mnataka afee?.

Kabla ya kushabikia au kuyaamini maneno au taarifa zinazichapishwa. Huwa ninawafundisha watu kuwa siku zote kabla ya kuelezea maoni yao, au kuamua ku side na jambo, basi wawe wanaenda na facts zao, hata kama mhusika ndiyo anaongea, wewe just deal with the facts, the numbers, the data

Hivi India kujifaragua kwamba atanunua mafuta ya Urusi ni ya Muda tu!



Watu huwa wanaamini kuwa China na Marekani ni maadui. Siku zote nimekua nikisema China kamwe si aduiwa US. Wametuaminisha hivyo ila mimi nimegoma kuliamini hilo. Hao ni greatest partners na wanategemeana in so many ways baada ya US kuhamishia kule technolojia zake na viwanda vyake vingi kwa lengo la kupata cheap labours na masoko ambayo US asingeweza kukubalika.

Kwa kufanya hivyo aliondoa influence ya Russia kwa China. Mahusiano ya Russia na China yapo masikioni na kwa maneno zaidi, wakati mahusiano kati ya China na US ni ya dhahiri ingawa watu hawaoni, sababu ni ya kimkakati na kujizatiti zaidi. Hata ukiangalia among the Chinese wenyewe, wananchi wana prefer kuwa karibu zaidi na USA kuliko Russia.

Mwaka 2020 kulikua na Chinese 3.70+ milion wanaoishi USA, Wakati wachina waliokua wakiishi Russia mpaka mwaka 2021 walikua ni 39,000+ tu. Mind China na Russia anayesemekana kuwa greatest partner ni majirani wanao share border[emoji28], inazidiwa hata na Japan ambaye ni taifa hasimu la Jadi la China lakini ndani ya Japan kuna Wachina 770,000+.

Hata Mongolia kuna Wachina wengi kuliko Russia, Mongolia kuna Wachina takribani 1.3 milion.
Hilo litakupa mwanga wa kujua kama kweli ni adui US na China ni maadui au laah.

Katika list ya Major trading Partner wa China Duniani, Marekani ni namba moja, halafu kuna European Eunion then kuna South Korea na Japan, wote hao ukiwataja unamtaja Marekani. US ndiye kampa mchongo China wa masoko hayo, ndiye aliyempa teknology, mitaji na viwanda na ndiye aliyewaambia jao wampokee.

Hata ukija kwenye mahusiano ya kijeshi, miongoni mwa partners watatu bora wa China, US ni mmoja wapo[emoji28][emoji28], ndiye anayempa technolojia za vifaa vya kijeshi na kubadilishana taarifa za kimafunzo na kimbinu...bado ni maadui kweli hao[emoji28][emoji28]?

Uadui wa China na Marekani ni wa kutengenezwa tu.

USA siyo fala, hafanyi hizo investment ili kujiua, bali anajizatiti. They are there to stay, wamemtengeneza China ili kutoa sehemu ya wasiompenda kwenda ku ventilate ili wasije wakavimba wakapasuka wakakufa.

USA anawapenda sana[emoji28][emoji28] mpaka anajitengenezea adui mdori ili tu watu wafurahi[emoji28].

US anajua hapendwi na interests zake zinawindwa kote duniani, hivyo basi, kupitia mitaji, viwanda, technology etc alizompatia China anakua amezipaka rangi na logo ya China biashara na products zake ma hivyo kuweza kuuza Russia , Iran na sehemu zote ambazo mmarekani hakubaliki, amnako wanamuona China kama mkimbozi na mbadala wa Marekani. Wasilolijua ni kuwa US anamtumia China.

UN kwenye mzozo wa Ukraine wamepiga kura ya kuweka azimio la kuitenga Russia kuhusiana na kitendo chake cha kuivamia Ukraine, nchi 141 ziliunga mkono azimio hilo, nchi 35 hazijupiga kura kati ya nchi zilizopiga kura, nchi tano zilipiga kura kupinga hilo azimio na hovyo kuiunga mkono Russia, nchi hizo ni Russia yenyewe, Belarus, Syria, Eritrea and North Korea._* China ambaye anasemekana ndiye adui namba moja wa US na rafiki wa damu wa Russia hayupo hapo[emoji28][emoji28].

Watu wanatumia elimu zao, kufanya future predictions, innovations, management, productions, strategising and so so.. aisee, sisi ndiyo kwanza tunatumia vikao bungeni kuponda elimu na kuifubaza, pambavu zetu sisi.

Hivo China Kama ni mshkaji wa Russia asinge sita

Kuhusu kulipa Kwa Ruble Mafuta ya Urusi

Tukubali Urusi alikuwa Namba one kuuza Ulaya mafuta na gesi haina Ubishi ila kumbuka mwenye Reserve kubwa ya Mafuta Duniani ni Venezuela, na Iran Yuko miongoni mwa wenye reserves kubwa


Ally wa US Yaan UK Kalipa deni la $400M kwa IRAN na watu wake ma spy wawili wameachiwa sasa kinachofuata watamfungulia vikwazo na wanunue mafuta yake .....kuziba pengo la ya Rusia ....Marekani nae kamaliza vikwazo vya Venezuela ili akombe mafuta...

Boris wa UK alienda arabuni pamoja na kwamba mfalme kanyonga watu 81 Jumamosi Ya week kadhaa zilizopita LAKINI MAFUTA YANAFUTA DHAMBI HIYO NA LEO NAJUA MFALME ATAMWAMBIA PM KUWA HAKIKISHA CHELSEA ANAINUNUA MTOTO WA DADA YANGU...KESHAWEKA MEZANI £2.7B Sawa na $3.5B

Leo UMOJA wa Ulaya pamoja na G7 wamemwambia Urusi we can’t buy your gas by Ruble tutatumia Sarafu yetu Yaan hawataki madafu,

Italy na Spain leo wametia Saini kujenga Bomba Lao la Mafuta Kuacha kutegemea ya Urusi,

Ujerumani ambayo ilikuwa na mradi wa ujenzi wa Bomba na Urusi Kama Nordic 2 imesitishwa na pia hawatanunua gesi kwa Ruble hata Urusi wenyewe wamekubali,

Kuna Suala la Sarafu ya Ruble kupanda ni Kwa Muda tu Kwakuwa impact on currency changes have some factors moja ikiwa pegging Kama aliyo Fanya Urusi but won’t be in long run , ni kwakuwa wanunuzi wanatafta ufumbuzi wa mbadala

UPDATES

Kabla ya Mkutano wa Leo Rais Putin ameagiza Mtaalamu wa masuala ya the surgical treatment of oncological diseases," kumuondolea hofu dhidi ya Mambo kadhaa baada ya Afya yake kuwa na mzozo Kwa siku mbili mfululizo

Kyv independence na litivino wamereport hivo,

View attachment 2171628


Kuna mkutano wa maridhiano utaendelea punde kutoka pande mbili za Urusi na Ukraine,

Tokea awali Mkutano ulikuwa na mapendekezo haya kabla huko ulipofanyika Belarus

Kwanza PUTIN alikuwa kapendekeza Mkutano ufanyike Belarus kabisa, Zelensky akakataa maana anajua warusi ni mafia wa kuwekea watu Sumu , hata Roman juzi wamemuwekea,

Zelensky alisema siwezi enda kwa rafiki wa adui yangu hivo Mkutano ifanyike mpakani, Putin akakataa akampigia waziri Mkuu wa ISRAEL maana Warusi na Wa Ukraine wana muingiliano na wayahudi ndo maana wakaona ISRAEL anaweza facilitate Mazungumzo Hayo,

PM wa ISRAEL akasema basi wafnyie mpakani,

Mapendekezo ya Urusi yakawa

1. Zelensky aendelee kuwa Rais ila Yule Rais alopinduliwa mwaka 2014 Kwa maandamano akakimbilia Urusi awe waziri Mkuu ili kuleta hoja ya denazification!

2. Ukraine asijiunge NATO, EU wala asiwe na mahusiano ya Marekani

3. Urusi walisema watalipa fidia Zote kwa Ukraine,
4.Watambue DONBAS yaan Luhansk na Donestk Kama majimbo huru,

MAJIBU YA UKRAINE

1. Haitawezekana kupangiwa nani awe waziri Mkuu Kwa nchi yake

2. Suala la kutojiunga na EU halitawekaza na watajiunga ila Kwa NATO hapo watafikiria ili kulinda Neutrality

3. Kuhusu Donbas hawatakubali Ku acha hata inch moja ya mji kuchukuliwa,

KIKAO CHA UTURUKI URUSI WAKALEGEZA MASHARTI

1.Urusi ilisema in mutual trust wamesimamisha mapigano huko kuelekea Kiev, na maeneo mengine

2. Urusi wakasema Wanakubali UKRAINE ajiunge EU kuhusu NATO hapo hapana maana Kama UKRAINE atajiunga na NATO basi yake majimbo ya Donbas, Luhansk na Mauripol yajitawale kwakuwa yako mpakani kabisa,

3.Pia URUSI ILISEMA YUKO TAYARI KUKUBALI MSIMAMO WA UKRAINE JUU YA DONETSK, DONBAS, LUHANSK, ila CRIMEA HIYO HAPANA MAANA ISHAJITENGA NA UKRIANE SINCE 2014

4. Wazo la Kuijenga Ukraine , Ukraine wenyewe wamesema wana 35biln $ Kwa ajili ya Shughuli hiyo na wanazo tiyari watajenga wenyewe nadhani Hii ni michango ya Marekani na wengine,

UPDATES ZA SASA

KWA WASIOELEKWA GEOGRAFIE YA KYIV IMEZUNGUKWA NA IRIPIN NA BUCHA ndo Mlandizi na Msata Za mji wa Kyiv huko waJeshi wa Urusi walikuwa wameshapafikia Lakin wakazungukwa na majeshi ya UKRAINE na kuteka maeneo walipo ,


kwasasa kwenye Ramani hii ya satellite ya dakika nne zilizopita inaonesha majeshi ya Urusi Yameondoka Kwa wingi maeneo ya Iripin na Bucha baada ya kupata Upinzani mkubwa kutoka Kwa majeshi ya UKRAINE
Hii ni Ramani inayoonesha maeneo yaliyo kombolewa
Leo ni (blue) na jana (yellow).

Pia eneo la Chernihiv limekombolewa Rasmi.

View attachment 2171695

Ntaendelea Uzi usiungwe kwingine plz……
Nineona i.Epostiwa hii kitu
Screenshot_20220401-143705.jpg
 
Habari za wakuu hapa ni vema uzi uachwe kuonesha nani kapoteza kwa namna tofaut tofauti,

Kuna Nyuzi nyingi Sana hapa ila huu utakuwa wa kitaalamu Na shuhuda nilizoshuhudiwa siyo kwa kusimuliwa

Wengi wameeleza chanzo cha Vita hii ila kwa hapa naonesha Matokea tu

1. Mpaka sasa week Jana natoka Moscow kulikuwa Na hali Ya sintofahamu juu Ya majenerali wanaokufa vitani,
Putin amepangua walinzi wake mara nne tokea vita imeanza, kutokana na kuhofia Usalama wake ,
2. Kuna Uhaba wa Bidhaa katika supermarkts na zimebaki zilizokaribia kuisha Muda wa matumizi,
3.mpaka tarehe 24/03/2022 warusi 1200 walikuwa wakipinga na kuandamana kukataa vita wamefungwa magerezani na watakuwa na kesi za kujibu

4. Wanajeshi wanaokufa ni wengi sana wa Urusi takriban wanajeshi 7000 wameuwawa kwa namba sahihi, Hii ni kwasababu wengi wao hawakuwa tayari na vita hii hawakupenda,

Ukawa mzozo mkubwa wa warusi kutengwa na Dunia

Waliosafiri Au waliobahatika Kusafiri wanaelewa hapa nikisema,

-Visa card yako haifanyi kazi,
-Hutaweza kulipa Au kulipwa na wadeni wako kwakuwa benki yako Iko disconnect
-hutapata visa Kwenda sehemu kadhaa Duniani hata Kama una maslahi huko
-Majumba Au mali ulizonazo zinawekwa rehani

Hayo ndo wanapitia warusi..

Suala la kutengwa Duniani kuhusu Biashara limemuumiza sana Urusi

1.Kuna nchi ambazo zilitaka kuonekana Neutral Kama India Lakin hakuna wakubishana na Dunia akaweza,

Natoa mfano tu

India na Marekani na Kwanini India hawezi poteza uchumi wake eti Kisa Ushikaji na Urusi

Watu wanadhani India ana uwezo wa kutenda Kunyume na USA.
Hebu tuangalie hapa.
Biashara kati ya India na Russia ni US$ 8 billion,
Kati ya hizo, india anaingiza US$ 2.6 wakati Russia anaingiza US$ 5.48 billion.

Biashara kati India na US ni US$ 113.391
Kati ya hizo, India anaingiza US$ 73 billion, wakati US wanaingiza over US$ 40 billion.

Yaani India abomoe uchumi wake kwa ajili ya Russia.
Kati the world largest trading partners 20 wa India duniani, Russia hayupo kabisa, halafu mnamuamini India akisema yeye hapangiwi cha kufanya...mnataka afee?.

Kabla ya kushabikia au kuyaamini maneno au taarifa zinazichapishwa. Huwa ninawafundisha watu kuwa siku zote kabla ya kuelezea maoni yao, au kuamua ku side na jambo, basi wawe wanaenda na facts zao, hata kama mhusika ndiyo anaongea, wewe just deal with the facts, the numbers, the data

Hivi India kujifaragua kwamba atanunua mafuta ya Urusi ni ya Muda tu!



Watu huwa wanaamini kuwa China na Marekani ni maadui. Siku zote nimekua nikisema China kamwe si aduiwa US. Wametuaminisha hivyo ila mimi nimegoma kuliamini hilo. Hao ni greatest partners na wanategemeana in so many ways baada ya US kuhamishia kule technolojia zake na viwanda vyake vingi kwa lengo la kupata cheap labours na masoko ambayo US asingeweza kukubalika.

Kwa kufanya hivyo aliondoa influence ya Russia kwa China. Mahusiano ya Russia na China yapo masikioni na kwa maneno zaidi, wakati mahusiano kati ya China na US ni ya dhahiri ingawa watu hawaoni, sababu ni ya kimkakati na kujizatiti zaidi. Hata ukiangalia among the Chinese wenyewe, wananchi wana prefer kuwa karibu zaidi na USA kuliko Russia.

Mwaka 2020 kulikua na Chinese 3.70+ milion wanaoishi USA, Wakati wachina waliokua wakiishi Russia mpaka mwaka 2021 walikua ni 39,000+ tu. Mind China na Russia anayesemekana kuwa greatest partner ni majirani wanao share border[emoji28], inazidiwa hata na Japan ambaye ni taifa hasimu la Jadi la China lakini ndani ya Japan kuna Wachina 770,000+.

Hata Mongolia kuna Wachina wengi kuliko Russia, Mongolia kuna Wachina takribani 1.3 milion.
Hilo litakupa mwanga wa kujua kama kweli ni adui US na China ni maadui au laah.

Katika list ya Major trading Partner wa China Duniani, Marekani ni namba moja, halafu kuna European Eunion then kuna South Korea na Japan, wote hao ukiwataja unamtaja Marekani. US ndiye kampa mchongo China wa masoko hayo, ndiye aliyempa teknology, mitaji na viwanda na ndiye aliyewaambia jao wampokee.

Hata ukija kwenye mahusiano ya kijeshi, miongoni mwa partners watatu bora wa China, US ni mmoja wapo[emoji28][emoji28], ndiye anayempa technolojia za vifaa vya kijeshi na kubadilishana taarifa za kimafunzo na kimbinu...bado ni maadui kweli hao[emoji28][emoji28]?

Uadui wa China na Marekani ni wa kutengenezwa tu.

USA siyo fala, hafanyi hizo investment ili kujiua, bali anajizatiti. They are there to stay, wamemtengeneza China ili kutoa sehemu ya wasiompenda kwenda ku ventilate ili wasije wakavimba wakapasuka wakakufa.

USA anawapenda sana[emoji28][emoji28] mpaka anajitengenezea adui mdori ili tu watu wafurahi[emoji28].

US anajua hapendwi na interests zake zinawindwa kote duniani, hivyo basi, kupitia mitaji, viwanda, technology etc alizompatia China anakua amezipaka rangi na logo ya China biashara na products zake ma hivyo kuweza kuuza Russia , Iran na sehemu zote ambazo mmarekani hakubaliki, amnako wanamuona China kama mkimbozi na mbadala wa Marekani. Wasilolijua ni kuwa US anamtumia China.

UN kwenye mzozo wa Ukraine wamepiga kura ya kuweka azimio la kuitenga Russia kuhusiana na kitendo chake cha kuivamia Ukraine, nchi 141 ziliunga mkono azimio hilo, nchi 35 hazijupiga kura kati ya nchi zilizopiga kura, nchi tano zilipiga kura kupinga hilo azimio na hovyo kuiunga mkono Russia, nchi hizo ni Russia yenyewe, Belarus, Syria, Eritrea and North Korea._* China ambaye anasemekana ndiye adui namba moja wa US na rafiki wa damu wa Russia hayupo hapo[emoji28][emoji28].

Watu wanatumia elimu zao, kufanya future predictions, innovations, management, productions, strategising and so so.. aisee, sisi ndiyo kwanza tunatumia vikao bungeni kuponda elimu na kuifubaza, pambavu zetu sisi.

Hivo China Kama ni mshkaji wa Russia asinge sita

Kuhusu kulipa Kwa Ruble Mafuta ya Urusi

Tukubali Urusi alikuwa Namba one kuuza Ulaya mafuta na gesi haina Ubishi ila kumbuka mwenye Reserve kubwa ya Mafuta Duniani ni Venezuela, na Iran Yuko miongoni mwa wenye reserves kubwa


Ally wa US Yaan UK Kalipa deni la $400M kwa IRAN na watu wake ma spy wawili wameachiwa sasa kinachofuata watamfungulia vikwazo na wanunue mafuta yake .....kuziba pengo la ya Rusia ....Marekani nae kamaliza vikwazo vya Venezuela ili akombe mafuta...

Boris wa UK alienda arabuni pamoja na kwamba mfalme kanyonga watu 81 Jumamosi Ya week kadhaa zilizopita LAKINI MAFUTA YANAFUTA DHAMBI HIYO NA LEO NAJUA MFALME ATAMWAMBIA PM KUWA HAKIKISHA CHELSEA ANAINUNUA MTOTO WA DADA YANGU...KESHAWEKA MEZANI £2.7B Sawa na $3.5B

Leo UMOJA wa Ulaya pamoja na G7 wamemwambia Urusi we can’t buy your gas by Ruble tutatumia Sarafu yetu Yaan hawataki madafu,

Italy na Spain leo wametia Saini kujenga Bomba Lao la Mafuta Kuacha kutegemea ya Urusi,

Ujerumani ambayo ilikuwa na mradi wa ujenzi wa Bomba na Urusi Kama Nordic 2 imesitishwa na pia hawatanunua gesi kwa Ruble hata Urusi wenyewe wamekubali,

Kuna Suala la Sarafu ya Ruble kupanda ni Kwa Muda tu Kwakuwa impact on currency changes have some factors moja ikiwa pegging Kama aliyo Fanya Urusi but won’t be in long run , ni kwakuwa wanunuzi wanatafta ufumbuzi wa mbadala

UPDATES

Kabla ya Mkutano wa Leo Rais Putin ameagiza Mtaalamu wa masuala ya the surgical treatment of oncological diseases," kumuondolea hofu dhidi ya Mambo kadhaa baada ya Afya yake kuwa na mzozo Kwa siku mbili mfululizo

Kyv independence na litivino wamereport hivo,

View attachment 2171628


Kuna mkutano wa maridhiano utaendelea punde kutoka pande mbili za Urusi na Ukraine,

Tokea awali Mkutano ulikuwa na mapendekezo haya kabla huko ulipofanyika Belarus

Kwanza PUTIN alikuwa kapendekeza Mkutano ufanyike Belarus kabisa, Zelensky akakataa maana anajua warusi ni mafia wa kuwekea watu Sumu , hata Roman juzi wamemuwekea,

Zelensky alisema siwezi enda kwa rafiki wa adui yangu hivo Mkutano ifanyike mpakani, Putin akakataa akampigia waziri Mkuu wa ISRAEL maana Warusi na Wa Ukraine wana muingiliano na wayahudi ndo maana wakaona ISRAEL anaweza facilitate Mazungumzo Hayo,

PM wa ISRAEL akasema basi wafnyie mpakani,

Mapendekezo ya Urusi yakawa

1. Zelensky aendelee kuwa Rais ila Yule Rais alopinduliwa mwaka 2014 Kwa maandamano akakimbilia Urusi awe waziri Mkuu ili kuleta hoja ya denazification!

2. Ukraine asijiunge NATO, EU wala asiwe na mahusiano ya Marekani

3. Urusi walisema watalipa fidia Zote kwa Ukraine,
4.Watambue DONBAS yaan Luhansk na Donestk Kama majimbo huru,

MAJIBU YA UKRAINE

1. Haitawezekana kupangiwa nani awe waziri Mkuu Kwa nchi yake

2. Suala la kutojiunga na EU halitawekaza na watajiunga ila Kwa NATO hapo watafikiria ili kulinda Neutrality

3. Kuhusu Donbas hawatakubali Ku acha hata inch moja ya mji kuchukuliwa,

KIKAO CHA UTURUKI URUSI WAKALEGEZA MASHARTI

1.Urusi ilisema in mutual trust wamesimamisha mapigano huko kuelekea Kiev, na maeneo mengine

2. Urusi wakasema Wanakubali UKRAINE ajiunge EU kuhusu NATO hapo hapana maana Kama UKRAINE atajiunga na NATO basi yake majimbo ya Donbas, Luhansk na Mauripol yajitawale kwakuwa yako mpakani kabisa,

3.Pia URUSI ILISEMA YUKO TAYARI KUKUBALI MSIMAMO WA UKRAINE JUU YA DONETSK, DONBAS, LUHANSK, ila CRIMEA HIYO HAPANA MAANA ISHAJITENGA NA UKRIANE SINCE 2014

4. Wazo la Kuijenga Ukraine , Ukraine wenyewe wamesema wana 35biln $ Kwa ajili ya Shughuli hiyo na wanazo tiyari watajenga wenyewe nadhani Hii ni michango ya Marekani na wengine,

UPDATES ZA SASA

KWA WASIOELEKWA GEOGRAFIE YA KYIV IMEZUNGUKWA NA IRIPIN NA BUCHA ndo Mlandizi na Msata Za mji wa Kyiv huko waJeshi wa Urusi walikuwa wameshapafikia Lakin wakazungukwa na majeshi ya UKRAINE na kuteka maeneo walipo ,


kwasasa kwenye Ramani hii ya satellite ya dakika nne zilizopita inaonesha majeshi ya Urusi Yameondoka Kwa wingi maeneo ya Iripin na Bucha baada ya kupata Upinzani mkubwa kutoka Kwa majeshi ya UKRAINE
Hii ni Ramani inayoonesha maeneo yaliyo kombolewa
Leo ni (blue) na jana (yellow).

Pia eneo la Chernihiv limekombolewa Rasmi.

View attachment 2171695

Ntaendelea Uzi usiungwe kwingine plz……
Hakika huu ni uchambuzi yakinifu na hizi ni facts& statistics za kujenga hoja ki greater thinker. Asante sana@britanica usikose kunitag mara uendeleapo na uchambuzi wako.
 
Back
Top Bottom