Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

US and NATO still have not answered the Ukrainian call for air defense support (fighter jets and SAM), w/o which it is impossible to defend and win.

The optimal solution would be Patriot systems from 🇺🇲or the cheaper, more mobile NASAMS systems from 🇳🇴,–Air Forces of Ukraine.
 
WARUSI WEUSI WA MABWEPANDA HAWAWEZI KUKUELEWA. URUSI BADO TAIFA CHANGA SANA HAWANA UWEZO WA KUSIMAMA VITANI HATA MWAKA MMOJA.

KUNA TAARIFA YA WAJESHI WAO KULA MBWA UKRAINE KWA KUKOSA CHAKULA, WARUSI WEUSI WANAKWAMBIA NI PROPAGANDA.

KUNA TAARIFA YA WAJESHI WAO KULA VYAKULA VILIVYOPITA MUDA WAKE, WATASEMA NI UZUSHI.

WARUSI WA BUZA MNAKWAMA WAPI?? HIVI MNAJUA KUWA URUSI INATEGEMEA KIASI GANI CHA PESA TOKA ULAYA KWA MAUZO YA GESI YAKE??? MNADHANI NA WAO WAKISUSA KUNUNUA GESI UNADHANI URUSI ITAJIENDESHA VIPI??? KIPARA KAPUYANGA SANA
Urus kaboronga mnooo
 
Duh mwanangu umeandika kishabiki Sana! China Ni rafiki wa Us? US amemtengeneza China! Miujiza!
Russia Ni adui wa kuchorwa yani mdoli! Miujiza!
Eti Russia anaondoka Kiev kwa push kutoka Kiev! Miujiza mingine!
Ukraine inaangamia. Mini inazidi kuwa magofu! Raia wenye AK 74 na javelin wanaangamia!
Huruma nawaonea coz wanaopoteza zaidi waukraine!
 
Kila siku rais Mr. Sele analialia huko akiomba misaada na kuzishutumu jumuhiya mbalimbali hasa za ulaya kwa kuendelea kununua mafuta, gas na bidhaa zingine toka urusi kwa sababu pesa hizo au mabilioni hayo ndiyo yanayo enda isaidia urusi kuingamiza ukraine... na jana alikuwa akiongea moja kwa moja na bunge la uholanzi...
 
Duh mwanangu umeandika kishabiki Sana! China Ni rafiki wa Us? US amemtengeneza China! Miujiza!
Russia Ni adui wa kuchorwa yani mdoli! Miujiza!
Eti Russia anaondoka Kiev kwa push kutoka Kiev! Miujiza mingine!
Nitarudi
ajui sera waliyo itumia wachina kuwafanya US kufungua biashara china na kwa masharti gani... muulize huyo china na EU wana fanya biashara kwa kiwango gani? achilia mbali china na afrika au china na nchi zingine za asia.?

muulize kwanini baada ya kiduku kurusha rocket juzi whitehose ikapoa... na walipo ona mpakani huko na japan wanajeshi wa urusi wakifanya mazoezi nini kilitokea kwa mmarekani...

na kwann US walifanya makusudi kupitisha chombo cha kivita ktk bahari ya china? kwamba ilikuwa makusudi au bahati mbaya hasa wakati huu wa vita...
 
Kwa sababu tunajadiliana humu basi huwa kila mtu yuko tayari kusema kila aina ya hadithi ya kijiweni anayosikia kuhusu Russia badala ya uhalisia.

Watu hawajui kuwa Shirika la ndege la Russia lina ndege 10 tu zinazotengenezwa Urusi zingine zote wamekodi au Kununua Marekani na Ulaya.
That’s it
 
Duh mwanangu umeandika kishabiki Sana! China Ni rafiki wa Us? US amemtengeneza China! Miujiza!
Russia Ni adui wa kuchorwa yani mdoli! Miujiza!
Eti Russia anaondoka Kiev kwa push kutoka Kiev! Miujiza mingine!
Ukraine inaangamia. Mini inazidi kuwa magofu! Raia wenye AK 74 na javelin wanaangamia!
Huruma nawaonea coz wanaopoteza zaidi waukraine!
Mambo haya huyaelewi Kaa kwenye Kahawa tu msimuliane
 
Tuangalie kuanguka kwa fedha ya Russia na michezo ya kitoto ya majuha wa NATO na US. Vikwazo vilikuwa sawa na kujipiga risasi mguuni
IMG_1648817992035.jpg
 
Mpka sasa ukrein imekubali kufwata mapendekezo yote ya russia ikiwa ni kutojiunga na nato na hicho hasa ndicho russia walikuwa wanakitaka,[emoji635]
Russia wamekubali Ulinzi wa Ukraine utakuwa chini ya Nchi kadhaa ikiwemo Turkey ambayo ni member wa NATO... Sasa what's the point ya kuivamia Ukraine in first place?
 
Back
Top Bottom