Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Brittanica Jf encyclopedia.


Bro naomba list ya vitabu unavyosoma au genres


Sorry for quoting whole thread
1.the house of government Yuri Slezkine,{Saga of Russian Revolution}
2.The Russia Revolution -Geofrey Shwain,
3.Russia History Captivating history
4.Russia: History of Russia: Kievan Rus to Vladimir Putin, Tsars and Revolutions - All Shaping Russian Culture and Russian History, hapa Pro Putin panawafaa
Hiki Kitabu kinafunza ambavyo Russia imetengenezwa there are so many things The families were discussed and the war machine
5.Mambo mengi ya jinsi Urusi ilivyozivamia baadhi ya nchi na kuzilazimisha kujiunga USSR yanapatikana pia, Kuna vita katika Makala nyingine ya Red army inaonesha ambavyo Russia na Jeshi lake walivamia Estonia, Lithuania na Lativia, haya yote ni muhimu tuyajue haina Tofauti nasi
6. How to Handle Woman at diferent ages
7. How to manage your time

Naendelea
 
Acha roho mbaya, ruhusu masikio yako yasikie usichokipenda.
Ndio shida kubwa ya Watanzania..mnapenda kusikia myapendayo.
Kwani huu mchango ukiwekwa kule hautoonekana?? Huu mchango una tofauti gani na wa GANGA ZUMBA, T14 ARMATA, GLENN na wengineo?
Kwann tufungue nyuzi zenye mlengo ule ule?? Hii si ndio update ya kinachoendelea kwenye hiyo vita?? Sasa kwann kisijumuishwe??
Watz bhana, kwahiyo ww umeona huu uzi unaweza kusimama as independent na hauna uelekeo na uzi mama??
Huu uzi ni moja ya michango ya washkaji kibao kule, hauno uspecial wowote wa kubaki kama uzi.
 
Mpaka sasa Muda huu
Vikosi vya UKRAINE vimerejesha Muda huu control juu ya
Makazi ya Demydiv, Dymer, Lytvynivka, Gavrylivka, Kozarovychi, Zhovtneve, Hlybivka, Yasnohorodka, Talakun, Sukoluchchya, Lypivka, Gavronshchyna, Makovyshche, Mykolaivka, Khmilna.

Wanajeshi wameondoka wa Urusi Kwa kuzidiwa nguvu Hii ni hatari
WARUSI WEUSI HAWAAMINI HAYA, WANASEMA PUTIN ANAKAMATA MIJI MBONA HATANGAZI KUSHINDA MWEZI SASA😂😂
 
Habari za wakuu hapa ni vema uzi uachwe kuonesha nani kapoteza kwa namna tofaut tofauti,

Kuna Nyuzi nyingi Sana hapa ila huu utakuwa wa kitaalamu Na shuhuda nilizoshuhudiwa siyo kwa kusimuliwa

Wengi wameeleza chanzo cha Vita hii ila kwa hapa naonesha Matokea tu

1. Mpaka sasa week Jana natoka Moscow kulikuwa Na hali Ya sintofahamu juu Ya majenerali wanaokufa vitani,
Putin amepangua walinzi wake mara nne tokea vita imeanza, kutokana na kuhofia Usalama wake ,
2. Kuna Uhaba wa Bidhaa katika supermarkts na zimebaki zilizokaribia kuisha Muda wa matumizi,
3.mpaka tarehe 24/03/2022 warusi 1200 walikuwa wakipinga na kuandamana kukataa vita wamefungwa magerezani na watakuwa na kesi za kujibu

4. Wanajeshi wanaokufa ni wengi sana wa Urusi takriban wanajeshi 7000 wameuwawa kwa namba sahihi, Hii ni kwasababu wengi wao hawakuwa tayari na vita hii hawakupenda,

Ukawa mzozo mkubwa wa warusi kutengwa na Dunia

Waliosafiri Au waliobahatika Kusafiri wanaelewa hapa nikisema,

-Visa card yako haifanyi kazi,
-Hutaweza kulipa Au kulipwa na wadeni wako kwakuwa benki yako Iko disconnect
-hutapata visa Kwenda sehemu kadhaa Duniani hata Kama una maslahi huko
-Majumba Au mali ulizonazo zinawekwa rehani

Hayo ndo wanapitia warusi..

Suala la kutengwa Duniani kuhusu Biashara limemuumiza sana Urusi

1.Kuna nchi ambazo zilitaka kuonekana Neutral Kama India Lakin hakuna wakubishana na Dunia akaweza,

Natoa mfano tu

India na Marekani na Kwanini India hawezi poteza uchumi wake eti Kisa Ushikaji na Urusi

Watu wanadhani India ana uwezo wa kutenda Kunyume na USA.
Hebu tuangalie hapa.
Biashara kati ya India na Russia ni US$ 8 billion,
Kati ya hizo, india anaingiza US$ 2.6 wakati Russia anaingiza US$ 5.48 billion.

Biashara kati India na US ni US$ 113.391
Kati ya hizo, India anaingiza US$ 73 billion, wakati US wanaingiza over US$ 40 billion.

Yaani India abomoe uchumi wake kwa ajili ya Russia.
Kati the world largest trading partners 20 wa India duniani, Russia hayupo kabisa, halafu mnamuamini India akisema yeye hapangiwi cha kufanya...mnataka afee?.

Kabla ya kushabikia au kuyaamini maneno au taarifa zinazichapishwa. Huwa ninawafundisha watu kuwa siku zote kabla ya kuelezea maoni yao, au kuamua ku side na jambo, basi wawe wanaenda na facts zao, hata kama mhusika ndiyo anaongea, wewe just deal with the facts, the numbers, the data

Hivi India kujifaragua kwamba atanunua mafuta ya Urusi ni ya Muda tu!



Watu huwa wanaamini kuwa China na Marekani ni maadui. Siku zote nimekua nikisema China kamwe si aduiwa US. Wametuaminisha hivyo ila mimi nimegoma kuliamini hilo. Hao ni greatest partners na wanategemeana in so many ways baada ya US kuhamishia kule technolojia zake na viwanda vyake vingi kwa lengo la kupata cheap labours na masoko ambayo US asingeweza kukubalika.

Kwa kufanya hivyo aliondoa influence ya Russia kwa China. Mahusiano ya Russia na China yapo masikioni na kwa maneno zaidi, wakati mahusiano kati ya China na US ni ya dhahiri ingawa watu hawaoni, sababu ni ya kimkakati na kujizatiti zaidi. Hata ukiangalia among the Chinese wenyewe, wananchi wana prefer kuwa karibu zaidi na USA kuliko Russia.

Mwaka 2020 kulikua na Chinese 3.70+ milion wanaoishi USA, Wakati wachina waliokua wakiishi Russia mpaka mwaka 2021 walikua ni 39,000+ tu. Mind China na Russia anayesemekana kuwa greatest partner ni majirani wanao share border[emoji28], inazidiwa hata na Japan ambaye ni taifa hasimu la Jadi la China lakini ndani ya Japan kuna Wachina 770,000+.

Hata Mongolia kuna Wachina wengi kuliko Russia, Mongolia kuna Wachina takribani 1.3 milion.
Hilo litakupa mwanga wa kujua kama kweli ni adui US na China ni maadui au laah.

Katika list ya Major trading Partner wa China Duniani, Marekani ni namba moja, halafu kuna European Eunion then kuna South Korea na Japan, wote hao ukiwataja unamtaja Marekani. US ndiye kampa mchongo China wa masoko hayo, ndiye aliyempa teknology, mitaji na viwanda na ndiye aliyewaambia jao wampokee.

Hata ukija kwenye mahusiano ya kijeshi, miongoni mwa partners watatu bora wa China, US ni mmoja wapo[emoji28][emoji28], ndiye anayempa technolojia za vifaa vya kijeshi na kubadilishana taarifa za kimafunzo na kimbinu...bado ni maadui kweli hao[emoji28][emoji28]?

Uadui wa China na Marekani ni wa kutengenezwa tu.

USA siyo fala, hafanyi hizo investment ili kujiua, bali anajizatiti. They are there to stay, wamemtengeneza China ili kutoa sehemu ya wasiompenda kwenda ku ventilate ili wasije wakavimba wakapasuka wakakufa.

USA anawapenda sana[emoji28][emoji28] mpaka anajitengenezea adui mdori ili tu watu wafurahi[emoji28].

US anajua hapendwi na interests zake zinawindwa kote duniani, hivyo basi, kupitia mitaji, viwanda, technology etc alizompatia China anakua amezipaka rangi na logo ya China biashara na products zake ma hivyo kuweza kuuza Russia , Iran na sehemu zote ambazo mmarekani hakubaliki, amnako wanamuona China kama mkimbozi na mbadala wa Marekani. Wasilolijua ni kuwa US anamtumia China.

UN kwenye mzozo wa Ukraine wamepiga kura ya kuweka azimio la kuitenga Russia kuhusiana na kitendo chake cha kuivamia Ukraine, nchi 141 ziliunga mkono azimio hilo, nchi 35 hazijupiga kura kati ya nchi zilizopiga kura, nchi tano zilipiga kura kupinga hilo azimio na hovyo kuiunga mkono Russia, nchi hizo ni Russia yenyewe, Belarus, Syria, Eritrea and North Korea._* China ambaye anasemekana ndiye adui namba moja wa US na rafiki wa damu wa Russia hayupo hapo[emoji28][emoji28].

Watu wanatumia elimu zao, kufanya future predictions, innovations, management, productions, strategising and so so.. aisee, sisi ndiyo kwanza tunatumia vikao bungeni kuponda elimu na kuifubaza, pambavu zetu sisi.

Hivo China Kama ni mshkaji wa Russia asinge sita

Kuhusu kulipa Kwa Ruble Mafuta ya Urusi

Tukubali Urusi alikuwa Namba one kuuza Ulaya mafuta na gesi haina Ubishi ila kumbuka mwenye Reserve kubwa ya Mafuta Duniani ni Venezuela, na Iran Yuko miongoni mwa wenye reserves kubwa


Ally wa US Yaan UK Kalipa deni la $400M kwa IRAN na watu wake ma spy wawili wameachiwa sasa kinachofuata watamfungulia vikwazo na wanunue mafuta yake .....kuziba pengo la ya Rusia ....Marekani nae kamaliza vikwazo vya Venezuela ili akombe mafuta...

Boris wa UK alienda arabuni pamoja na kwamba mfalme kanyonga watu 81 Jumamosi Ya week kadhaa zilizopita LAKINI MAFUTA YANAFUTA DHAMBI HIYO NA LEO NAJUA MFALME ATAMWAMBIA PM KUWA HAKIKISHA CHELSEA ANAINUNUA MTOTO WA DADA YANGU...KESHAWEKA MEZANI £2.7B Sawa na $3.5B

Leo UMOJA wa Ulaya pamoja na G7 wamemwambia Urusi we can’t buy your gas by Ruble tutatumia Sarafu yetu Yaan hawataki madafu,

Italy na Spain leo wametia Saini kujenga Bomba Lao la Mafuta Kuacha kutegemea ya Urusi,

Ujerumani ambayo ilikuwa na mradi wa ujenzi wa Bomba na Urusi Kama Nordic 2 imesitishwa na pia hawatanunua gesi kwa Ruble hata Urusi wenyewe wamekubali,

Kuna Suala la Sarafu ya Ruble kupanda ni Kwa Muda tu Kwakuwa impact on currency changes have some factors moja ikiwa pegging Kama aliyo Fanya Urusi but won’t be in long run , ni kwakuwa wanunuzi wanatafta ufumbuzi wa mbadala

Ntaendelea Uzi usiungwe kwingine plz……
Ulaya wana msiba mkubwa mpaka sasa. Achana na CNN na BBC, tafuta vyanzo vya uhakika
 
1.the house of government Yuri Slezkine,{Saga of Russian Revolution}
2.The Russia Revolution -Geofrey Shwain,
3.Russia History Captivating history
4.Russia: History of Russia: Kievan Rus to Vladimir Putin, Tsars and Revolutions - All Shaping Russian Culture and Russian History, hapa Pro Putin panawafaa
Hiki Kitabu kinafunza ambavyo Russia imetengenezwa there are so many things The families were discussed and the war machine
5.Mambo mengi ya jinsi Urusi ilivyozivamia baadhi ya nchi na kuzilazimisha kujiunga USSR yanapatikana pia, Kuna vita katika Makala nyingine ya Red army inaonesha ambavyo Russia na Jeshi lake walivamia Estonia, Lithuania na Lativia, haya yote ni muhimu tuyajue haina Tofauti nasi
6. How to Handle Woman at diferent ages
7. How to manage your time

Naendelea
Thanks Bro
 
Ukraine ana 72Trilions za Kuijenga nchi yake Upya ziko mkononi kwa Kutoka America Na washirika , alafu sehemu Ilo vanima Ukraine haifikii hata Nusu Ya miundombinu Ya Ukraine Majimbo yaliyo athirika Sana ni Yale Ya Mauripolo, Summy , Kharkiv Na Iripina Na Bucha Pia Na Viwanda tu Vya ndege Na Kambi za jeshi, Ukraine kapoteza kwa miundombinu sawa ila siyo Kwamba hatajenga,

Jana Zelensky katangaza kwa kila mu Ukriane alopatwa Na Janga watalipwa ndani Ya miezi miwili wajiandae Baada Ya Vita,

Kapoteza ndege Yao Ya Mirya Antonov ndo suala wanaloona ni pigo kubwa Sana
Mpaka Sasa Ukraine kapata hasara ya Dola bil 495,Sasa unaona hapo ni zaidi ya trilion 1000+!
 
Habari za wakuu hapa ni vema uzi uachwe kuonesha nani kapoteza kwa namna tofaut tofauti,

Kuna Nyuzi nyingi Sana hapa ila huu utakuwa wa kitaalamu Na shuhuda nilizoshuhudiwa siyo kwa kusimuliwa

Wengi wameeleza chanzo cha Vita hii ila kwa hapa naonesha Matokea tu

1. Mpaka sasa week Jana natoka Moscow kulikuwa Na hali Ya sintofahamu juu Ya majenerali wanaokufa vitani,
Putin amepangua walinzi wake mara nne tokea vita imeanza, kutokana na kuhofia Usalama wake ,
2. Kuna Uhaba wa Bidhaa katika supermarkts na zimebaki zilizokaribia kuisha Muda wa matumizi,
3.mpaka tarehe 24/03/2022 warusi 1200 walikuwa wakipinga na kuandamana kukataa vita wamefungwa magerezani na watakuwa na kesi za kujibu

4. Wanajeshi wanaokufa ni wengi sana wa Urusi takriban wanajeshi 7000 wameuwawa kwa namba sahihi, Hii ni kwasababu wengi wao hawakuwa tayari na vita hii hawakupenda,

Ukawa mzozo mkubwa wa warusi kutengwa na Dunia

Waliosafiri Au waliobahatika Kusafiri wanaelewa hapa nikisema,

-Visa card yako haifanyi kazi,
-Hutaweza kulipa Au kulipwa na wadeni wako kwakuwa benki yako Iko disconnect
-hutapata visa Kwenda sehemu kadhaa Duniani hata Kama una maslahi huko
-Majumba Au mali ulizonazo zinawekwa rehani

Hayo ndo wanapitia warusi..

Suala la kutengwa Duniani kuhusu Biashara limemuumiza sana Urusi

1.Kuna nchi ambazo zilitaka kuonekana Neutral Kama India Lakin hakuna wakubishana na Dunia akaweza,

Natoa mfano tu

India na Marekani na Kwanini India hawezi poteza uchumi wake eti Kisa Ushikaji na Urusi

Watu wanadhani India ana uwezo wa kutenda Kunyume na USA.
Hebu tuangalie hapa.
Biashara kati ya India na Russia ni US$ 8 billion,
Kati ya hizo, india anaingiza US$ 2.6 wakati Russia anaingiza US$ 5.48 billion.

Biashara kati India na US ni US$ 113.391
Kati ya hizo, India anaingiza US$ 73 billion, wakati US wanaingiza over US$ 40 billion.

Yaani India abomoe uchumi wake kwa ajili ya Russia.
Kati the world largest trading partners 20 wa India duniani, Russia hayupo kabisa, halafu mnamuamini India akisema yeye hapangiwi cha kufanya...mnataka afee?.

Kabla ya kushabikia au kuyaamini maneno au taarifa zinazichapishwa. Huwa ninawafundisha watu kuwa siku zote kabla ya kuelezea maoni yao, au kuamua ku side na jambo, basi wawe wanaenda na facts zao, hata kama mhusika ndiyo anaongea, wewe just deal with the facts, the numbers, the data

Hivi India kujifaragua kwamba atanunua mafuta ya Urusi ni ya Muda tu!



Watu huwa wanaamini kuwa China na Marekani ni maadui. Siku zote nimekua nikisema China kamwe si aduiwa US. Wametuaminisha hivyo ila mimi nimegoma kuliamini hilo. Hao ni greatest partners na wanategemeana in so many ways baada ya US kuhamishia kule technolojia zake na viwanda vyake vingi kwa lengo la kupata cheap labours na masoko ambayo US asingeweza kukubalika.

Kwa kufanya hivyo aliondoa influence ya Russia kwa China. Mahusiano ya Russia na China yapo masikioni na kwa maneno zaidi, wakati mahusiano kati ya China na US ni ya dhahiri ingawa watu hawaoni, sababu ni ya kimkakati na kujizatiti zaidi. Hata ukiangalia among the Chinese wenyewe, wananchi wana prefer kuwa karibu zaidi na USA kuliko Russia.

Mwaka 2020 kulikua na Chinese 3.70+ milion wanaoishi USA, Wakati wachina waliokua wakiishi Russia mpaka mwaka 2021 walikua ni 39,000+ tu. Mind China na Russia anayesemekana kuwa greatest partner ni majirani wanao share border😅, inazidiwa hata na Japan ambaye ni taifa hasimu la Jadi la China lakini ndani ya Japan kuna Wachina 770,000+.

Hata Mongolia kuna Wachina wengi kuliko Russia, Mongolia kuna Wachina takribani 1.3 milion.
Hilo litakupa mwanga wa kujua kama kweli ni adui US na China ni maadui au laah.

Katika list ya Major trading Partner wa China Duniani, Marekani ni namba moja, halafu kuna European Eunion then kuna South Korea na Japan, wote hao ukiwataja unamtaja Marekani. US ndiye kampa mchongo China wa masoko hayo, ndiye aliyempa teknology, mitaji na viwanda na ndiye aliyewaambia jao wampokee.

Hata ukija kwenye mahusiano ya kijeshi, miongoni mwa partners watatu bora wa China, US ni mmoja wapo😅😅, ndiye anayempa technolojia za vifaa vya kijeshi na kubadilishana taarifa za kimafunzo na kimbinu...bado ni maadui kweli hao😅😅?

Uadui wa China na Marekani ni wa kutengenezwa tu.

USA siyo fala, hafanyi hizo investment ili kujiua, bali anajizatiti. They are there to stay, wamemtengeneza China ili kutoa sehemu ya wasiompenda kwenda ku ventilate ili wasije wakavimba wakapasuka wakakufa.

USA anawapenda sana😅😅 mpaka anajitengenezea adui mdori ili tu watu wafurahi😅.

US anajua hapendwi na interests zake zinawindwa kote duniani, hivyo basi, kupitia mitaji, viwanda, technology etc alizompatia China anakua amezipaka rangi na logo ya China biashara na products zake ma hivyo kuweza kuuza Russia , Iran na sehemu zote ambazo mmarekani hakubaliki, amnako wanamuona China kama mkimbozi na mbadala wa Marekani. Wasilolijua ni kuwa US anamtumia China.

UN kwenye mzozo wa Ukraine wamepiga kura ya kuweka azimio la kuitenga Russia kuhusiana na kitendo chake cha kuivamia Ukraine, nchi 141 ziliunga mkono azimio hilo, nchi 35 hazijupiga kura kati ya nchi zilizopiga kura, nchi tano zilipiga kura kupinga hilo azimio na hovyo kuiunga mkono Russia, nchi hizo ni Russia yenyewe, Belarus, Syria, Eritrea and North Korea._* China ambaye anasemekana ndiye adui namba moja wa US na rafiki wa damu wa Russia hayupo hapo😅😅.

Watu wanatumia elimu zao, kufanya future predictions, innovations, management, productions, strategising and so so.. aisee, sisi ndiyo kwanza tunatumia vikao bungeni kuponda elimu na kuifubaza, pambavu zetu sisi.

Hivo China Kama ni mshkaji wa Russia asinge sita

Kuhusu kulipa Kwa Ruble Mafuta ya Urusi

Tukubali Urusi alikuwa Namba one kuuza Ulaya mafuta na gesi haina Ubishi ila kumbuka mwenye Reserve kubwa ya Mafuta Duniani ni Venezuela, na Iran Yuko miongoni mwa wenye reserves kubwa


Ally wa US Yaan UK Kalipa deni la $400M kwa IRAN na watu wake ma spy wawili wameachiwa sasa kinachofuata watamfungulia vikwazo na wanunue mafuta yake .....kuziba pengo la ya Rusia ....Marekani nae kamaliza vikwazo vya Venezuela ili akombe mafuta...

Boris wa UK alienda arabuni pamoja na kwamba mfalme kanyonga watu 81 Jumamosi Ya week kadhaa zilizopita LAKINI MAFUTA YANAFUTA DHAMBI HIYO NA LEO NAJUA MFALME ATAMWAMBIA PM KUWA HAKIKISHA CHELSEA ANAINUNUA MTOTO WA DADA YANGU...KESHAWEKA MEZANI £2.7B Sawa na $3.5B

Leo UMOJA wa Ulaya pamoja na G7 wamemwambia Urusi we can’t buy your gas by Ruble tutatumia Sarafu yetu Yaan hawataki madafu,

Italy na Spain leo wametia Saini kujenga Bomba Lao la Mafuta Kuacha kutegemea ya Urusi,

Ujerumani ambayo ilikuwa na mradi wa ujenzi wa Bomba na Urusi Kama Nordic 2 imesitishwa na pia hawatanunua gesi kwa Ruble hata Urusi wenyewe wamekubali,

Kuna Suala la Sarafu ya Ruble kupanda ni Kwa Muda tu Kwakuwa impact on currency changes have some factors moja ikiwa pegging Kama aliyo Fanya Urusi but won’t be in long run , ni kwakuwa wanunuzi wanatafta ufumbuzi wa mbadala

Ntaendelea Uzi usiungwe kwingine plz……

UPDATES

Kabla ya Mkutano wa Leo Rais Putin ameagiza Mtaalamu wa masuala ya the surgical treatment of oncological diseases," kumuondolea hofu dhidi ya Mambo kadhaa baada ya Afya yake kuwa na mzozo Kwa siku mbili mfululizo

Kyv independence na litivino wamereport hivo,

View attachment 2171628
Uzi mtamu huo dadeqi
 
Kwa hiyo ulikuwa haulipendi li-gufuli lile? Basi kuwa watu wanapenda wababe. Wakiona wenzao wanatumbuliwa utumbo, basi mdadi unawapandaaa... Wamejaa CCM watu wa aina hiyo.
Vema sana yan kauzi kamenipa faraja sipendagi ma dikteta mimi niwe mkweli
 
Wadanganye hawahawa mashabiki maandazi ila sio watu wenye uwezo wa ku reason. Unasema Russia wamefiwa na wanajeshi 7000+, ila husemi Ukraine wamefiwa na wanajeshi wangapi? Unasema ndani ya urusi supermarket bidhaa zinaisha, Ukraine zipo?

Je urusi imezalisha wakimbizi wangapi? Ukraiane ni wangapi? Kichekesho ni hiki 'marekani wanaenda Venezuela kuvuna mafuta' [emoji23][emoji23][emoji23] je marekani wanamtambua rais wa Venezuela? Toka lini? Watafanya biashara na serikali wasioitambua?

Nenda kasome tena, itachukua miaka 8 kwa ulaya kupata mbadala wa ges ya urusi, haya sio maneno yangu ni wataalamu na wanasiasa wa ulaya wenyewe.
Marekani alitangaza kusitisha kuchukua mafuta nchini Urusi, kwa taarifa yako mpaka jana asubuh meli zao zilichukua mzigo.

Hao hao marekani wameondoa vikwazo kwenye mbolea kutoka urusi. Alafu wewe baada ya kula kachori unadanganya watu hapa. Semeni ukweli sio ushabiki

Jana Putin na scholz wa Germany wameongea kwa simu juu ya biashara ya gesi, wameelewana juu ya means of payments
 
Ulaya wana msiba mkubwa mpaka sasa. Achana na CNN na BBC, tafuta vyanzo vya uhakika
ukifikiria nje ya box utagundua huu uzi wa huyu BRITANICCA ni moja ya mikakati ya Propaganda mfu za kudanganya dunia.
Amekuja na kisingizio cha Uchambuzi lakini uhalisia ni uzi wa PROPAGANDA MFU DHIDI YA RUSSIA. Ni Uzi maalum wa kuichafua Russia.
Na hii sio hapa tu ni Dunia nzima kuna watu wamepewa hii kaz. Fun enough na Moderator kampa Uzi ujitegemee wakati nyingi sana zinazo balance amekuwa akiziunga mwenye uzi wa Mwanzo.

Hebu mtu alete Uzi kama huu unao propagate negatively issue za West/NATO kama utaachwa ujitegemee.
 
Back
Top Bottom