Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Russia wamekubali Ulinzi wa Ukraine utakuwa chini ya Nchi kadhaa ikiwemo Turkey ambayo ni member wa NATO... Sasa what's the point ya kuivamia Ukraine in first place?
point ni kuwa mwanachama wa nato na sio kuwa chini ya mshilika wa nato, na hicho russia wamefanikiwa,