Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Mods unganisheni huu uzi, ni content zilezile za hii vita. Hii mushrooming ya thread haina tija. Uzi hauna tofauti yoyote na mchango wa kwenye uzi mama.
MODS UNGANISHENI HUU UZI.
Huu uzi ubakie wenyewe, huu ni tofauti na ule wa mipasho.
 
Umepiga hesabu na roho zilizopotea kufuatia vita hii? Unafikiri trillion 72 zinaweza fidia roho zilizoangamia?
 
Punguanis tu ndo wanaweza waza urus na Putin watatoboa......kikwazo Cha kiuchumi sio mchezomchezo uzuri ameshaaza kuugua tayari
 
Huo ndiyo ukweli wenyewe na siyo hizo propaganda za britanicca kuwa eti Ukraine kakomboa miji. Unakomboa miji baada ya wanajeshi kuondoka na kuelekea mwingine!?? Uchambuzi mahaba huu.
[emoji23][emoji23][emoji23] sindio hapo boss, paka kaondoka panya wajitawaleee
 
Muda huu Belarus wanarusha Makombora kuelekea UKRAINE yamerushwa zaidi ya 30

Chanzo cha Mass media kimereport
 
OP usitumie source za Kyiv Independent, wako biased na ulitakiwa uwe ushajua hilo mapema sana
 
Aljezzer wameonesha mwanajeshi mmoja wa Urusi amekwama na kifaru kwenye kichuguu anajaribu kuwasha kifaru ngoma haijibu hadi mwanajeshi huyo akajikuta anaongea kwa kiswahili eti "mbona hii kali" hahahahaahaahhaa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti kashinda? Watu wanateka majimbo huko na miji kugeuzwa majagwa unakuja hapa na uharo wako eti Ukraine kashinda [emoji16]
 
Swadakta umeeleza vyema na kwa uwazi kabisa,putini alidanganywa kuivamia ukraine na wasaidizi wake wa kijeshi,kifuatacho ni uchumi kuwa low zaidi kama north korea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…