Washaanza pewa kwa sasa Luhansk kila siku panawaka, uzuri wanapigwa mchana hivyo hakuna kufichaWest wanapaswa kuwasikiliza wataalamu wanaosema njia ya kuimaliza hii vita mapema ni Ukraine kupewa silaha zote za masafa marefu inazozihtaji kwa mkupuo.
Ajitoe sadaka kwa wanyonge.Afe?
Huwezi kusema jambo bila kusema ushoga??Nidhaifu Kwa sababu hawezi fanya bila mashoga wenzie.
Mtu ana Aircraft Carrier takribani 10. Ana ndege za kila aina.Kila wakati Mrusi anatishia kutumia Nyukilia. Na mashabiki wa humu wanaichukulia Marekani poa sana.
Yaani kila nchi ya NATO huwa kwanza inawasiliana na Marekani kabla ya kufanya mambo ya kijeshi halafu mtu anaichukulia US ni nchi dhaifu kijeshi.
Ha ha haMsemaji wa Kremlin kasema inachofanya Uingereza si uungwana!!
Ofkoz Russia na Putin walikuzwa kuliko uhalisia.let the caged bird sings umetoa hoja ya kufikirisha sana.
Ingawa upo tunduni tungo yako imeburudisha...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbuka tarehe uliyoandika hii Post.Kwani Ukraine [emoji1255] miji ilyochukuliwa imerudishwa
Sasa unabishana na ukweli au ? ,Una wazimu wewe ,Juzi hapa USA ilikuwa inalamika kwamba mifumo yao ya kuongozea missiles na mabom yanaingiliwa sana ma EWS za Urusi mpaka karibu yote yanaishia kukosa shabaha na kuishia porini na mashamba ya ngano na soya beans - leo hii ndio maafisa wa jeshi la Uingereza wajifanye kwamba subsonic Cruise missiles zake zima uwezo wa ku-penetrate three defense layers za Russian air defense systems - yetu macho.
Kwani wewe tafsiri ya neno "Mashoga" lilivyotumika hapo umeelewaje?.Huwezi kusema jambo bila kusema ushoga??
Huo ushoga unakuhusu nini wewe binafsi??
Sijaielewa.Kwani wewe tafsiri ya neno "Mashoga" lilivyotumika hapo umeelewaje?.
Yeye ni mshirika wa dini ya ushoga ndio maana umemkaa kichwani.Huwezi kusema jambo bila kusema ushoga??
Huo ushoga unakuhusu nini wewe binafsi??
Na yamkin kuna majimbo ndani ya Russia hayatataka kukubaliana na maamuzi ya kiongoz wao.Na miongo mwa documents zilizovuja ni pamoja na Russia waigawe iwe nchi ndogo ndogo nyingi.
Na ukitaka kujua Putin Ni mpumbavu alishiriki kushawishi marekani ufaransa ujeruman na uingereza kuishawishi Ukraine kuangamiza silaha zake za nyukilia kwenye ghala lake kwa ahadi ya kuilinda. Kumbe Ni lisnichi Fulani hivi. Lengo lilikuwa Ukraine akishaangamiza silaha yeye avamie na ndicho alichokofanya. Ndiyo ujue hana uwezo wanaomsifia nao.Sikuwahi kufikiri Putin ni fala na mtu wa kulia lia, zamani kila movie wana act Russian mafia, Russian Mafia, Hakuna mafia Russia.
Waziri wa Ulinzi wa Urusi kasema kitendo cha Uingereza kupeleka makombora yake yenye uwezo wa kupiga umbali wa kilomita 250, ni kitendo kikubwa cha kichokozi na kinaweza kuchochea vita hiyo kusambaa.
Urusi imetishia kutumia kila njia kuzima jaribio lolote la kutumiwa makombora hayo yakiwa ndani ya Ardhi ya Ukraine.
Sasa unabishana na ukweli au ? ,Una wazimu wewe ,
Muingereza unamuona kama burundi au ?
Unajua capability ya hizo missiles za muingereza ? Na hayo mapipa s400 pumbavu
Ila yeye kuua raia wema nchini ukraine ni uungwana?Msemaji wa Kremlin kasema inachofanya Uingereza si uungwana!!
Ndo umuambie aache kulia lia abakie kwenye hiyo mijiKwani Ukraine [emoji1255] miji ilyochukuliwa imerudishwa
Tangu lini mtu mpubavu akawa na uwezo wa kushawoshi mataifa manne ya magharibi kukubaliana na hoja zake na zikatekelezwa???Na ukitaka kujua Putin Ni mpumbavu alishiriki kushawishi marekani ufaransa ujeruman na uingereza kuishawishi Ukraine kuangamiza silaha zake za nyukilia kwenye ghala lake kwa ahadi ya kuilinda. Kumbe Ni lisnichi Fulani hivi. Lengo lilikuwa Ukraine akishaangamiza silaha yeye avamie na ndicho alichokofanya. Ndiyo ujue hana uwezo wanaomsifia nao.