Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,718
- 3,471
Sehem gan imechukuliwa kwan??Kwani Ukraine [emoji1255] miji ilyochukuliwa imerudishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehem gan imechukuliwa kwan??Kwani Ukraine [emoji1255] miji ilyochukuliwa imerudishwa
Na wanajua kujinasua hawezi, alilitaka mwenyeweWest hawataki hii vita iishe mapema wanataka Russia achoke Sanaa mpaka kiuchumi.
Endelea kujidanganyaUchumi wa Russia unazidi kuimalika siku hadi siku uwe unaangalia machapisho na vipeperushi vya uchumi duniani, siyo kuangalia picha za uchi mitandaoni.
Ndo mana wanasema Imekula kwake mazima.Putin is not a civilized fella. Anaamini kwenye mabavu
Nchi ya kidemocrasia haiwezi toa wananchi wake na jeshi lake likapiganie vita ambayo haipo kiserekali, hyo ni Transparency, wenye uwezo wa kufanya hvyo ni minchi ya kidectatorWe jamaa hata sijakuelewa unataka kusema nini. Mbona huyo unayemsema anawafanyia timing ......ameomba msaada tena kwa aibu kubwa kutoka kwa Msauzi(South Africa)?? Inanishangaza unaposema troops wa NATO cjui USA n.k. n.k. ndio wanaopigana na Mrusi kana kwamba Ukrainian troops wamejipumzikia zao tu na unasahau kwamba huko upande mwingine (Rusia)wapo Wagners, Belarus, Chechen, Waafrika kutoka Namibia au Angola n.k. n.k. Je, hao wanafanya nini Ukraine na silaha zao?? Wanaigiza mchezo wa kuua WanaUkraine siyo?? Kututajia habari za miaka ya naintin kweusi...... huko hakutusaidii i.e. haina maana kwamba historia itajirudia- sahau. Sipendi vita ila pia sipendi uonevu. Haki itatamalaki.
Tuzidi kumuombea ashinde hii vita.Ndo mana wanasema Imekula kwake mazima.
Mbulula kweli America+ NATO walivyoshambulia Iraq, Libya, Afghanistan, Syria siyo nchi za kidemokrasia.Nchi ya kidemocrasia haiwezi toa wananchi wake na jeshi lake likapiganie vita ambayo haipo kiserekali, hyo ni Transparency, wenye uwezo wa kufanya hvyo ni minchi ya kidectator
Koti kubwa kichwa kidogo dalili ya ......Analalamika nini sasa,hii ni Dalili ya kushindwa...
Hivi huna hata habari kwamba jana Serikali ya Merikani iliomba radhi Afrika Kusini kutokana na USA kusambaza taarifa za kizushi/Uongo kwamba Afrika Kusini inapeleka silaha za vita Urusi - kumbe taarifa hizo zilikuwa ni za kitunga tu zenye lengo la ki-draw a wedge between serikali za kibeberu na Afrika kusini.We jamaa hata sijakuelewa unataka kusema nini. Mbona huyo unayemsema anawafanyia timing ......ameomba msaada tena kwa aibu kubwa kutoka kwa Msauzi(South Africa)?? Inanishangaza unaposema troops wa NATO cjui USA n.k. n.k. ndio wanaopigana na Mrusi kana kwamba Ukrainian troops wamejipumzikia zao tu na unasahau kwamba huko upande mwingine (Rusia)wapo Wagners, Belarus, Chechen, Waafrika kutoka Namibia au Angola n.k. n.k. Je, hao wanafanya nini Ukraine na silaha zao?? Wanaigiza mchezo wa kuua WanaUkraine siyo?? Kututajia habari za miaka ya naintin kweusi...... huko hakutusaidii i.e. haina maana kwamba historia itajirudia- sahau. Sipendi vita ila pia sipendi uonevu. Haki itatamalaki.
Sikuiona hiyo taarifa. Tafadhali nipe link.Hivi huna hata habari kwamba jana Serikali ya Merikani iliomba radhi Afrika Kusini kutokana na USA kusambaza taarifa za kizushi/Uongo kwamba Afrika Kusini inapeleka silaha za vita Urusi - kumbe taarifa hizo zilikuwa ni za kitunga tu zenye lengo la ki-draw a wedge between serikali za kibeberu na Afrika kusini.
Putin atapiga pale Westminster, near Buckingham Palace few days to come, itakuwa majivu