Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Nimeshangaa sijui kwanini ukanda huo wanakosa majina, sehemu kubwa ya majina ni copy and paste na hata binadamu wa huko wana majina ya wanyamaKilosa ,Nyasa , chunya mbinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sijui kwanini ukanda huo wanakosa majina, sehemu kubwa ya majina ni copy and paste na hata binadamu wa huko wana majina ya wanyamaKilosa ,Nyasa , chunya mbinga
Dereva aliendesha bila tahadhariBarabara Ina Kona nyingi sana haifai.
Anajifanya mjuaji kumbe Mavi matupu tu. Atheists weng huwa ni punguani!We utakufa bila uzembe bro. So subiria umauti wako.
Hua unaandika posts na comments nyingi za kutafuta attention boss nasi tunakupa tena attentively. So subiria ufe bila uzembe.
Waihamishe???Barabara Ina Kona nyingi sana haifai.
Sasa Hawa uzembe wao umeujiajeSiko hapa kutafuta attention you idiot!
Vifo vingi vya wanadamu vinatokana na ujinga, uzembe, umaskini na ukosefu wa maarifa.
Wakati mwingine yafaa tuwe na imani ngumu,unasababisha ajali na kuondoa uhai kwa uzembe halafu unaomba Mungu aridhie uzembe?Njia yetu ni moja
Uzembe ni uzembe tu.Sasa Hawa uzembe wao umeujiaje
Mavi matupu ni baba na Mama yako waliozaa tahira kama wewe.Anajifanya mjuaji kumbe Mavi matupu tu. Atheists weng huwa ni punguani!
Hakuna uhusiano wa mwezi desemba na ongezeko la ajali.Mwezi December huwa ajali ziko juu sana
Ujinga ni mtazamo wako na akili yako finyu inayo shindwa kuchambua mambo kwa kina.Anadhani atapata pesa kwa ujinga anaoandika kama jina lake linavyojieleza
Ngoma imesanda na kuripuka!View attachment 3187039
Watu sita wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wanasafiria kutoka kijiji cha Lumalu kata ya Upolo - Kilosa wilayani Nyasa kuanguka katika mteremko wa Chunya wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.
Waliofariki kati yao ni walimu wanne wa shule ya msingi Lumalu ya mkoani humo, Mfamasia mmoja na dereva wa gari hilo walilolitumia kuelekea Nyasa katika shule ya sekondari Limbo, kikazi.
Akizungumza katika eneo la ajali, Salumu Ismail, Katibu Tawala Wilaya ya Nyasa, amewashukuru wananchi kwa kujitokeza katika eneo ilipotokea ajali na kutoa msaada.
Amewaomba ndugu wa marehemu kwenda kupima DNA kwa ajili ya utambuzi wa miili hiyo ambayo imehifadhiwa katika hospitali ya Mbinga mkoani humo.
Ajali hiyo imetokea leo Desemba 28, 2024 ambapo chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika.
TBC
View attachment 3187042
View attachment 3187043
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja. Usitishike na maneno ya wapumbavu wachache wanaokubeza na kukudhihaki. Ni kweli tupu waafrika tunaangamia kwa upumbavu wetu lakini hili watu hawataki kulisikia kabisa.Waafrika hasa watanzania wana kufa sana kutokana na ujinga, uzembe na kuishi kwa mazoea.
Ajali nyingi hapa Tanzania zinatokana na ujinga, uzembe na upumbavu wa Raia.Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja. Usitishike na maneno ya wapumbavu wachache wanaokubeza na kukudhihaki. Ni kweli tupu waafrika tunaangamia kwa upumbavu wetu lakini hili watu hawataki kulisikia kabisa.
Mfano kwnye vyombo bya moto unakuta dreva amelewa et anaendesha gari au pkpk. Barabara mbovu analazimisha spind kubwa hata anachowahi hakijulikani. Magari hayakaguliwi kuna kama yanafaa kw safari au laa ya ani ni ujinga ujinga tu
Kifo hiki kinatisha...Njia yetu ni moja
Ndiyo hivyo mkuu, tunakopa sana majina. Kuna jamaa alisema yupo USA kumbe usariva.Kilosa ,Nyasa , chunya mbinga
Kilosa ,chunya,vyasa,mbinga. Unawaza kama mimi yani.Kilosa ,Nyasa , chunya mbinga
Limepinduka na kulipuka,wameungulia humohumoKifo hiki kinatisha...