Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Kila mtu ataondoka duniani kwa style yake ila wote ni kaburiniWakati mwingine yafaa tuwe na imani ngumu,unasababisha ajali na kuondoa uhai kwa uzembe halafu unaomba Mungu aridhie uzembe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ataondoka duniani kwa style yake ila wote ni kaburiniWakati mwingine yafaa tuwe na imani ngumu,unasababisha ajali na kuondoa uhai kwa uzembe halafu unaomba Mungu aridhie uzembe?
Ulisemalo ni kweli lkn mimi huwa nawaza hizi familia ambazo unakuta mfanyakazi ni baba au mama na wengine waliosalia ni tegemezi na ndo hivyo ameondoka, kwanini serikali isiweke utaratibu wa kuendelea kuwalipa mshahara hata kama ni nusu huyu mke wa marehemu ambaye alikuwa hana kazi yoyote ili aweze kutunza familia yake vizuri.Mungu azipokee roho za marehemu wapate pumziko jema.
Ila maisha ni ya ajabu sana,kimahesabu hapa kuna familia tano zinalia na kuhuzunika kwa uchungu wa kuondokewa na jamaa zao then kuna familia nyengine tano zitapona kwa jamaa zao kushika nafasi walizokuwa wakizitumikia hawa waliotangulia.
Watumiaji wa barabara uongezeka, kama wangekaa sehemu zao za kazi hizo ajali zisingetokea.Mwezi December huwa ajali ziko juu sana
mbona umeandikahata Cha kuandika sioni.....
hua siamini kusafiri kundi lawatu pamoja wanaofanya kazi pamoja....mbona umeandika
Achana naye kibaka mmoja hana uatheist wowote ni tapeli na mshirikina mmoja tu. Ni ushamba ndio unamsumbua na usukuma wake.Anajifanya mjuaji kumbe Mavi matupu tu. Atheists weng huwa ni punguani!
Achana naye kibaka mmoja hana uatheist wowote ni tapeli na mshirikina mmoja tu. Ni ushamba ndio unamsumbua na usukuma wake.Anajifanya mjuaji kumbe Mavi matupu tu. Atheists weng huwa ni punguani!
You idiot, Nilishawahi kukutapeli nini?Achana naye kibaka mmoja hana uatheist wowote ni tapeli na mshirikina mmoja tu. Ni ushamba ndio unamsumbua na usukuma wake.
Kama mtumishi ametumikia na kuchangia mfuko WA hifadhi ya jamii kwa miaka 15 sawa na miezi 180 mwenza ataendelea kula maisha.Ulisemalo ni kweli lkn mimi huwa nawaza hizi familia ambazo unakuta mfanyakazi ni baba au mama na wengine waliosalia ni tegemezi na ndo hivyo ameondoka, kwanini serikali isiweke utaratibu wa kuendelea kuwalipa mshahara hata kama ni nusu huyu mke wa marehemu ambaye alikuwa hana kazi yoyote ili aweze kutunza familia yake vizuri.
Huo uzoefu unaupataje?Innalillah wainnailayh rajiuun....
Hakika ya umauti ni mawaidha tosha kwa mwanadamu....
Gari na Pikipiki si vitu vya kujifunzia highway....huna uzoefu Acha
Watanzania wengi wanakufa kutokana na ujinga na uzembe.Eti chanzo hakijafahamika,wakat inajulikana ni uzembe wa dereva
Watumishi wa Umma na mtindo wa kupeana lift,kisa mishahara midogo!View attachment 3187039
Watu sita wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wanasafiria kutoka kijiji cha Lumalu kata ya Upolo - Kilosa wilayani Nyasa kuanguka katika mteremko wa Chunya wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.
Waliofariki kati yao ni walimu wanne wa shule ya msingi Lumalu ya mkoani humo, Mfamasia mmoja na dereva wa gari hilo walilolitumia kuelekea Nyasa katika shule ya sekondari Limbo, kikazi.
Akizungumza katika eneo la ajali, Salumu Ismail, Katibu Tawala Wilaya ya Nyasa, amewashukuru wananchi kwa kujitokeza katika eneo ilipotokea ajali na kutoa msaada.
Amewaomba ndugu wa marehemu kwenda kupima DNA kwa ajili ya utambuzi wa miili hiyo ambayo imehifadhiwa katika hospitali ya Mbinga mkoani humo.
Ajali hiyo imetokea leo Desemba 28, 2024 ambapo chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika.
TBC
View attachment 3187042
View attachment 3187043
Tafuta uzoefu ukiwa na mzoefu/gwiji au ukiwa kichwa kigumu ingia Road ukiwa peke yako...Huo uzoefu unaupataje?
Ila Nyasa🤔
Ulinitapeli kinyeo hiko maana uliniambia utanipa nikifumue. Pumbavu.You idiot, Nilishawahi kukutapeli nini?
Hunijui sikujui halafu unasema mimi ni mshirikina?
Mshirikina ni Baba na Mama yako waliozaa zumbukuku na mbwa takataka kama wewe unaye sumbuliwa na utahira huko kichwani mwako.
Nincompoop.
Labda kinyeo cha baba yako aliye zaa tahira kama wewe unaye washwa washwa kushobokea wanaume.Ulinitapeli kinyeo hiko maana uliniambia utanipa nikifumue. Pumbavu.