Ruvuma: Ajali yaua Watu 6 wakiwemo Walimu 4 wa Shule moja

Ulisemalo ni kweli lkn mimi huwa nawaza hizi familia ambazo unakuta mfanyakazi ni baba au mama na wengine waliosalia ni tegemezi na ndo hivyo ameondoka, kwanini serikali isiweke utaratibu wa kuendelea kuwalipa mshahara hata kama ni nusu huyu mke wa marehemu ambaye alikuwa hana kazi yoyote ili aweze kutunza familia yake vizuri.
 
Anajifanya mjuaji kumbe Mavi matupu tu. Atheists weng huwa ni punguani!
Achana naye kibaka mmoja hana uatheist wowote ni tapeli na mshirikina mmoja tu. Ni ushamba ndio unamsumbua na usukuma wake.
 
Achana naye kibaka mmoja hana uatheist wowote ni tapeli na mshirikina mmoja tu. Ni ushamba ndio unamsumbua na usukuma wake.
You idiot, Nilishawahi kukutapeli nini?

Hunijui sikujui halafu unasema mimi ni mshirikina?

Mshirikina ni Baba na Mama yako waliozaa zumbukuku na mbwa takataka kama wewe unaye sumbuliwa na utahira huko kichwani mwako.

Nincompoop.
 
Kama mtumishi ametumikia na kuchangia mfuko WA hifadhi ya jamii kwa miaka 15 sawa na miezi 180 mwenza ataendelea kula maisha.
 
Wapumzike kwa amani. Hii december ajali za barabarani zimechukua uhai wa watz wenzetu wengi sana.
 
Watumishi wa Umma na mtindo wa kupeana lift,kisa mishahara midogo!
 
Serikali imepoteza nguvu kazi hapo..
Walimu wa4 wa shule ya msingi moja usikute ndo ilikuwa staff nzima hapo...
 
You idiot, Nilishawahi kukutapeli nini?

Hunijui sikujui halafu unasema mimi ni mshirikina?

Mshirikina ni Baba na Mama yako waliozaa zumbukuku na mbwa takataka kama wewe unaye sumbuliwa na utahira huko kichwani mwako.

Nincompoop.
Ulinitapeli kinyeo hiko maana uliniambia utanipa nikifumue. Pumbavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…