Ruvuma: Aua mke wake kisa kunyimwa Unyumba

Ruvuma: Aua mke wake kisa kunyimwa Unyumba

Ila huwa inaudhi sana,hivi wanawake wanafikiri tunapoamua kuoa ni kwasababu tunataka tutizame tu hizo sura zao nzuri,yani ukiwa mwanandoa ukinyimwa unaweza hata kushindwa kutekeleza majukumu yako ya kila siku...
 
Case ndogo, kaua bila kukusudia.
Kitendo cha kumkimbiza hadi nje tayari siyo Manslaughter hiyo ni murder pure kabisa ameua kwa kukusudia ingekua ni reaction ya hapo na hapo ndo ingekua kaua bila kukusudia ila hii ya kushika mpini mtu kakimbia na wewe ukamkimbiza maana yake umepata muda wa kutafakari ni nini unafanya na umeamua kufanya
 
Kwani hapo mtaani kwake hakuna mishangazi?
FB_IMG_17311680688298130.jpg
 
Kitendo cha kumkimbiza hadi nje tayari siyo Manslaughter hiyo ni murder pure kabisa ameua kwa kukusudia ingekua ni reaction ya hapo na hapo ndo ingekua kaua bila kukusudia ila hii ya kushika mpini mtu kakimbia na wewe ukamkimbiza maana yake umepata muda wa kutafakari ni nini unafanya na umeamua kufanya
Mahakama zina mambo. Mwamba wa Kigamboni alieenda hadi kufuata mkaa ni 1st degree kabisa ile ila kasevu.
 
Safii kwann amnyime anajua uchungu wa kunyimwa kyuma huyuuu ni sawa na uchungu wa kujifunguaaaa
 
Wanawake Wana mauzi sana,kutegemea tu ku.ma moja kutomba, kulala na nyege ni rahisi sana,.........ndio maana UISLAM unaruhusu wanawake hadi wanne,.......tukubali tukatae UISLAM upo mbele ya muda
Kwenye hayo mambo mnapenda sana kutetea.
 
Jamaa itakua amehisi Kuna mtu ana msaidia kazi alafu yeye ananyimwa.
 
Unyumba sio kama maji ya kunywa, Kuna factors zake.
Mme akiomba unyumba unampa tu hakuna masharti wa kupangiana muda hata kwa siku akitaka dozi mara 5 apewe tu,
Sasa kwann anamnyima unyumba au ndy kuna msela mwingine anampelekea

Ova
GENTAMYCINE
 
Mme akiomba unyumba unampa tu hakuna masharti wa kupangiana muda hata kwa siku akitaka dozi mara 5 apewe tu,
Sasa kwann anamnyima unyumba au ndy kuna msela mwingine anampelekea

Ova
GENTAMYCINE
Na ndiyo maaa kwa huo Upuuzi wao wa kutunyima Unyumba tukiwapata wengine huko Mitaani tunapita nao hadi Nyuma.
 
Tuchunguze kwa makini umuhimu wa "nyumba ndogo " angekuwa nayo kifo hakingetokea. Mwanamke akikataa usimlazimishe, wewe hamia sehemu nyingine, maisha yaendelee.
 
Martin Hyera, mkazi wa Kijiji cha Kizuka, wilayani Songea anatafutwa na Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma, kwa tuhuma za Kumuua Mke wake Luciana Kapinga kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali kichwani chanzo kikiwa kunyimwa Unyumba.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea, Novemba 14,2024 Majira ya saa 12 Asubuhi katika kitongoji cha mbilo kijiji cha kizuka kilichopo kata ya kizuka Tarafa ya Mhukuru Wilayani Songea.

"Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Luciana Dastani kapinga (22) mkulima mkazi wa kitongoji cha mbilo aliuawa kwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali maeneo ya kichwani upande wa juu wa jicho la kushoto hadi kichwa kubonyea na mume wake aitwaye Martin Hyera Baada ya kumnyima Unyumba"

"Wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana huku Mtuhumiwa Martin Hyera akiwa ameshika mpini wa Shoka kisha kutekeleza Mauaji hayo na baada ya kutekelezea mauaji hayo Mtuhumiwa alimpigia simu shangazi yake aitwaye Paulina nchimbi na kumjulisha kuwa amemuua Mke wake kwa sababu amekuwa akimnyima unyumba kwa muda mrefu kisha Mtuhumiwa huyo alitoroka" - SACP Marco Chilya, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma
Kamnyima mumewe sasa iache ikaliwe na funza!
 
😄😄😄
Wangoni wanavyopenda ngono sasa inakuwaje Luciana alikuwa anambania Mume wake? Au kuna sehemu alikuwa anatoa huduma ?

Changamoto sana
Wacha ikaliwe na funza , ameona akimpa mumewe anafaidi sana.
Hadi kukimbizana kama kuku??!!😄😄😄😄😄
 
Back
Top Bottom