Ruvuma: Aua mke wake kisa kunyimwa Unyumba

Ruvuma: Aua mke wake kisa kunyimwa Unyumba

Miaka 22 tiar upo kwenye ndoa alafu utaki kutoa mzigo why so

Na nyinyi vijana wezangu acheni kuoa wanawake ambao hawajui maandiko

Mwanamke anaejua maandiko anafahamu fika kabisa kuwa hana mamlaka na mwili wake mwenyewe
Hapa haitakiwi kabisa hata kujaribu kumtetea huyo mwanaume.

Kuchukua uhai wa mtu ni jambo lingine kabisa
 
Martin Hyera, mkazi wa Kijiji cha Kizuka, wilayani Songea anatafutwa na Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma, kwa tuhuma za Kumuua Mke wake Luciana Kapinga kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali kichwani chanzo kikiwa kunyimwa Unyumba.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea, Novemba 14,2024 Majira ya saa 12 Asubuhi katika kitongoji cha mbilo kijiji cha kizuka kilichopo kata ya kizuka Tarafa ya Mhukuru Wilayani Songea.

"Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Luciana Dastani kapinga (22) mkulima mkazi wa kitongoji cha mbilo aliuawa kwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali maeneo ya kichwani upande wa juu wa jicho la kushoto hadi kichwa kubonyea na mume wake aitwaye Martin Hyera Baada ya kumnyima Unyumba"

"Wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana huku Mtuhumiwa Martin Hyera akiwa ameshika mpini wa Shoka kisha kutekeleza Mauaji hayo na baada ya kutekelezea mauaji hayo Mtuhumiwa alimpigia simu shangazi yake aitwaye Paulina nchimbi na kumjulisha kuwa amemuua Mke wake kwa sababu amekuwa akimnyima unyumba kwa muda mrefu kisha Mtuhumiwa huyo alitoroka" - SACP Marco Chilya, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma
Wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana huku Mtuhumiwa Martin Hyera akiwa ameshika mpini wa Shoka kisha kutekeleza Mauaji hayo na baada ya kutekelezea mauaji hayo Mtuhumiwa alimpigia simu shangazi yake aitwaye Paulina nchimbi na kumjulisha kuwa amemuua Mke wake kwa sababu amekuwa akimnyima unyumba kwa muda mrefu kisha Mtuhumiwa huyo alitoroka" - SACP Marco Chilya, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma..🥺🥺🥺 upwiru
 
Jemba yaomekana lilikuwa linataka kupata utaam tu bila kujali majukumu ya home. Yaani yawezekana kinashinda kilabuni afu usiku mkubwa hilo home mdogo mdogo - haya mama panua shafika limwage.. likishamaliza linageukia ukutani..linakoroma
Msichana akaona haya so maisha akaanza kulinyima mzigo..

Chanzo cha haya yote ni umaskini.
 
Martin Hyera, mkazi wa Kijiji cha Kizuka, wilayani Songea anatafutwa na Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma, kwa tuhuma za Kumuua Mke wake Luciana Kapinga kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali kichwani chanzo kikiwa kunyimwa Unyumba.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea, Novemba 14,2024 Majira ya saa 12 Asubuhi katika kitongoji cha mbilo kijiji cha kizuka kilichopo kata ya kizuka Tarafa ya Mhukuru Wilayani Songea.

"Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Luciana Dastani kapinga (22) mkulima mkazi wa kitongoji cha mbilo aliuawa kwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali maeneo ya kichwani upande wa juu wa jicho la kushoto hadi kichwa kubonyea na mume wake aitwaye Martin Hyera Baada ya kumnyima Unyumba"

"Wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana huku Mtuhumiwa Martin Hyera akiwa ameshika mpini wa Shoka kisha kutekeleza Mauaji hayo na baada ya kutekelezea mauaji hayo Mtuhumiwa alimpigia simu shangazi yake aitwaye Paulina nchimbi na kumjulisha kuwa amemuua Mke wake kwa sababu amekuwa akimnyima unyumba kwa muda mrefu kisha Mtuhumiwa huyo alitoroka" - SACP Marco Chilya, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma
Mwanamke humnyima unyumba mumewe anapopata mchepuko nje na kumaliza haha zake kabla ya mumewe!!

Ukiona hivyo Bora ulianzishe nje!kwanini kunyenyekea kiungo Cha mtu!!?
 
Martin Hyera, mkazi wa Kijiji cha Kizuka, wilayani Songea anatafutwa na Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma, kwa tuhuma za Kumuua Mke wake Luciana Kapinga kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali kichwani chanzo kikiwa kunyimwa Unyumba.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea, Novemba 14,2024 Majira ya saa 12 Asubuhi katika kitongoji cha mbilo kijiji cha kizuka kilichopo kata ya kizuka Tarafa ya Mhukuru Wilayani Songea.

"Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Luciana Dastani kapinga (22) mkulima mkazi wa kitongoji cha mbilo aliuawa kwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali maeneo ya kichwani upande wa juu wa jicho la kushoto hadi kichwa kubonyea na mume wake aitwaye Martin Hyera Baada ya kumnyima Unyumba"

"Wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana huku Mtuhumiwa Martin Hyera akiwa ameshika mpini wa Shoka kisha kutekeleza Mauaji hayo na baada ya kutekelezea mauaji hayo Mtuhumiwa alimpigia simu shangazi yake aitwaye Paulina nchimbi na kumjulisha kuwa amemuua Mke wake kwa sababu amekuwa akimnyima unyumba kwa muda mrefu kisha Mtuhumiwa huyo alitoroka" - SACP Marco Chilya, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma
Mkuu hawa n uliowasikia tu region na TV

Hawa mabinti wanajiua wenyewe we unaenda kwa mumeo humpi unyumba unataka nn zaidi

Si ukazeekee kwa wazazi wakoo
 
X+Y=Z
WACUBA NA RUSIA TUNAELEWANA
 

Attachments

  • Screenshot_20241125-155424_Gallery.jpg
    Screenshot_20241125-155424_Gallery.jpg
    195.1 KB · Views: 5
  • 1732537174394.jpg
    1732537174394.jpg
    100.5 KB · Views: 4
Martin Hyera, mkazi wa Kijiji cha Kizuka, wilayani Songea anatafutwa na Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma, kwa tuhuma za Kumuua Mke wake Luciana Kapinga kwa kumpiga na kitu chenye ncha kali kichwani chanzo kikiwa kunyimwa Unyumba.

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, SACP Marco Chilya, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea, Novemba 14,2024 Majira ya saa 12 Asubuhi katika kitongoji cha mbilo kijiji cha kizuka kilichopo kata ya kizuka Tarafa ya Mhukuru Wilayani Songea.

"Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Luciana Dastani kapinga (22) mkulima mkazi wa kitongoji cha mbilo aliuawa kwa kupigwa na kitu kizito chenye ncha kali maeneo ya kichwani upande wa juu wa jicho la kushoto hadi kichwa kubonyea na mume wake aitwaye Martin Hyera Baada ya kumnyima Unyumba"

"Wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana huku Mtuhumiwa Martin Hyera akiwa ameshika mpini wa Shoka kisha kutekeleza Mauaji hayo na baada ya kutekelezea mauaji hayo Mtuhumiwa alimpigia simu shangazi yake aitwaye Paulina nchimbi na kumjulisha kuwa amemuua Mke wake kwa sababu amekuwa akimnyima unyumba kwa muda mrefu kisha Mtuhumiwa huyo alitoroka" - SACP Marco Chilya, Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma
Hapo unakuta kuna muhuni alikuwa anampa uroda bure. Rest in Peace Luciana.
 
Screenshot_20241125-194802.png
Jeshi la polisi mkoa wa Ruvuma limetoa taarifa ya mauaji yaliotokea tarehe 14.11.2024 majira ya saa 12 asubuhi katika kitongoji cha Mbilo, kijiji cha Kizuka, kata ya kizukatarafa ya Muhukuru wilaya ya Songea, mwanamke aliyefahamika kwa jina la Ponsiana Dastan Kapinga (22)ameua kwa kupigwa na kitu kizito kichwani juu ya jicho la kushoto hadi kichwa kubonyea na mumwe aitwaye Mrtin Hyera baada ya kunyimwa tendo la ndoa
Kabla ya mauaji wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana mwanaume akiwa ameshika mpini wa shoka ndipo alipoenda kutekeleza mauaji hayo.

na baada ya kufanya mauaji hayo mtuhumiwa (mume) alimpigia simu shangazi yake Pulina Nchimbi na kumjulisha amemuua mke wake kwasababu ya kumnyima unyumba kwa muda mrefu.

Baada ya kutoa taarifa kwa shangazi yake akakimbia jeshi la polisi linaendelea na msako katika maeneo mbalimbali.
 
View attachment 3161491
Jeshi la polisi mkoa wa Ruvuma limetoa taarifa ya mauaji yaliotokea tarehe 14.11.2024 majira ya saa 12 asubuhi katika kitongoji cha Mbilo, kijiji cha Kizuka ,kata ya kizukatarafa ya Muhukuru wilaya ya Songea ,mwanamke aliyefahamika kwa jina la Ponsiana Dastan Kapinga (22)ameua kwa kupigwa na kitu kizito kichwani juu ya jicho la kushoto hadi kichwa kubonyea na mumwe aitwaye Mrtin Hyera baada ya kunyimwa tendo la ndoa
Kabla ya mauaji wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana mwanaume akiwa ameshika mpini wa shoka ndipo alipoenda kutekeleza mauaji hayo.
na baada ya kufanya mauaji hayo mtuhumiwa (mume) alimpigia simu shangazi yake Pulina Nchimbi na kumjulisha amemuua mke wake kwasababu ya kumnyima unyumba kwa muda mrefu. baada ya kutoa taarifa kwa shangazi yake akakimbia jeshi la polisi linaendelea na msako katika maeneo mbalimbali.
Ivi tatizo la afya ya akili ni kubwa kiasi hiki. Mtuhumiwa ni hamnazo kabisa.
 
View attachment 3161491
Jeshi la polisi mkoa wa Ruvuma limetoa taarifa ya mauaji yaliotokea tarehe 14.11.2024 majira ya saa 12 asubuhi katika kitongoji cha Mbilo, kijiji cha Kizuka ,kata ya kizukatarafa ya Muhukuru wilaya ya Songea ,mwanamke aliyefahamika kwa jina la Ponsiana Dastan Kapinga (22)ameua kwa kupigwa na kitu kizito kichwani juu ya jicho la kushoto hadi kichwa kubonyea na mumwe aitwaye Mrtin Hyera baada ya kunyimwa tendo la ndoa
Kabla ya mauaji wawili hao walionekana alfajiri wakikimbizana mwanaume akiwa ameshika mpini wa shoka ndipo alipoenda kutekeleza mauaji hayo.
na baada ya kufanya mauaji hayo mtuhumiwa (mume) alimpigia simu shangazi yake Pulina Nchimbi na kumjulisha amemuua mke wake kwasababu ya kumnyima unyumba kwa muda mrefu. baada ya kutoa taarifa kwa shangazi yake akakimbia jeshi la polisi linaendelea na msako katika maeneo mbalimbali.
Bantu Lady shida inaanzia hapa unalala na mwenzio halafu humpi unamsaundisha tu. Kufa nje nje 🤣🤣🤣
 
Why? Ya nini kuua jitu ambalo halitaki kunipa uroda? Ndio ni mke wangu, kama hataki isiwe taabu naenda kutafuta uroda nje, upo wa kila bei hata wa buku unapata, unatoa ugwadu unarudi nyumbani kulala kwa amani. Haina haja ya kupiga au kuua jitu ambalo limeamua kutotoa uroda
 
Hii tuliiona. Na kataa ndoa wakasema Safi sana. Wale wanaosupport Ndoa wakasema Marehemu akatoe uroda uko mahala pema.
 
Back
Top Bottom