Kwa hiyo wanaoishi kwenye nyumba wote ni zao wamejenga? Ukitaka kujua kuwa kujenga bila mipango ni ujinga nenda tembelea uswahilini uone wenye nyumba wanavyo gongea misaada kwa wapangaji wao au mtu kajenga anaishi kwake afu analala njaa.Ni aibu, mbona hulali kwenye nyasi kwani usingizi hauwezi kuja?
Dah hizo sifa mbona za bashite na lemutuz mi nawajua vijana safi wa chadema wana kazi zao na elimu zao nzuri tu ila maccmavi mengi ndo hayo hayana mbele wala nyumakwanza unazijua sifa za wafuasi wa chadema?
ili uwe mfuari wa chadema lazima uwe na sifa zifuatazo
1.lazima uwe huna kazi
2.umekata tamaa kimaisha
3.hujielewi
4.uwe na mtindio wa ubongo
5.uwe na mihemko ya kike
6.uwe tayari kuwalamba miguu mabeberu
7.uwe na vyeti feki
8....
9....
10...
Utapingaje kupokea hela weweusijitoe faham beberu linalozungumziwa hapa unalijua, chadema ni wapinzani uchwara kila kitu wanapinga bt hata siku moja hatujasikia wakipinga kupokea ruzuku hapo ndo mnapaswa mjiongeze nyie mbulula mnaopa support
Acha kutetea ujinga na wewe, mtu unalipwa kila mwezi milion 400 unashindwaje kujenga ofisi moja ya milioni 300 kwa miaka 5? shame on youKwa hiyo wanaoishi kwenye nyumba wote ni zao wamejenga? Ukitaka kujua kuwa kujenga bila mipango ni ujinga nenda tembelea uswahilini uone wenye nyumba wanavyo gongea misaada kwa wapangaji wao au mtu kajenga anaishi kwake afu analala njaa.
Vijana wa CDM? sham on youLumumba, jengo la vijana n.k
Magari 50 kwa majimbo 200 Ni utaniMlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Hayo majengo ni ya ccm?? Wewe umezaliwa lini.Lumumba, jengo la vijana n.k
Mkuu milioni 4 ili kujenga nini?Inashindikana nini kwenye ruzuku ya bilioni 4 kwa mwaka kutoa milioni 4
Historia za majengo hayo unazifahamu?Lumumba, jengo la vijana n.k
Hili jibu ni la uzito wa tani 10Acha kuwa mshamba.. kwanini benki wana mabilioni lakini wanapanga?
Toka nimejiunga sijawahi kujuta kujiunga na chadema toka 1992 I was only 17 sebuleni kwa mzee wangu wakati huo hata slaa hakwepo KARATU TUNA HISTORIA NA CDMMlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Hao hao takukuru waliwaiya na kuwahoji wabunge wa chadema. Hakuna alionekana na tatizo. Ww uchunguzi wako umeendesha wapi?subiri repot ya takukuru ndo utaelewa kinachoendelea.
Hivi haya magari huwa yanaenda wapi baada ya kampeni? Maana kila kampeni lazima tuone magari mapya, baada ya hapo hatuyaoni. Hurudishwa show room au?Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Lakini mbona picha hizi za siku nyingi sana ?!Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Beberu no yeyote anaeongea Mambo yasiyo kuwa na maana halisi .usijitoe faham beberu linalozungumziwa hapa unalijua, chadema ni wapinzani uchwara kila kitu wanapinga bt hata siku moja hatujasikia wakipinga kupokea ruzuku hapo ndo mnapaswa mjiongeze nyie mbulula mnaopa support
Umeona wivu?Mkuu hujui kitu, hayo magari yametokana na ufadhili wa mabeberu alafu we unaleta habari za ruzuku.
Magari ya Saccos...Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni
MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Ni sawa na kumuuliza mlezi wako (to put it mildly) kwa nini walikulea ukawa mkubwa namna hii na kuwa na akili za kitoto.Nadhani jambo ambalo chadema imekosea 2015-2020 ni uwekezaji mdogo.
Kwa sababu
1. Walikua na wabunge wengi
2. Walikua na wanachama wengi
3. Walikua na ruzuku kubwa
Ujenzi wa chama ni muhimu sana kuliko ofisi na vitega uchumi japo inabidi wabalance.
Tusilinganishe na ccm ambayo ofisi nyingi zilijengwa kwa fedha ya walipa kodi na 1992 wakapora kama mali zao.
Another wasted semenkwanza unazijua sifa za wafuasi wa chadema?
ili uwe mfuari wa chadema lazima uwe na sifa zifuatazo
1.lazima uwe huna kazi
2.umekata tamaa kimaisha
3.hujielewi
4.uwe na mtindio wa ubongo
5.uwe na mihemko ya kike
6.uwe tayari kuwalamba miguu mabeberu
7.uwe na vyeti feki
8....
9....
10...