Uchaguzi 2020 Ruzuku ya CHADEMA yanunulia magari ya kampeni

Uchaguzi 2020 Ruzuku ya CHADEMA yanunulia magari ya kampeni

Ni aibu, mbona hulali kwenye nyasi kwani usingizi hauwezi kuja?
Kwa hiyo wanaoishi kwenye nyumba wote ni zao wamejenga? Ukitaka kujua kuwa kujenga bila mipango ni ujinga nenda tembelea uswahilini uone wenye nyumba wanavyo gongea misaada kwa wapangaji wao au mtu kajenga anaishi kwake afu analala njaa.
 
kwanza unazijua sifa za wafuasi wa chadema?
ili uwe mfuari wa chadema lazima uwe na sifa zifuatazo

1.lazima uwe huna kazi
2.umekata tamaa kimaisha
3.hujielewi
4.uwe na mtindio wa ubongo
5.uwe na mihemko ya kike
6.uwe tayari kuwalamba miguu mabeberu
7.uwe na vyeti feki
8....
9....
10...
Dah hizo sifa mbona za bashite na lemutuz mi nawajua vijana safi wa chadema wana kazi zao na elimu zao nzuri tu ila maccmavi mengi ndo hayo hayana mbele wala nyuma
 
usijitoe faham beberu linalozungumziwa hapa unalijua, chadema ni wapinzani uchwara kila kitu wanapinga bt hata siku moja hatujasikia wakipinga kupokea ruzuku hapo ndo mnapaswa mjiongeze nyie mbulula mnaopa support
Utapingaje kupokea hela wewe
 
Kwa hiyo wanaoishi kwenye nyumba wote ni zao wamejenga? Ukitaka kujua kuwa kujenga bila mipango ni ujinga nenda tembelea uswahilini uone wenye nyumba wanavyo gongea misaada kwa wapangaji wao au mtu kajenga anaishi kwake afu analala njaa.
Acha kutetea ujinga na wewe, mtu unalipwa kila mwezi milion 400 unashindwaje kujenga ofisi moja ya milioni 300 kwa miaka 5? shame on you
 
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni


MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Toka nimejiunga sijawahi kujuta kujiunga na chadema toka 1992 I was only 17 sebuleni kwa mzee wangu wakati huo hata slaa hakwepo KARATU TUNA HISTORIA NA CDM
 
subiri repot ya takukuru ndo utaelewa kinachoendelea.
Hao hao takukuru waliwaiya na kuwahoji wabunge wa chadema. Hakuna alionekana na tatizo. Ww uchunguzi wako umeendesha wapi?
Pili nataka evidence kutoka kwako. Nothing else
 
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni


MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Hivi haya magari huwa yanaenda wapi baada ya kampeni? Maana kila kampeni lazima tuone magari mapya, baada ya hapo hatuyaoni. Hurudishwa show room au?

Magari yaliyomwagwa 2000, 2015 yamekwisha au haya ni nyongeza?
 
Mlihoji sana ruzuku inakwenda wapi. Haya ni baadhi tu ya maandalizi ya uchaguzi magari 25 mapya ya kupigia kampeni


MAGARI mengine mapya 25 ya Chama kwa ajili ya maandalizi ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2020 yamefika Dar es salaam.
Lakini mbona picha hizi za siku nyingi sana ?!
 
usijitoe faham beberu linalozungumziwa hapa unalijua, chadema ni wapinzani uchwara kila kitu wanapinga bt hata siku moja hatujasikia wakipinga kupokea ruzuku hapo ndo mnapaswa mjiongeze nyie mbulula mnaopa support
Beberu no yeyote anaeongea Mambo yasiyo kuwa na maana halisi .
 
Nadhani jambo ambalo chadema imekosea 2015-2020 ni uwekezaji mdogo.

Kwa sababu
1. Walikua na wabunge wengi
2. Walikua na wanachama wengi
3. Walikua na ruzuku kubwa


Ujenzi wa chama ni muhimu sana kuliko ofisi na vitega uchumi japo inabidi wabalance.

Tusilinganishe na ccm ambayo ofisi nyingi zilijengwa kwa fedha ya walipa kodi na 1992 wakapora kama mali zao.
Ni sawa na kumuuliza mlezi wako (to put it mildly) kwa nini walikulea ukawa mkubwa namna hii na kuwa na akili za kitoto.
 
kwanza unazijua sifa za wafuasi wa chadema?
ili uwe mfuari wa chadema lazima uwe na sifa zifuatazo

1.lazima uwe huna kazi
2.umekata tamaa kimaisha
3.hujielewi
4.uwe na mtindio wa ubongo
5.uwe na mihemko ya kike
6.uwe tayari kuwalamba miguu mabeberu
7.uwe na vyeti feki
8....
9....
10...
Another wasted semen
 
Back
Top Bottom