Rwanda inafanya makubwa

Rwanda inafanya makubwa

I wish watanzania wengi mngetembelea Nchi ya Rwanda japo kwa siku moja, .......aka ni ka nchi masikini, raia wake wana tabika sana sema tu wana tawaliwa kimabavu, kukuta familia yenye uwezo wa kula milo mitatu ni bahati sana, wengi hawana ajira maduka hayana bidhaa, toka nje ya ya Kigali tu utakuja kugundua ndo utaona sisi Tzania tuna chezea fursa, hawana aridhi ya kilimo, familia zima ya watu sita kijijini ina tegemea ngombe moja tu wa kisasa........umasikini wao hauna mfano hapa Tz.
Sasa wewe mwenye vyote hivyo mbona hatuoni maendeleo zaidi ya uchawa? Wewe mwenye Kila kitu watoto wanasomea chini ya mti Tena kwenye Jiji kama dar? Huoni aibu?
 
Tena nimemsikia rais akiulizwa swali huko sauzi, majawabu aliyoyatoa, basi tu! Wasikilizaji waliishia kupiga makofi kumpa moyo.
 
Hujaelewa, Rwanda katumia $5M kuandaa mkutano wa FIFA.
Rwanda ina invest kujitangaza kimaraifa na kujisafisha ndo yale yale ya kutowa $30m kumpa Arsenal ili atangaze nchi yake kwenye jezi yao,.......Rwanda ni masikini kutoa hizo pesa kwa lengo la kujitangaza tu, ila pale Kagame huwezi kumkosowa atakuua tu. Hiyo ndo hali ya Rwanda huwezi kulinganisha na nchi yenye freedom of press and speech Tz,
 
Ni kama una matatizo ya uelewa! Unawezaje kuilaani Rwanda na hatimaye usema TZ tunachezea fursa? Tunaposema rais kawa Sindbad baharia nini maana yake? Tunaposema aachane na safari mfu kama hizi anazofanya, awe makini na mwenendo wa nchi nini maana yake. Tunasema tuna rais mwenye uwezo mdogo! FINITO!
Hawa wajinga hawajui safari ya raisi moja tu pesa inayotumika inaweza kujenga shule Tano wakati mwingine unakuta unachopewa msaada hakifanani na matumizi yako
 
Ni kama una matatizo ya uelewa! Unawezaje kuilaani Rwanda na hatimaye usema TZ tunachezea fursa? Tunaposema rais kawa Sindbad baharia nini maana yake? Tunaposema aachane na safari mfu kama hizi anazofanya, awe makini na mwenendo wa nchi nini maana yake. Tunasema tuna rais mwenye uwezo mdogo! FINITO!
Mkuu naona unielewi, ni likwambia TZ inamfumo wake wakufanya biashara yake, wote atutamiga mfumo wa Rwanda.......Raisi wetu anafute potential meaningful investor kwa kuwafuata uko kwao.
 
Hawa wajinga hawajui safari ya raisi moja tu pesa inayotumika inaweza kujenga shule Tano wakati mwingine unakuta unachopewa msaada hakifanani na matumizi yako
Nyie akili ziko local sanaa wewe unafikili tatizo la Tanzania ni kujenga shule tu, nchi hi inahitaji mambo mengi zaidi ya kujenga shule, Raisi asipo safari maendeleo ya nchi yata dumaa.
 
Hawa wajinga hawajui safari ya raisi moja tu pesa inayotumika inaweza kujenga shule Tano wakati mwingine unakuta unachopewa msaada hakifanani na matumizi yako
Akipewa mkopo anajivunia safari zake eti ndiyo sababu. Huyu mtu anastahili kukosolewa ili awe anajiuliza kabla ya maamuzi. Tatizo kuna watu wa karibu wanampa sifa, anajisahau na kuamini yeye ni thinker, kumbe ni kiwango duni anayehitaji kusaidiwa.
 
Nyie akili ziko local sanaa wewe unafikili tatizo la Tanzania ni kujenga shule tu, nchi hi inahitaji mambo mengi zaidi ya kujenga shule, Raisi asipo safari maendeleo ya nchi yata dumaa.
Naona kama umedumaa akili!
 
Nyie akili ziko local sanaa wewe unafikili tatizo la Tanzania ni kujenga shule tu, nchi hi inahitaji mambo mengi zaidi ya kujenga shule, Raisi asipo safari maendeleo ya nchi yata dumaa.
Unaona ulivyo punguani? Sasa bila elimu hayo mengine yatajengwa kimiujiza? Ndio maana lowasa alisisitiza elimu maana alikua hii nchi Ina mbumbumbu wengi kama wewe
 
Kila nchi Ina mikakati yake,pesa inayotumika Tanzania kulipa mishahara tu Rwanda inatosha kuwa ni bajeti kuu ya kuongoza nchi. Usitake Rais wetu aige ufala wa kukaa kaa ndani anasubiri fursa zije mwisho anaanza kuwa Kila kitu ni yeye anakagua mpaka ubora wa barabara wakati wapo wataalamu wanalipwa mishahara Kwa kazi hiyo. Halafu mwisho Kwa kukusaidia tafuta maisha itakupungizia Sana kujisonya sonya na kulaumu watawala. Hakuna Rais atakuja kukupa hela ya matumizi kijiweni kwako.
 
wanyarwanda si wajinga kama watanzania.kule hakuna chawa,hakuna wapuuzi wa kushadadia mambo ya hovyo.kagame mara chache sana kumwona anasafiri mje ya nchi yake.yuko busy kujenga uchumi wa nchi yake kwa kutumia rasilimali chache alizonazo.kwa wale waliowahi kwenda rwanda ukifika tu boda ya rwanda utajua kweli huyu mtu yuko makini.mji msafi,barabara safi,mazingira yote ni safi.nchi ni kijani kitupu.tanzania nchi kubwa,watu wa hovyo wamekalia kushabikia vitu vya hovyo,elimu,afya hovyo,mpk sasa watu wanakunywa maji ya tope utadhani nchi haina rasilimali maji.kagame alipaswa kuiongoza tanzania ndo maana aliwahi kusema angepewa kuiongoza tz nchi ingekuwa mbali sana kwa rasilimali tulizonazo.kwa bahati mbaya sana nchi hii wamejaa wajinga wengi ambao kila siku wanawaza ujinga uliomo vichwani mwao.
Rwanda Ni nchi inayopiga Maendeleo hiyo inaonekana lakini Tanzania inaongoza kwa kupiga Maendeleo ukisema watz wajinga huo' ujingaa unaanzia kwa Nan? Huende kwako Huwezi shambulia majority ya watu based on minority ' unajua watanzania wanaviwanda vingapi vya kwao wenyewe? Ukishindwa ww usione wengne wameshindwa. Chukua nchi za Afrika mashariki. Kila nchi Hesabu hospital 100 za maana.
Shule 100 za maana.
Vituo vituo vya Afya 100 vya maana.
Barabara nzuri 100 .
Viwanda 500 alafu uone twakimu zitakupelekaje ukiweza hivyo utakuwa na majibu Sa hihi juu ya Tanzania kabla ya kutoa mawazo yako usiyo yathibitisha kimantik.
 
Back
Top Bottom