Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Tuna madude mengi na bora kuliko hiki cha mtoto. Hivi tukiamua kufanya kama tulivyomfanyia nduli, kwenye ukanda huu, kuna kiumbe atafurukuta kweli? Hao mnaowasifia walishindwa na hata Habyarimana hadi wakamtungua katika kutapatapa.Tanzania sijui kama ina mfumo huo
Weka sources zako.Siyo chini ya watano,sources zingine zinasema 'wengi',majeruhi wa kutosha
Tawire baba kongole umewiva huna mpizaniTuna Chinese J-7G na old Soviet relics, Mig-21 Fishbed. Nina mashaka na airworthiness ya Mig-21 maana zimekula chumvi na ukizalimisha kuzitumia baada ya overhaul utaua sana marubani. Na J-7 ni copy ya Mig-21.
Huhitaji kuwa na rubani mzuri ukiwa na Su-30 variant yoyote anapigana na J-7, rubani kiazi kuliko wote kwenye mafunzo anaweza kipiga hicho kindege bila kuumiza kichwa.
Mig-21 na J-7 zina RCS kubwa hivyo zitaonekana haraka kwa Sukhoi, hazina powerful radars kwahiyo zitaonwa kabla hazijaona adui. Variant ya J-7 inayojitahidi inabeba PL-7 AAM ambayo maximum range ni 14km tu (sababu radar haioni mbali), wakati Su-30 inaweza ona mbali na AAM yake ya range fupi ni 40km, zipo za zaidi ya 100km ila najua Uganda hawawezi uziwa.
Injini ya J-7 ni moja na haina nguvu kama twin engines za Sukhoi kwahiyo turn rate, speed, climb rate ya Su-30 ni kubwa alafu ina g 9+ ambazo hata rubani mara nyingi huwa hamudu kufika.
Kwenye dogfight J-7 haiambulii kitu, vilevile autocanon ya Mig ina nguvu zaidi.
Kwenye ground attack ndio kabisa Su-30 ina option nyingi za rockets, free fall bombs, smart munitions, air to surface missiles sababu ina carrying capacity kubwa.
Range yake pia kubwa. Na hizi hazitakiwi zilinganishwe, moja ni kama second generation, nyingine fourth generation.
Kila udaipo source huweka,na hakuna la maanaWeka sources zako.
Muulize mama yako then urudi tena hapa, heshimu baba zako.Maneno ya kwenye khanga peleka kwa wanawake wenzako!
Nyerere aliwekeza sana kwenye jeshi na patriotism ilikuwa juu sana, sasa uwekezaji ni hafifu mno tofauti na Rwanda, Uganda na Kenya. Kwa sasa serikali inavyoendesha mambo kuna baadhi ya raia wanaweza kusaidia adui tukiwa vitani kwa sababu tu ya kuuchukia mfumo na hasa hawa wanaoitwa wasiojulikana.Tuna madude mengi na bora kuliko hiki cha mtoto. Hivi tukiamua kufanya kama tulivyomfanyia nduli, kwenye ukanda huu, kuna kiumbe atafurukuta kweli? Hao mnaowasifia walishindwa na hata Habyarimana hadi wakamtungua katika kutapatapa.
Kama Tanzania ikivamiwa leo itaanguka kama bua la muhindi kwasababu majority ya wananchi hawako na serikali yao!Nyerere aliwekeza sana kwenye jeshi na patriotism ilikuwa juu sana, sasa uwekezaji ni hafifu mno tofauti na Rwanda, Uganda na Kenya. Kwa sasa serikali inavyoendesha mambo kuna baadhi ya raia wanaweza kusaidia adui tukiwa vitani kwa sababu tu ya kuuchukia mfumo na hasa hawa wanaoitwa wasiojulikana.
Hao si kwamba wanapigana inavyoelekea ni kama wameokota mabaki ya hizo AD au shells zinazotupwa na DRC...Iron dome hao wanarusha wamevaa kandambili?na hapo wanaulizana tunaitupa vipi.
Hao wanakijiji wanaweza kupigana vita hao.
Iron dome inatupwa toka nyumba ya udongo.
Congo ni wajinga sanaa, wana uwezo kukifurusha hiyo kanchi dk 2 tu wamelala.
Yes j7 mazing zong wamecopy kwa mig za MoscowHata Wacongoman wanasema jeshi lao liko vizuri..hakuna anae admit jeshi lake liko weak.
Kutuaminisha uzuri wa jeshi, tuletee facts. Uganda wa Sukhoi 30 wala hawajazifanya siri. Kwao ni jambo la kawaida. Sisi tuna J7 variant ya Mig 21. Na ndizo tunazoziona, unasemaje tuko vizuri
Mara ya mwisho za chini ya kapeti zilidai mtu mrefu alipeleka vijana wake mia sita wakajifunze urubani wa drones kwenye manchi makubwa makubwa huko sijui kweli mana kijiwe chetu cha boda boda nacho mmmhInaonekana dunia inahamia kwenye drones warfare. Walitangaza Rwanda ilifanya shamulio la drone huko goma.
Hii vita nimeifatilia kwenye spheres nyingi. Nimeomba nipewe platoon moja na ndege moja WARTHOG A10. Kesho nitakunywa chai kigali.
Naona MK254 ame-like, sasa sijui kama anapinga ama kulikubali wazo lako. Maana as long as West na Russia wanahusika, ni lazima apate hofu.Hii vita East Africa against Rwanda tunaweza tusitoboe sababu Rwanda Ana watu nyuma yake(western countries), watamsaidia na wamempa vifaa.
Anayewaweza western nje ya Europe ni Russia,
Rais wa Congo aongee na Putin amuhaidi kipande cha ardhi chenye madini, yeye ahitaji ulinzi tu Congo.
Hapo Russia atakuwa analinda maslahi yake, so utaona hao M23 kama wataigusa Congo
Kwa hiyo kwa akili yako idadi ya jeshi la Tanzania ni 27,000...??Comparison ya Wanajeshi wa Rwanda na Tanzania
Wanajeshi wa Rwanda:
1. Idadi ya Jeshi: 45,000 wanajeshi wa kudumu, na 30,000 wa akiba.
2. Shughuli za Jeshi: Jeshi, Jeshi la Anga, Jeshi Maalum, Polisi wa Jeshi, na Akiba.
3. Mafunzo: Mafunzo makali, hasa katika ulinzi wa amani na vita dhidi ya magaidi. Wanajeshi wa Rwanda ni hodari katika mbinu za kisasa za kivita.
4. Ushiriki katika Ulinzi wa Amani: Wanajeshi wa Rwanda wanahusika sana katika DRC na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
5. Vifaa vya Kivita: Vifaa vya kisasa ikiwa ni pamoja na silaha za China kama Yitian SAMs, magari ya kivita kutoka Ufaransa, na helikopta za Ufaransa.
6. Jeshi Maalum: Jeshi la Maalum la Rwanda linajulikana kwa vita dhidi ya magaidi, kufanya operesheni za siri, na kuhamasisha harakati za kijamii.
7. Mikakati ya Kikanda: Rwanda ina madhumuni ya kijeshi ya kuimarisha usalama wa kanda, hasa katika DRC na Mikoa ya Maziwa Makuu.
8. Vita vya Karibuni: Imeshiriki katika vita vya DRC, na operesheni dhidi ya M23. Inajulikana kwa operesheni zake za haraka na ufanisi.
9. Muungano wa Kimataifa: Inashirikiana na Ufaransa, China, na African Union katika masuala ya usalama na ulinzi wa amani.
10. Bajeti ya Jeshi: Bajeti ya $105 milioni (2021), ikijikita katika uimarishaji wa uwezo wa kijeshi na operesheni za ulinzi wa amani.
11. Madhumuni ya Umma na Nia ya Jeshi: Jeshi la Rwanda linatambulika kama jeshi lenye ufanisi, linalojulikana kwa mbinu za kisasa za kivita na operesheni za usalama katika kanda.
Wanajeshi wa Tanzania:
1. Idadi ya Jeshi: 27,000 wanajeshi wa kudumu, na 65,000 wa akiba.
2. Shughuli za Jeshi: Jeshi, Jeshi la Anga, Jeshi la Majini, na Wanajeshi wa Akiba.
3. Mafunzo: Mafunzo ya msingi, hasa katika ulinzi wa mipaka na vita vya msituni. Wana uzoefu mdogo wa vita vya karibu na matumizi ya mbinu za kisasa.
4. Ushiriki katika Ulinzi wa Amani: Wanajeshi wa Tanzania wanashiriki katika Darfur, Somalia, na Zanzibar kama sehemu ya AMISOM.
5. Vifaa vya Kivita: Vifaa vya kivita vya zamani vikiwemo SAM za Soviet na Shenyang F-7 (China), pamoja na silaha za mizinga ya Russia.
6. Jeshi Maalum: Jeshi la Maalum la Tanzania linatumiwa katika ulinzi wa ndani na vita vya msituni, lakini lina uzoefu mdogo katika operesheni za kisasa.
7. Mikakati ya Kikanda: Tanzania ina mikakati ya kujilinda na ina athari kubwa katika usalama wa kanda hasa kwenye EAC na AMISOM.
8. Vita vya Karibuni: Tanzania imeshiriki katika operesheni za amani katika Darfur, Somalia, na Zanzibar.
9. Muungano wa Kimataifa: Inashirikiana na China na African Union katika masuala ya amani na usalama.
10. Bajeti ya Jeshi: Bajeti ya $560 milioni (2021), inazingatia ulinzi wa mipaka na usalama wa ndani.
11. Madhumuni ya Umma na Nia ya Jeshi: Jeshi la Tanzania linatambulika kwa ulinzi wa ndani na mikataba ya amani katika kanda, ingawa lina uzoefu mdogo wa operesheni za kivita.
Muhtasari:
- Wanajeshi wa Rwanda ni wajanja katika mbinu za kisasa za kivita, haswa kutokana na uzoefu wao mkubwa katika vita dhidi ya magaidi, ulinzi wa amani, na operesheni za siri. Vifaa vyao ni vya kisasa, wakiwemo silaha za China na helikopta za Ufaransa.
- Wanajeshi wa Tanzania, ingawa wanajulikana kwa ulinzi wa ndani na vita vya msituni, wanatofautiana na Rwanda kwa kuwa hawana uzoefu mkubwa katika vita vya karibu na mbinu za kisasa. Vifaa vyao vikiwemo SAM za Soviet na Shenyang F-7, ni vya zamani zaidi.
Kwa ujumla, wanajeshi wa Rwanda wana uwezo bora wa kijeshi na uzoefu mkubwa katika vita vya kisasa, wakati wanajeshi wa Tanzania wanajulikana kwa ulinzi wa mipaka na mikataba ya amani.
Hio Iron Dome ilipitaje bila TPA au Mombasa Port kujuaAlishachukuwa madini ya kutosha kutoka DRC, silaha zote anazo, ni Israel ya Africa.