Rwanda: Mwanamke akabiliwa na kifungo cha Miaka 2 kwa kuvaa nguo za Utupu

Rwanda: Mwanamke akabiliwa na kifungo cha Miaka 2 kwa kuvaa nguo za Utupu

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Mwanamke mwenye umri wa miaka 24 ambaye alikamatwa kwa kuvaa mavazi ya "aibu" anakabiliwa na kifungo cha miaka miwili jela kwa kuvaa “uchafu hadharani” Wendesha mashtaka wameomba azuiwe rumande kwa siku 30

Liliane Mugabekazi alikamatwa Agosti 7 baada ya kuhudhuria tamasha la mwanamuziki maarufu wa Ufaransa Tayc, akiwa amevalia mavazi yenye kuonyesha sehemu za mwili wake

Habari za kukamatwa kwake zilizua hasira kwa baadhi ya Wanyarwanda waliodai huo kuwa unyanyasaji wa Wanawake, lakini Maafisa wa Serikali akiwemo waziri wa zamani wa Sheria Johnston Busingye waliunga mkono hatua hiyo

...................................................

A 24-year-old woman who was arrested in Rwanda for wearing "shameful" clothing faces up to two years in jail for "public indecency", prosecutors said Thursday. Liliane Mugabekazi was arrested on August 7 after she attended a concert by popular French musician Tayc eight days earlier, wearing a sheer dress.

"She attended the concert while wearing clothes that reveal her private parts... clothes that we call shameful," prosecutors said, accusing her of committing a "serious crime". "It is on these serious grounds that we ask the court to remand Mugabekazi for 30 days.

She is suspected to have committed public indecency," the spokesman for the prosecution, Faustin Nkusi, told AFP, adding that the court would announce on Tuesday whether she would receive bail.

News of the arrest sparked outrage among some Rwandans, but government officials including former justice minister Johnston Busingye backed the move.

Source: Citizen Digital
 
Askari magereza kama nawaonaaa, akifika huko lazima achezee mpini
 
Mwanamke mwenye umri wa miaka 24 ambaye alikamatwa kwa kuvaa mavazi ya "aibu" anakabiliwa na kifungo cha miaka miwili jela kwa kuvaa “uchafu hadharani” Wendesha mashtaka wameomba azuiwe rumande kwa siku 30

Liliane Mugabekazi alikamatwa Agosti 7 baada ya kuhudhuria tamasha la mwanamuziki maarufu wa Ufaransa Tayc, akiwa amevalia mavazi yenye kuonyesha sehemu za mwili wake

Habari za kukamatwa kwake zilizua hasira kwa baadhi ya Wanyarwanda waliodai huo kuwa unyanyasaji wa Wanawake, lakini Maafisa wa Serikali akiwemo waziri wa zamani wa Sheria Johnston Busingye waliunga mkono hatua hiyo

...................................................

A 24-year-old woman who was arrested in Rwanda for wearing "shameful" clothing faces up to two years in jail for "public indecency", prosecutors said Thursday. Liliane Mugabekazi was arrested on August 7 after she attended a concert by popular French musician Tayc eight days earlier, wearing a sheer dress.

"She attended the concert while wearing clothes that reveal her private parts... clothes that we call shameful," prosecutors said, accusing her of committing a "serious crime". "It is on these serious grounds that we ask the court to remand Mugabekazi for 30 days.

She is suspected to have committed public indecency," the spokesman for the prosecution, Faustin Nkusi, told AFP, adding that the court would announce on Tuesday whether she would receive bail.

News of the arrest sparked outrage among some Rwandans, but government officials including former justice minister Johnston Busingye backed the move.

Source: Citizen Digital
Picha iliyomponza
Screenshot_20220819-121808.jpg
 
Mwanamke mwenye umri wa miaka 24 ambaye alikamatwa kwa kuvaa mavazi ya "aibu" anakabiliwa na kifungo cha miaka miwili jela kwa kuvaa “uchafu hadharani” Wendesha mashtaka wameomba azuiwe rumande kwa siku 30

Liliane Mugabekazi alikamatwa Agosti 7 baada ya kuhudhuria tamasha la mwanamuziki maarufu wa Ufaransa Tayc, akiwa amevalia mavazi yenye kuonyesha sehemu za mwili wake

Habari za kukamatwa kwake zilizua hasira kwa baadhi ya Wanyarwanda waliodai huo kuwa unyanyasaji wa Wanawake, lakini Maafisa wa Serikali akiwemo waziri wa zamani wa Sheria Johnston Busingye waliunga mkono hatua hiyo
Wangemkamata aliyeshona au kuingiza mavazi hayo nchini
 
Back
Top Bottom