Rwanda: Mwanamke akabiliwa na kifungo cha Miaka 2 kwa kuvaa nguo za Utupu

Rwanda: Mwanamke akabiliwa na kifungo cha Miaka 2 kwa kuvaa nguo za Utupu

Safi Sana nimeipenda hii inabidi na bongo ilete haiwezekani mtu atembee na taiti barabarani alafu Wana zingishia joto shenziiiiiiiiiiii
Hapa kwetu, soon tutatembeza nyapu zetu nje nje
 
Tatizo la watu weusi ndio hili,huwaza sana mambo kuhusu ngono,na viungo vyao vya uzazi!!
Matatizo yote tuliyonayo kweli watu wanawaza wanawake wavae vipi?
Kwani wdkitembea uchi Kuna leta shida gani?ni mwili wake,maisha yake ,so what!Kuna kipindi hata makanisani Roman Catholic,waliweka utaratibu,kwamba wanawake wasikae pamoja kwenye mabenchi kanisani,kisa watu "mawazo yatahama watashindwa kuwa makini kufatilia ibada"upuuzi mtupu
 
Waache uhuni, kama viongozi wamepitwa na mda wawaache watu waishi watakavyo
 
Mambo mengine ya kijinga,acha kufananisha huo ujinga wake na hicho unachotaka kusema...... Mtoto wako akiwa anaangalia Picha hiyo anajifunza nini?
Mnavyojua kukimbilia hayo "Mtoto wako this, Mtoto wako that" sasa Mtoto ilikuaje hadi ukamruhusu kuangalia picha za uchi?? Sio kama wewe Mzazi ndio umefeli kwenye malezi,

Kila Mtu amlee Mtoto wake usisubiri Walimwengu wakulele atapotoka tu, Dunia inaenda Mbele haijasimama hii, tukubaliane na Mabadiliko.
 
Back
Top Bottom