Tetesi: Rwanda nyuma ya kufukuzwa Shyrose!

Y
Thread za mihemuko hizi, umeitaja Rwanda zaidi ya Mara 6, sasa Rwanda inaingiaje uteuzi wa ccm kweli, na hoja zako hazieleweki moja umesema ni kwa sababu ya Rwanda, pili ukasema kakosa kwasababu ni mwanamke!? which is which sasa. ubinafsi tu ndo umekujaa, eti usishangae ardhi yetu ikawa ya wote! hoja yako hasa ni nini? ila sentensi yako ya mwisho inakutambulisha wewe ni nani"Shyrose will always be a heroine!!!!!)
 
Nikuambie kuwa sisomi threads zako tu
michango yako sana
kuna hawa watu murutongore ,mchambawima1 nawengineo
mlikuwa mkibishana sana kuhusu Interahamwe
elewa hivyo
wewe unachuki na serikali ya Rwanda sana
huna jema kutoka kwa Pk
hahahaha sawa mkuu, kuwa mchambawima1 na muturongore, possibly koba na mukamasimba huwa wana hoja zinazokushawishi zaidi ya zangu. Ni vizuri.
 
Lakini mwenyekiti ndio kiongozi wa kikao
Sasa kama wajumbe mwisho walikunaliana na mwenyekiti
Labda kama useme wajumbe walishinikizwa na mwenyekiti kukubaliana naye
Kama hivyo ndivyo basi kuna mapungufu mahala
nakubali kuwa officially ni maamuzi ya kikao. Lakini maamuzi yanayoitwa official hayawezi kuleta maswali. Mfano: hautauliza swali endapo Magufuli atachujwa awamu ya kwanza kabisa 2020 wakati yeye tayari ni rais?
 
Ni vema kuandika ukijuacho sio bora kuandika Tanzania hasa CCM kuna utaratibu wa kupata wagombea Shy rose kafanya kazi yake sasa basi.
Rwanda ni nchi huru katika EAC TUNASHIRIKIANA VEMA MAENDELEO YAO ANGALIA DATA HAYANA MFANO USAFI,USALAMA,ELIMU LAPTOP KWA KILA MTOTO,MATIBABU BURE,HAKUNA NYUMBA ZA NYASI,NG'OMBE KILA FAMILIIA we baki maneno tu
 
May God bless you!
same to you, sijui hawa chadema ilikuwaje wakamchukua mtu ambaye taarifa rasmi za CCM zilidai kuwa alichujwa kwa sababu hakuwa na maadili...ngoja niwaulize wenyewe....thank you though.🙂
 
...halafu ni wahamiaji haramu Tanzania ambako hakuna maendeleo! Na hakuna mhamiaji haramu wa Tanzania anayeganga njaa Rwanda. Okay bwana acha nibaki na maneno yangu.
 
Kama umeisoma thread bila mhemuko halafu hujaielewa basi hilo sio tatizo langu.
 
Mbona kama wengine my wagumu kuelewa? tatizo ni aina ya njia iliyotumika kumwondosha.mkulu kutoruhusu maswali!
 
hahahaha sawa mkuu, kuwa mchambawima1 na muturongore, possibly koba na mukamasimba huwa wana hoja zinazokusha wishi zaidi ya zangu. Ni vizuri.
Hapana najua hujanielewa
namaanisha kuwa Nakufuatilia kitambo sana
tena sina maana nakuchukia au la
tena huwa napenda sana michango yako ya hoja
lakini nimekuambia wewe unachuki na serikali ya Rwanda huo ndio ukweli
 
Hapana najua hujanielewa
namaanisha kuwa Nakufuatilia kitambo sana
tena sina maana nakuchukia au la
tena huwa napenda sana michango yako ya hoja
lakini nimekuambia wewe unachuki na serikali ya Rwanda huo ndio ukweli
dada (?🙄) mbona unaniamulia? Nimeshasema nimekuelewa. Unapenda michango yangu ya hoja halafu unaconclude kwamba naichukia Rwanda. Asante.
 
Hapana najua hujanielewa
namaanisha kuwa Nakufuatilia kitambo sana
tena sina maana nakuchukia au la
tena huwa napenda sana michango yako ya hoja
lakini nimekuambia wewe unachuki na serikali ya Rwanda huo ndio ukweli
Umenena vema.
 
Mbona kama wengine my wagumu kuelewa? tatizo ni aina ya njia iliyotumika kumwondosha.mkulu kutoruhusu maswali!
Tatizo ni kuwa linapokuja suala la demokrasia ndani ya vyama, hakuna tofauti kati ya CCM na vyama vya upinzani. Wenyeviti wao nao hubaka demokrasia kwa kuwa na majina yao mifukoni, kukata watu wasiowapenda bila kufuata utaratibu n.k, kwa vigezo wanavyovijua wao mfano "kuepusha kukigawa chama" etc.
Kwa hiyo hapa inakuwa ngumu kumpinga magu katika hili kwa kuwa hata kwenye chaguzi zao wenyeviti wao hufanya hivyo hivyo.
Ingekuwa ni figisu zao za CCM nisingeandika hii thread, ila kinachosikitisha hapa ni kuwa huyu ni shujaa aliyetetea nchi yetu kutoburuzwa na Rwanda EAC, anafanyiwa hivi kwa sababu ya "urafiki" wa nchi nyingine.
 
....sasa na mimi nasema kakatwa sababu anajiita Rais wa Mbweni wakati Rais ni mmoja tu;
...kwani alipochaguliwa mwanzo si kwa mbeleko?
.akafanye ishu nyingine,hiyo ndo siasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…