Wewe sijui dini gani lakini hoja zako zina mashiko.Sio kesi Usisahau mikutano ya siasa pia wafanyie ndani kwenye sound proof ikiwemo ya chama chake
Matangazo ya barabarani ya magari marufuku pia iwepo
Ndio hayo masaa ya muziki ndio starehe ya mlevi,wewe yanakuhusu Nini?Kitu cha dk 3 unalinganisha na masaa ya muziki?
Wapi nimesema nina shida nayo?Ndio hayo masaa ya muziki ndio starehe ya mlevi,wewe yanakuhusu Nini?
Ndio mshaguswa Sasa,mnatakaje?Adhana si kelele na wala hailingani na kengele. Kama madhumuni ni kuzuia kelele basi pigeni marufuku kengele na miziki,Sisi msituguse.
Takbiiiir Takbiiiir Takbiiiir TakbiiiirWapi nimesema nina shida nayo?
We ndio umeyataja
Shida ni kukataza adhana
Kila mtu ashinde mechi zake
Wa adhana asikie
Wa muziki asikie
CrySafi sana Rwanda tuige
Waitane kwa njia za simu. Au waweke alarm
Laana ya Nini saaa mkuuUkataze adhana uruhusu wenye mabaa wapige mziki watakavyo,laana hiyo.Adhana ya dakika mbili ina tatizo gani? Adhabu yake ipo na siyo muda mrefu
Atakufa yeye ataziacha diniHuu ni ukafiri uliopitiliza
Mjinga mpe ukubwa kuepuka shaliNinavyojua waislam wanavyojifanya watata wamelikubari kwa roho nyoofu kweli
NB. Au waislamu wa rwanda ni wapole km wafuasi wa mwamposa vile 🙇
No utata kwa Sheria bossNinavyojua waislam wanavyojifanya watata wamelikubari kwa roho nyoofu kweli
NB. Au waislamu wa rwanda ni wapole km wafuasi wa mwamposa vile 🙇
Kuabudu kwako kusiwe kero kwa wengineMimi ni mkristo! Lakini siungi mkono kuminya uhuru wa kuabudu!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Usitupangie ukapangua mipango ya Mwenyezi Mungu.Waitane kwa njia za simu. Au waweke alarm
Hii ni tahadhari tu kwa wale wanaoita adhana ni kelele.Yapo tunayotaka sisi lakini anayotaka Allah ndiyo mtakayoyaona na kuwapata popote mnapojificha. Muulize Abraha na Firauni.Ndio mshaguswa Sasa,mnatakaje?
Hao washkaji nawapatia wapi ili niwaulize?Hii ni tahadhari tu kwa wale wanaoita adhana ni kelele.Yapo tunayotaka sisi lakini anayotaka Allah ndiyo mtakayoyaona na kuwapata popote mnapojificha. Muulize Abraha na Firauni.
Haswa watu wa kule "NYAMIRAMBO".Kagame awe makini wasianze kujitoa mhanga kwa kujilipua mabomu huko...
Tolerance haimaniishi uniharibie usingizi alfajiri yote, kama binadamu tumekubaliana kuishi pamoja licha ya tofauti zetu za kiimani na kiitikadi, ila tusibughudhiane, abudu unachokiabudu huko kwa amani bila kuniharibia mambo yangu, usinilazimishe kuabudu hicho unachokiabudu, nikitaka mwenyewe nitakuhoji kukihusu na labda nijiunge tukiabudu sote, nakumbuka nikiwa kijana nusra nijiunge uisilamu kisa mnaruhusiwa kuoa wanawake wengi, uchu wa ngono ndio ulikua unaniongoza.
Otterhound kuna fursa ya jihad hapa