4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
tambua unachokipenda ww ni kelele kwa mwingineHuko anakoenda sasa mr slim ni pabaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tambua unachokipenda ww ni kelele kwa mwingineHuko anakoenda sasa mr slim ni pabaya
Hata zanzibar mwezi wa ramadhan haki ya kula chakula inaminywaAdhana ni sehemu miongoni mwa sehemu katika ibada ya swala ya kiisilamu, Adhana ni Lazima itolewe kwa sauti na Adhana haina mbadala kwa njia yoyote kwani yenyewe inabeba ujumbe wa kiroho unaomuhamashisha mtu aache mambo mengine na akaswali, adhana ni wito wenye "spiritual admonitions" and can't be replaced by anything else.
Adhana mbali na kuamsha na kuwataarifu wenyeji juu ya muda wa ibada lakini pia inawajulisha wageni kwamba msikiti upo wapi na hivyo kuwaunganisha Wageni waisilamu na ndugu zao wenyeji wa kiislamu katika Swala nk, Uisilamu ni zaidi ya kuswali msikitini na kuondoka.
Shida iliyopo Rwanda ni 90+% ni Christians na wachache waliobaki ni Muslims hivyo utaona nguvu ya Udini imeshawishi kuwepo na hilo katazo hii ni tofauti na Tz ambapo kuna angalau 50/50% Muslims na Christians ambapo tumejengwa kuvumiliana katika masuala ya imani.
Kuzuia utoaji wa adhana ni pigo katika imani ya dini ya kiisilamu.
Naona wewe ndio huijui. Kasome vizuri alafu uje hapaunaijua historia ya adhana!!!?
achana na jina la ALLAH
hao jamaa wana akili kisoda , usiwadhaminHivi mtu anaweza kujilipua kisa Yale maspika yamezuiliwa kupigia watu kelele?
Hamna kitu kinaitwa Mungu"The Kagame downfall nears, let's wait and see".
The adhan is more than just calling muslims for prayer, it glorifies God, "Allah akbar" being part of the words found in the adhan means; God is great.
By stopping the adhan also means stopping the God glorification.
kagame anakaribia kustaafu au kuachia madaraka so msije mkaunganisha dots kwa lolote pili Kagame yupo swwa hajakosea lolote , hv ungejisikiaj kungekuwepo na kanisa la rc na la walokole kisha msikiti mkiwa mnaswali kwa utulivu hiku walokole wanakemes mapepo kwa kutumia vipaza sauti pia wa roma wanaimba kwa sauti kubwa , Mngejihisije ?Wewe unamsifia Dikteta!!??.
Ni ujinga kuingiza udikteta katika masuala la imani, imani imo moyoni mwa watu.
Adhana ya kiislamu ni nasaha ya kiimani pia mbali na wito wa kuwajulisha watu muda wa swala.
Kupinga utolewaji wa adhana ni kupinga mafundisho ya dini ya kiislamu, adhana haijaanza leo, imeanzishwa na mjumbe wa Mungu Mwanzilishi mtukufu wa Dini ya kiislamu Mtume Muhammad (saw), hivyo kwa maneno mengine kuzuia utolewaji wa adhani ni kupingana na takwa la Mungu kwa mujibu wa Uisilamu.
Tutakaa hapa tukibishana na kuvutana bure na hatutafikia suluhu ila ninachokueleza ni hichi;--
"Kama adhana ni maagizo na maneno ya Mungu na Kagame au yeyote katoa maamuzi ya kuzuia maneno hayo yasitamkwe inavyopaswa ni kiumbe wa Mungu basi Mungu mwenyewe ndiye hakimu"
Tutarudi hapa na tutajulishana matokeo tuombe Mungu atupe uhai tu.
Mwendo wa kimya kimya sioWaislamu Simu wanazo waweke alarms ziwaamshe
Waislamu Walichekelea walokole walipopigwa marufuku kutumia spika
Na katoliki nao waache kugonga kengele zao zinaleta kelele
Pia bar marufuku hiyo wapewe na mkutano ya kisiasa iwe marufuku kutumia spika
[emoji16][emoji16][emoji16] aisee waambie wajiandae kwa kunji.Hata bila mabomu huyo anaweza kuondoka.
Ni KUN FAYA KUN.
yaani Mungu akisema kuwa Basi inakuwa.
Na uenda waislam wa Rwanda hawajaamua kukaa kikao.
Ni suala la sekunde .Mungu anasubiri waislam wa Rwanda watasema Nini
Mkisema hayo maneno mkiwa mmejifungia msikitini bila maspika unakua umedharau maneno ya Mungu?Bila Shaka utajua.
Uzima usikupe kiburi na kudharau maneno ya Mungu.
Allah akbar maana yake "MUNGU NI MKUBWA"
kusema mungu NI MKUBWA ni kelele?
Na walevi nao poa wanapenda sana kelele za kwny ma bar,zinawapa stimu za kutafuta pesa kwa nguvu.No wonder waliuana hawa
Adhana ni alarm zetu wengine
I love the sound and i wake up to pray
Baltimayo hakusali bali alikuwa akimwita Yesu kwa sauti kubwa ili aje aponywe upofu wa macho.Baltimayo kwenye Bibliia alisali kwa kupiga makelele miyowe Yesu mwana wa Daudi unirehemu .Maombi yake yakasikilizwa na Yesu akamponya
mikutano ya siasa ni kila siku ?Sio kesi Usisahau mikutano ya siasa pia wafanyie ndani kwenye sound proof ikiwemo ya chama chake
Matangazo ya barabarani ya magari marufuku pia iwepo
down fall baada ya kupiga marufuku makele,hongera mtabiri"The Kagame downfall nears, let's wait and see".
The adhan is more than just calling muslims for prayer, it glorifies God, "Allah akbar" being part of the words found in the adhan means; God is great.
By stopping the adhan also means stopping the God glorification.
Tunaishi ulimwengu wa kidigitali, watu waweke alarm kwenye simu zao kama wanataka kuwahi misikitiniKwa hili Rwanda nawapongeza sana, zile kelele za alfajiri zinakera sana.
Hii ni Taharifa ya BBC...
Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo.
-
Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.
-
Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu. View attachment 2188599
Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Kwenye masuala ya imani hatuwezi kuamini wala kuwa na mawazo yanayofanana maana kila mtu/muamini ana Mungu wake anayemuamini ambaye anatofautiana na Mungu wa mwingine. Hivyo usilete generalization kuwa Mungu wako ndie Mungu sahihi kwa wote anayepaswa kupewa utukufu, sifa, heshima na wote utakuwa unakosea. Mbona haulaani kitendo cha PK kuwabana mbavu WaKristo?.Wewe unamsifia Dikteta!!??.
Ni ujinga kuingiza udikteta katika masuala la imani, imani imo moyoni mwa watu.
Adhana ya kiislamu ni nasaha ya kiimani pia mbali na wito wa kuwajulisha watu muda wa swala.
Kupinga utolewaji wa adhana ni kupinga mafundisho ya dini ya kiislamu, adhana haijaanza leo, imeanzishwa na mjumbe wa Mungu Mwanzilishi mtukufu wa Dini ya kiislamu Mtume Muhammad (saw), hivyo kwa maneno mengine kuzuia utolewaji wa adhani ni kupingana na takwa la Mungu kwa mujibu wa Uisilamu.
Tutakaa hapa tukibishana na kuvutana bure na hatutafikia suluhu ila ninachokueleza ni hichi;--
"Kama adhana ni maagizo na maneno ya Mungu na Kagame au yeyote katoa maamuzi ya kuzuia maneno hayo yasitamkwe inavyopaswa ni kiumbe wa Mungu basi Mungu mwenyewe ndiye hakimu"
Tutarudi hapa na tutajulishana matokeo tuombe Mungu atupe uhai tu.