Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Adhana ni sehemu miongoni mwa sehemu katika ibada ya swala ya kiisilamu, Adhana ni Lazima itolewe kwa sauti na Adhana haina mbadala kwa njia yoyote kwani yenyewe inabeba ujumbe wa kiroho unaomuhamashisha mtu aache mambo mengine na akaswali, adhana ni wito wenye "spiritual admonitions" and can't be replaced by anything else.

Adhana mbali na kuamsha na kuwataarifu wenyeji juu ya muda wa ibada lakini pia inawajulisha wageni kwamba msikiti upo wapi na hivyo kuwaunganisha Wageni waisilamu na ndugu zao wenyeji wa kiislamu katika Swala nk, Uisilamu ni zaidi ya kuswali msikitini na kuondoka.

Shida iliyopo Rwanda ni 90+% ni Christians na wachache waliobaki ni Muslims hivyo utaona nguvu ya Udini imeshawishi kuwepo na hilo katazo hii ni tofauti na Tz ambapo kuna angalau 50/50% Muslims na Christians ambapo tumejengwa kuvumiliana katika masuala ya imani.

Kuzuia utoaji wa adhana ni pigo katika imani ya dini ya kiisilamu.
Hata zanzibar mwezi wa ramadhan haki ya kula chakula inaminywa
 
"The Kagame downfall nears, let's wait and see".

The adhan is more than just calling muslims for prayer, it glorifies God, "Allah akbar" being part of the words found in the adhan means; God is great.

By stopping the adhan also means stopping the God glorification.
Hamna kitu kinaitwa Mungu
 
Mi si muumini sana wa kelele haijalishi n ya nn.
Ya jema ama baya
Kiufupi sauti zilizopitiliza zizuiwe iwe sauti ya kusikilizana ndani tuuu yan ndani ya jengo ikiwezekana wajiwekee sound proof wajipgie kelele vile wanataka kama clubs. Hii n kwa makanisa na misikiri na bar mbalmbal
 
Wewe unamsifia Dikteta!!??.
Ni ujinga kuingiza udikteta katika masuala la imani, imani imo moyoni mwa watu.

Adhana ya kiislamu ni nasaha ya kiimani pia mbali na wito wa kuwajulisha watu muda wa swala.

Kupinga utolewaji wa adhana ni kupinga mafundisho ya dini ya kiislamu, adhana haijaanza leo, imeanzishwa na mjumbe wa Mungu Mwanzilishi mtukufu wa Dini ya kiislamu Mtume Muhammad (saw), hivyo kwa maneno mengine kuzuia utolewaji wa adhani ni kupingana na takwa la Mungu kwa mujibu wa Uisilamu.

Tutakaa hapa tukibishana na kuvutana bure na hatutafikia suluhu ila ninachokueleza ni hichi;--

"Kama adhana ni maagizo na maneno ya Mungu na Kagame au yeyote katoa maamuzi ya kuzuia maneno hayo yasitamkwe inavyopaswa ni kiumbe wa Mungu basi Mungu mwenyewe ndiye hakimu"

Tutarudi hapa na tutajulishana matokeo tuombe Mungu atupe uhai tu.
kagame anakaribia kustaafu au kuachia madaraka so msije mkaunganisha dots kwa lolote pili Kagame yupo swwa hajakosea lolote , hv ungejisikiaj kungekuwepo na kanisa la rc na la walokole kisha msikiti mkiwa mnaswali kwa utulivu hiku walokole wanakemes mapepo kwa kutumia vipaza sauti pia wa roma wanaimba kwa sauti kubwa , Mngejihisije ?
 
Waislamu Simu wanazo waweke alarms ziwaamshe
Waislamu Walichekelea walokole walipopigwa marufuku kutumia spika

Na katoliki nao waache kugonga kengele zao zinaleta kelele

Pia bar marufuku hiyo wapewe na mkutano ya kisiasa iwe marufuku kutumia spika
Mwendo wa kimya kimya sio
 
Hata bila mabomu huyo anaweza kuondoka.
Ni KUN FAYA KUN.
yaani Mungu akisema kuwa Basi inakuwa.
Na uenda waislam wa Rwanda hawajaamua kukaa kikao.
Ni suala la sekunde .Mungu anasubiri waislam wa Rwanda watasema Nini
[emoji16][emoji16][emoji16] aisee waambie wajiandae kwa kunji.
 
No wonder waliuana hawa
Adhana ni alarm zetu wengine
I love the sound and i wake up to pray
 
Baltimayo kwenye Bibliia alisali kwa kupiga makelele miyowe Yesu mwana wa Daudi unirehemu .Maombi yake yakasikilizwa na Yesu akamponya
Baltimayo hakusali bali alikuwa akimwita Yesu kwa sauti kubwa ili aje aponywe upofu wa macho.

Pia Mungu huwa habadiliki kamwe yani akukataze jambo lolote kulitenda kisha akuruhusu jambo hilo hilo kwa namna nyingine.

WAEBRANIA 13:8
"Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele."

Soma tena vizuri Biblia upate maarifa.

UFUNUO 22:18-19.

Usije ukajichumia dhambi ya kukuadhibu milele.
 
"The Kagame downfall nears, let's wait and see".

The adhan is more than just calling muslims for prayer, it glorifies God, "Allah akbar" being part of the words found in the adhan means; God is great.

By stopping the adhan also means stopping the God glorification.
down fall baada ya kupiga marufuku makele,hongera mtabiri
 
Wavaa makobazi eti mpaka waamshwe kama watoto wadogo kuswali

Sawa na mtoto mdogo kuamshwa asikojie,
Sipati picha shekhe Abdullah jinsi atakavyopitiliza mpka saa 3 asubuhi.
 
Kwa hili Rwanda nawapongeza sana, zile kelele za alfajiri zinakera sana.

Hii ni Taharifa ya BBC...

Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo.

-

Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.

-

Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu. View attachment 2188599

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Tunaishi ulimwengu wa kidigitali, watu waweke alarm kwenye simu zao kama wanataka kuwahi misikitini
 
Wewe unamsifia Dikteta!!??.
Ni ujinga kuingiza udikteta katika masuala la imani, imani imo moyoni mwa watu.

Adhana ya kiislamu ni nasaha ya kiimani pia mbali na wito wa kuwajulisha watu muda wa swala.

Kupinga utolewaji wa adhana ni kupinga mafundisho ya dini ya kiislamu, adhana haijaanza leo, imeanzishwa na mjumbe wa Mungu Mwanzilishi mtukufu wa Dini ya kiislamu Mtume Muhammad (saw), hivyo kwa maneno mengine kuzuia utolewaji wa adhani ni kupingana na takwa la Mungu kwa mujibu wa Uisilamu.

Tutakaa hapa tukibishana na kuvutana bure na hatutafikia suluhu ila ninachokueleza ni hichi;--

"Kama adhana ni maagizo na maneno ya Mungu na Kagame au yeyote katoa maamuzi ya kuzuia maneno hayo yasitamkwe inavyopaswa ni kiumbe wa Mungu basi Mungu mwenyewe ndiye hakimu"

Tutarudi hapa na tutajulishana matokeo tuombe Mungu atupe uhai tu.
Kwenye masuala ya imani hatuwezi kuamini wala kuwa na mawazo yanayofanana maana kila mtu/muamini ana Mungu wake anayemuamini ambaye anatofautiana na Mungu wa mwingine. Hivyo usilete generalization kuwa Mungu wako ndie Mungu sahihi kwa wote anayepaswa kupewa utukufu, sifa, heshima na wote utakuwa unakosea. Mbona haulaani kitendo cha PK kuwabana mbavu WaKristo?.

Tuishi kwa amani na upendo huku hizi tofauti za kiimini tusizipe nafasi ya kujenga chuki miongoni mwetu
 
Back
Top Bottom