permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Tumwachie sasa huyo Allah afanye kazi kuliko kufanya vitendo vya jinai vya kigaidi.Kwahiyo sifa sio!! Allah hachezelewi bwana,, atapata anachositahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumwachie sasa huyo Allah afanye kazi kuliko kufanya vitendo vya jinai vya kigaidi.Kwahiyo sifa sio!! Allah hachezelewi bwana,, atapata anachositahili.
Usipoteze mda kuelezea kitu kipo wazi ,Mchungaji kajifunze kusoma na kufahamu English..
Hii hadith ni kuhusu Aisha alikataza kuzungumza na mmoja wa watu walioingia ukumbini kwake,kwavike huyu jamaa walipita mitaani kumsingizia kitu
Wake watu walimuomba Aisha aongee na Yule mtu,Walimkumbusha Aisha kuwa Mtume aliwambia Waislam ni lazima wasalimiane,isipite siku tatu bila kusalimiana..
Ndipo hapo Aisha alipokubali kuzungumza na yule mtu kwasababu kala kiapo,cha kuwasalimia waislamu wenzake, ,kosa la Waislam kutosalimiana ni kutoka Watumwa 40
kila hadithi ina maana yake katika Syria za Kiislam..
Sheria hii au kiapo hichi ni katika njia za Uislam kuwaachia Watumwa huru
Mchungaji haya unayoyasoma kwenye Google mengi yao yameandikwa na Waislam wenyewe..Wewe na mwenzako Msonjo mnabisha bila kuweka maandiko yoyote, ni kuandika tu story mnaokota sijui wapi
Bilal Alinunuliwa na akawa mtumwa wa Muhammad , Muhammad alikuwa na watumwa wengi sana
Muhammad alikuwa slave master
Hapa mke wake mmoja tu Aisha, stori nimeikata short alikula kiapo akavunja kiapo ikambidi aachie huru watumwa 40
...."I have made a vow which is a matter of very serious nature." They persisted in their appeal till she spoke with 'Abdullah bin Az-Zubair, and she freed forty slaves as an expiation for breaking her vow. Later on, whenever she remembered her vow, she would weep so much that her veil would become wet with tears. Sahih al-Bukhari 6073-6075
Kazi yangu ilikuwa kukuwekea ukweli ambao ulitaka kuficha kwa kutumia uongo mtakatifu takiya , Muhammad alikuwa anamliki Bilal na watumwa wengine wengi , alikuwa pia ana sex na watumwa wa kike na Allah akamruhusu kabisa kwenye Koran kula kijakaziMchungaji kajifunze kusoma na kufahamu English..
Hii hadith ni kuhusu Aisha alikataza kuzungumza na mmoja wa watu walioingia ukumbini kwake,kwavike huyu jamaa walipita mitaani kumsingizia kitu
Wake watu walimuomba Aisha aongee na Yule mtu,Walimkumbusha Aisha kuwa Mtume aliwambia Waislam ni lazima wasalimiane,isipite siku tatu bila kusalimiana..
Ndipo hapo Aisha alipokubali kuzungumza na yule mtu kwasababu kala kiapo,cha kuwasalimia waislamu wenzake, ,kosa la Waislam kutosalimiana ni kutoka Watumwa 40
kila hadithi ina maana yake katika Syria za Kiislam..
Sheria hii au kiapo hichi ni katika njia za Uislam kuwaachia Watumwa huru
Huyo Mtume wa Allah anatetewa kwa Kuongopa na Mapanga tu.Usipoteze mda kuelezea kitu kipo wazi ,
Kama mke mmoja tu wa muhammad aliweza kuachia watumwa 40 unafikiri Muhammad kiujumla alikuwa na watumwa wangapi? Alikuwa slave master
kaka unajua huyo Aisha alikuwa nani?..Usipoteze mda kuelezea kitu kipo wazi ,
Kama mke mmoja tu wa muhammad aliweza kuachia watumwa 40 unafikiri Muhammad kiujumla alikuwa na watumwa wangapi? Alikuwa slave master
Muhammad na Allah wakaja na wisdom ya kutokumuondoa mtumwaKiapo hichio madhumuni makubwa yalikuwa ni njia moja ya kuondoa Utumwa
Islam is full of wisdom,..
Unataka kusema Muhammad alikuwa analelewa na baba mkwe? Weka sawakaka unajua huyo Aisha alikuwa nani?..
Aisha ni mtoto wa Abubakar,yule jamaa alie mnunua Bilal akamuachia huru..
Abubakar alikuwa mmoja wa Tajiri mkubwa pale Makka,rafiki mkubwa wa Muhammad, mmoja katika watu waliousimamisha Uislam
Muhammad hakuwa tajiri alikuwa anafanyakazi kwa mkewe naiitwa Khadija,katika hiyo hadithi haijaandikwa kuwa hao Watumwa walikuwa wa Muhammad
hahaha,Bilal hakuwahi kuwa mtumwa wa MuhammadKazi yangu ilikuwa kukuwekea ukweli ambao ulitaka kuficha kwa kutumia uongo mtakatifu takiya , Muhammad alikuwa anamliki Bilal na watumwa wengine wengi , alikuwa pia ana sex na watumwa wa kike na Allah akamruhusu kabisa kwenye Koran kula kijakazi
Muhammad alikuwa tajiri Sana mpaka mke mmoja tu unaona amemuwekea watumwa zaidi ya 40 , sasa hapo Kuna wa kike pia na ni ruksa kwa Muhammad kutafuna
Abubakar alimpa Muhammad mwanawe Aisha na mali nyengine..kwa upendo wake kwa MtumeUnataka kusema Muhammad alikuwa analelewa na baba mkwe? Weka sawa
Moja katika wisdom ya kuwachia Watumwa huru,kuondoa Utumwa..Muhammad na Allah wakaja na wisdom ya kutokumuondoa mtumwa
Muhammad akasema , ukilizunguka jiwe mara 7 ni kama umeshamuachia mtumwa
....whoever circumambulates seven times, it is like freeing a slave. Sunan an-Nasa'i 2919
Circumambulation - is the act of moving around a sacred object or idol.
Muhammad akasema ukizunguka jiwe mara 7 pale macca ni umeshamuachia mtumwa,Moja katika wisdom ya kuwachia Watumwa huru,kuondoa Utumwa..
fikiria sheria inayosema kuwa kama hujamsalimia muislam mwenzako kwa siku 3 adhabu yake ni kuachia huru Watumwa 40..
Stori ya Khadija ya kumnywesha pombe baba yake ili afunge ndoa na Muhammad unaifahamu?hMuhammad hakuwa tajiri alikuwa anafanyakazi kwa mkewe naiitwa Khadija,katika hiyo hadithi haijaandikwa kuwa hao Watumwa walikuwa wa Muhammad
Ha...ha...haStori ya Khadija ya kumnywesha pombe baba yake ili afunge ndoa na Muhammad unaifahamu?
Hahaha 😂 ngoja nipambane kuitranslate kuwa kingereza , maana hakuna kwa English ipo kiarabu tuHa...ha...ha
Hatuifahamu Mkuu hebu tugemee kidogo ilikuwaje.
Lete mambo tuchangamke na mvua mvua hii.
siifahamu,Ninachofahamu kuwa Khadija alikuwa mmoja wa Wafanya biashara mkubwa MakkaStori ya Khadija ya kumnywesha pombe baba yake ili afunge ndoa na Muhammad unaifahamu?
Sababu za kipuuzi hizo.Watu wanaokuwa na shift za usiku ndio wazuie waislamu wote kufanya ibada zao ikiwemo kusikiliza adhana.Wenye shift na waislamu waliojenga msikiti ni nani wa kupewa kipaumbele. Vile vile adhana ikisomwa ni ibada na ni wito waliosikia miongoni mwa waislamu wakimbilie kwenda msikitini kufanya ibada kubwa zaidi ya swala. Sio kila mara adhana ikisomwa inatuamsha.Ukiwa umechoka sana au una usingizi mwingi wala huwa huamki.Mtu aliyelala asisikie adhana halaumiwi.Muda wa kazi hutofautiana, watu wanakuwaga na shift za usiku hivyo asubuhi ni muda wao wa kupumzika.
Kama hukuelewa maana usitafute elimu hapa.Kasome mwenyewe huko nje halafu uje hapa kujadilliana.Unataka kusema Muhammad alikuwa analelewa na baba mkwe? Weka sawa