viongoz wako wanawaza rushwa tuHuwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15
Acha kulinganisha Rwanda na TanzaniaWenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Dakika 90 ni 1 hr 30 minutesHuwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15
Sisi tunapenda vilivyo bora na sio vya kwetu.tupende vya kwetu
Aibu naona mimiKwani Tanganyika haikopi?View attachment 3088644View attachment 3088645
Ni kweli hata operation ya Uwanja mpya wanataka kumpa Qatar..Rwanda Air ina mkono wa Qatar Air usiilinganishe na Atcl.
Shida ni nafasi kutolewa kwa kuangalia unamjua nani, sio unajua nini.Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Mkuu hao ndio "mainjinia na wakandarasi wa mama"Aibu naona mimi
Sana broMatangazo kaka. Kaonekana Heathrow hata kwa saa moja kunaongeza points.... Marketing.
Vinatunufaisha nini kama nchi ilihali tumebaki kuwa omba omba kwa wazungu kwa kukosa fedha?Upo sahihi but Tanzania itabaki kuwa na watalii kwani tulivyonavyo ni asilia sio vya kuundwa.
Tuna mapungufu lakini hakuna zaidi ya Tanzania kwa swala la utalii Afrika Mashariki na Kati. Watalii watakuja tu
Serengeti Ngorongoro Mt Kilimanjaro etc vyapatikana Tanzania tu sio Rwanda Burundi Kenya Uganda etc.
Bado ni washindi wa utalii wengine wanalazimisha.
Ndio maana hata ticket kuondokea Heathrow ni ghali zaidi ya Airport zingine za hapaDakika 90 ni 1 hr 30 minutes
Kupata kibali cha ndege kutua Heathrow ni shughuli pevu lakini inayolipa kwa sababu kiwanja kile Kiko kwenye viwango vya juu kimataifa.Sana bro
Nakumbuka zamani unapoingia Heathrow unakutana na Concorde imewekwa kwenye Roundabout ya Airport
Emirates wakatamani kumuondoa hapo BA ila kodi zao sio za mchezo
Kwa kuwa wana hela basi mpaka leo zaidi ya miaka 10 Emirates wamepaki hapo na kila toleo likitoka wanaweka
Halafu guess what?
Wameweka matangazo ya wanyama wetu na Serengeti yote iko hapo
Yaani wanapiga ndege wawili kwa jiwe moja
Kwa kuwa Africa hakuna Freedom of information basi huwezi kupata jibu la maana kama Emirates wanatulipa kwa kutumia jina letu au ni uzwazwa wetu
Kweli biashara matangazo ila wanatuletea watalii badala ya sisi kuwafuata
Tuna tatizo kubwa jamaa alijaza madege kumbe yatue mwanzaKupata kibali cha ndege kutua Heathrow ni shughuli pevu lakini inayolipa kwa sababu kiwanja kile Kiko kwenye viwango vya juu kimataifa.
Shirika letu la ndege linapofurukuta, juhudi zote mara nyingi huishia kupata slot za Stansted Airport...