Think tank ya nchi wanawaza kuteka na kuua tuHuwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15
Mwanza na Mbeya, hivi haya ma airbus na boing yanalipa?Tuna tatizo kubwa jamaa alijaza madege kumbe yatue mwanza
Hawakuwaza ku compete na wengine
Uko too negative aiseeWenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
🤣🤣🤣🤣 Mkuu tutaenda sawa tumeanza usaili kuliko kuajiri tuTanzania ndio nchi pekee Duniani waliofeli mashuleni na vyuoni ndio watumishi wa unma
Kinacholitatiza taifa letu ni watu wa kufanya maamuzi sahihi tu ndio changamoto. Na ndio maana yule mzee aliyehudumu awamu ilioisha alionekana kama superhero kwa raia na miongoni mwa wanamboga mboga wenzie hadi wakamchukia vibaya mno.Huwa nashangaa sana yaani wakati mwingine unajiuliza hivi
Nchi yetu haina think tanks ?
Au hata akili kidogo?
Kutua tunaweza sana ila nashangaa madege tunayo ila hata ubia na kampuni zingine hatutaki
First 90 minutes ni bure Heathrow baada ya hapo ni £52 kila dakika 15
Tanzania tuna chawa wa mama wao hawana hivyo ngoma drawWenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Mfumo mbovu na wa hovyo unalitafuna taifa letuWao wapo siriaz na taifa lao !
Wakati sisi tupo usiriaz na uchama na kulinda uabdhiriffu wa viongozi Kwa kichaka Cha katiba!
Hata kwenda India, ATCL ni direct flight.Sijui Air Tanzania wanashida gani!
Ukipanda Rwanda air from London to Dar, Inakulazimu kusubiria Kigali flight exchange for more than 5hrs, Kigali, na bahati mbaya wana ndege inayopita KIA then Dar, ndio unamaliza siku nzima Kigali to DAr.
Air Tanzania wamelogwa sijui na nini!!
Na sasa naona watu wanaikwepa Kenya Airways. Nairobi wasumbufu sana
Na unalindwa na dola!Mfumo mbovu na wa hovyo unalitafuna taifa letu
Rwanda wanaiba madini Congo, sisi hatuibi, Rwanda wanaua watu Congo, maendeleo yao yananuka damuWho is ahead ? 😮
NHIF, ....Tunaipenda sana CCM na tabia zake.
Sasa hivi ATCL, DART, TRC ndio machaka yakuajili hovyo hovyo wajomba na ndugu incompetent kwa gharama za Watanzania.
Incompetent kila mahala, CEO wa ATCL na heads of departments, operations na maintenance waajiliwe foreigners hasa weupe kutoka Ulaya kama tunataka performance na return, ila kama tunataka show off na safari za machawa na makada basi tuendelee kufanya kazi wenyewe.
Ni mbaya sana, wao hawajui kwa tamaa watakuja kuuwa hata kaka zao kisa tamaa za maishaThink tank ya nchi wanawaza kuteka na kuua tu
Mkuu yalipe wapiMwanza na Mbeya, hivi haya ma airbus na boing yanalipa?
Tz Ina mabango mengi sana barabarani ya MAMA ABDUL, kuliko mabango ya kutangaza vivutio vya utalii 🤣🤣🤣🤣Kenya anapata wageni wengi kwa mwaka kuliko tanzania.unalijua hilo.Utalii wa dunia ya leo sio kua na mbuga tu.Utalii ni zaidi ya mbuga.kama huduma ni mbovu yule asiye na mbuga ila ana vivutio vyovyote na huduma nzuri atapata watalii wengi kuliko wewe usiyejishughulisha ukiwa na mind set kua una mbuga watakuja tu.
Sisi tunatangaza Mabango ya Mwenyekiti wa CCM.Wameweka matangazo ya wanyama wetu na Serengeti yote iko hapo
Yaani wanapiga ndege wawili kwa jiwe moja
Na kweliSisi tunatangaza Mabango ya Mwenyekiti wa CCM.
Huoni kama sisi tuna akili zaidi kuliko hata hao Wanyarwanda wako?!
Mkuu na huko Uingereza kuna Mabango ya kumsifu Mfalme na Waziri Mkuu?!!Na kweli
Mpaka ndoto ya Diamond nimeisoma
Huono mawaziri wakuu tunavyowafurusha wakiborongaMkuu na huko Uingereza kuna Mabango ya kumsifu Mfalme na Waziri Mkuu?!!
Kwa kenge wanaotawala bongo, kipaumbele Chao, ni kubaki madarakani tu, mengine yote,hayana maana Sana, wakiona kijana anapinga, anataka kuwatoa usingizini wananchi, wanamzima,Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.