Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
To be honest boss huku matangazo kwa mfano kwenye kitovu cha LondonSisi tunatangaza Mabango ya Mwenyekiti wa CCM.
Huoni kama sisi tuna akili zaidi kuliko hata hao Wanyarwanda wako?!
Hahahaha wabongo wangepiga kelele sana kuwa nchi inauzwa 😂😂Kwani na Sisi tulishindwa nini kuwa na hata kidole na wajomba zetu flai emireti,,,Acha hoja Upuuzi kaka
Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing
Sisi hapa karibia tutaamrishwa na Amos Makala tuyasujudie Mabango ya Mwenyekiti wa CCM laa sivyo miezi sita Jela.Huono mawaziri wakuu tunavyowafurusha wakiboronga
Nyie huko mnasema Nchi itatikisika, in Pinda's voice
Nacheka kama mazuriSisi hapa karibia tutaamrishwa na Amos Makala tuyasujudie Mabango ya Mwenyekiti wa CCM laa sivyo miezi sita Jela.
Kweni hawawezi kupigiwa simu na kuambiwa wasipoweka Bango la Mwenyekiti watatumiwa TRA ya huko ili wanyooshwe?!To be honest boss huku matangazo kwa mfano kwenye kitovu cha London
Piccadilly circus kuweka tangazo la biashara kwa wiki ni £250,000 kwa wiki
Sawa na 875,000,000 ndio hivyo sijakosea 😄 🤣
Sasa sijui hayo mabango kilakona yanalipa kwa watalii kuyaona View attachment 3093131
Sheria mpya zinatungwa kila siku huoni sasa hivi "Maadui wa Usalama wa CCM madarakani" wanavyokufa na kupotea na hakuna wa kushtakiwa?!Nacheka kama mazuri
Sheria zinatungwa mpya kila siku ama
Huyo mkubwa hana washauri?Sio lazima sheria itungwe
Huwa nasema kauli ya mkubwa sheria
JKT yao au ??Ebu ona wanavyo jituma🤣
Ndio hawa ma injia na wakurugenzi wetu WA etsieloKwani Tanganyika haikopi?View attachment 3088644View attachment 3088645
Wanaitwa mainjia wa mamaNdio hawa ma injia na wakurugenzi wetu WA etsielo
Sisi tulikuwa na partnership na SA, Kwanza Alliance Air ,ls pili SAA na kote tukapigwa badala ya kujenga.Watanganyika hamjui mnataka nini serikali ikitaka kufufua Hilo shirika kelele zinatoka kila Kona kuponda.
Qatar airways owns 49% of Rwanda air let that sink in.
Dola ndiyo ya hovyo kuliko hata hovyo yenyeweNa unalindwa na dola!
Songwe ya mbeya ?Wenzetu wanazidi kuchanja mbuga,
Na sasa wameanza kutumia fursa ya Vyanzo vyetu vya utalii kupiga pesa.
Rwanda Air kwasasa wana Direct flights kutoka baadhi ya Miji mikubwa Duniani to Kigali, then to JNIA and KIA.
Air Tanzania hawana mpango wowote, wacha majirani watusaidie.
Few to mention Rwanda Air wana Direct flight from Paris to Kigali then KIA/JNIA
London to Kigali then KIA/JNIA.
Na wako mbioni kutua na Zanzibar.
Air Tanzania wanapeleka Airbus na Boeing Songwe.
Wewe una tofauti gani na waliomuua Mzee Kibao wa CHADEMA? Unafurahia Kagame anavyoua wakongo kisa utajiri wao wa madini? Na kama angekuwa anaendeleza nchi yake kwanini wanyarwanda wanakimbia maisha magumu kwao na kwenda nchi zingine? Wewe ni mtu katili usiyefaa kwenye jamii ya wastaarabu.Ni safi sana KUPORA madini na kuendeleza nchi yake.
sisi Tanzania tunayo madini hatuwezi kutumia kuendeleza nchi.
Imagine Kagame madini na resources tulizonazo zingekuwa za Rwanda ingetisha!!!
Bora wizi wa madini, kuliko sisi tunayo lakini hatuwezi kuyatumia
Sisi tulikuwa na partnership na SA, Kwanza Alliance Air ,ls pili SAA na kote tukapigwa badala ya kujenga.
Ukiinama Nchale ukiinuka Nchale 😀Sahizi wabongo hawataki shirika lifufuke na hawataki wawekezaji. Ukijaribu tu kila mtu anapiga kelele unauza nchi. Hapo hapo wanasema kwanini wengine wanaendelea. Smh