Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameanza kuogopa. Maana huku Tshisekedi kaja kuomba msaada kwa wazee wa kazi JWTZ. Kule, Hustler wa Kenya katuma vijana wake wakawape "kampani" wakongo.You can't fight a mad but you set redline.
Kivipi, sijakuelewa. Hebu fafanua kidogo.Hili ni somo la kiimani zaidi, but, aliyetufundishaa imani hii, kwasasa amekuja kivingine, anatamani tuharibikiwe, kama ndivyo, imani aliyoitufundisha ilikuwa ya mtego wa kututoa kwenye reli
Hahahahahaha kwa hiyo, Rwanda pia inabidi ichukuliwe kama Russia?inabidi Africa nzima tusimame na congo kama EU 🇪🇺 walivofanya kwa Ukraine.
Why notYaani Samia amkemee kagame!
Mh unataka tuchakae et au utaenda kupigana wwWhy not
Mh unataka tuchakae et au utaenda kupigana ww
Kabla hamjafikiria kumuonya pk,waonyeni wazungu wanaoiba mali za kongo kwa mgongo wa UN,Tatizo la kongo Sio la pk tu, ni mataifa KARIBU yote makubwa yanayoiba mali za kongo na sio vinginevyo!!!
tuanze na huyu saizi yetu, maana anacho kifanya ni aibu kwa nchi za kiafrika.Kabla hamjafikiria kumuonya pk,waonyeni wazungu wanaoiba mali za kongo kwa mgongo wa UN,Tatizo la kongo Sio la pk tu, ni mataifa KARIBU yote makubwa yanayoiba mali za kongo na sio vinginevyo!!!
safari hii atatandikwa kisayansi sana.Kagame ana shida na Burundi
Kagame ana shida na Uganda
Kagame ana shida na DRC
Kagame aliwahi kuwa na shida Tanzania.
Hii nchi haikupaswa kukubaliwa kujiunga EAC kwa sababu ye kuwa member ni kama tunakosa ujasiri wa kumtandika
Chadema ya Dr Slaa ilisimama na Kagame wakati Afande Jakaya alipokuwa anawashughulikia M23 kule CongoHiki kijamaa ni cha kuondoa for good! Kinasunbua sana ukanda huu.