Rwanda yatuma majeshi yake mpakani na nchi ya DRC Congo, yasema iko tayari kwa vita!

Rwanda yatuma majeshi yake mpakani na nchi ya DRC Congo, yasema iko tayari kwa vita!

Namuunga mkono Kagame 100%, Congo waachane na FDLR militiamen ili amani ya kweli ipatikane, lakini tatizo la Congo sio Rwanda au Banyamulenge tuu wana factions nyingi sana zinazopigana na sababu kubwa ni utajiri mkubwa walionao na weak government in Kinshasa
Sasa hao Liberation of Rwanda kwanini anawafadhili Congo si awatimue maana kama unavyosema
 
Kama vile naona vile vita vya style ya enzi za wakina yesu za Kubeba mapanga na kupanda farasi na ngao 😄😄
wala si vita kwa kanchi kadogo kama rwanda ni uvamizi tu wa masaa sita mnakamaliza maisha yanaendelea
 
Wazir wetu wa ulinzi akae chonjo asisubiri Moto uwake huko mipakani ndio apeleke jeshi

Atume kikosi kazi kifanye survey mapema kuhakikisha hizo chokochoko za majirani hazivuki mipaka
Waziri gani. Huyu mnyarwanda anayejiita mnyambo. Pole yako.

Tayari mmeshauzwa ndani ya BAHIMA empire
 
Tetesi za vita na vita haziepukiki. Njaa, ukame, magonjwa na natural disasters lazima vitaongezeka. Hizi ni dalili za kukamilika miaka kwa miaka 6000 aliyopewa mwanadamu kujitawala.
Baada ya hapo MFALME mwenye UFALME wake anakuja naye atatawala dunia nzima kwa fimbo ya chuma.

Asomaye na afahamu na mwenye masikio asikie!!
Kwa hiyo unatumbia atakuja kutawala MFALME DIKTETA nje ya Dunia aje atutawale kimabavu??/?
 
Huwezi amini na jeshi letu la kuvunja matofali, Rwanda anaweza kututoa kamasi....
Sifa za kizushi tu . Hao wiki mbili TUPO kigali rwanda tunatengeza watoto wa East Africa. Kill men kisha tunafaulisha warembo
 
Namuunga mkono Kagame 100%, Congo waachane na FDLR militiamen ili amani ya kweli ipatikane, lakini tatizo la Congo sio Rwanda au Banyamulenge tuu wana factions nyingi sana zinazopigana na sababu kubwa ni utajiri mkubwa walionao na weak government in Kinshasa
Naona watu wengi wanafuata ushabiki maandazi bila kuchunguza kwa ndani.
 
Pale bamutu ba congolee palikua na kamanda mmoja anaitwa mommadou ndala moto kweli kweli huyo mwamba kama angekua hai daaaah lakini walimla kichwa baada ya kuwapelekea moto sana waasi ,..upumzike kwa amani ewe mtu mwema Mommadou Ndala
 
Pale bamutu ba congolee palikua na kamanda mmoja anaitwa mommadou ndala moto kweli kweli huyo mwamba kama angekua hai daaaah lakini walimla kichwa baada ya kuwapelekea moto sana waasi ,..upumzike kwa amani ewe mtu mwema Mommadou Ndala
Colonel mommadou ndala mwamba alikuwa anaingia frontline mwenyewe na askari wake 200-400 lkn kazi wanayopiga sio ya kitoto kiuhalisia huyu ndio aliwachapa M-23 lkn kama kawaida sifa nyingi zikaenda kwa TPDF
ALL IN ALL ndala aliuwawa kwenye well organised ambush INASAKITISHA SAANA

nakumbuka msibani kwake wakongo walilia saana

Baada ya kifo chake askari wa kikosi chake wale wa juu waliuwawa pia
 
Mnamkuza huyo PK bila sababu yoyote. Kanchi kapo kama Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora then mnakasifia na kumsifia huyo Rais ambaye cancer inamla. Pia kwani kuna kitu gani special amelifanya humu duniani hadi mnampamba na kumfanya unique zaidi ya kuua wapinzani wake? Huo ujasusi mnaomsifia ameifanya wapi?

Binafsi nawaunga mkono Wakongo kwani wanateseka bila sababu sasa Vijana wameamua kuingia mtaani kujitetea na kuitetea nchi yao toka kwa wapuuzi kama huyo mzee.
PK ana cancer?
 
Ufanyike mpango Rwanda iwe sehemu ya Tz, tuite mkoa wa Rwanda ndani ya Tz.
 
Kenya wametuma wanajeshi wake Congo sasa Mr. Slim ajiandae mkong'oto unakuja mzito.
 
Colonel mommadou ndala mwamba alikuwa anaingia frontline mwenyewe na askari wake 200-400 lkn kazi wanayopiga sio ya kitoto kiuhalisia huyu ndio aliwachapa M-23 lkn kama kawaida sifa nyingi zikaenda kwa TPDF
ALL IN ALL ndala aliuwawa kwenye well organised ambush INASAKITISHA SAANA

nakumbuka msibani kwake wakongo walilia saana

Baada ya kifo chake askari wa kikosi chake wale wa juu waliuwawa pia
Nani alimuua huyu Colonel? Na askari aliowaacha waliuliwa na nani na kwa sababu zipi?
 
Kwa hiyo unatumbia atakuja kutawala MFALME DIKTETA nje ya Dunia aje atutawale kimabavu??/?
Unaelewa nini kuhusu UFLME wa MUNGU?
Je, nini maana ya kuwa Dikteta?
Unafikiri, "kutawala kwa fimbo ya chuma" ni kuwa dikteta?

Kwa kukusaidia tu ni kwamba anakuja MFALME kutoka nje ya dunia hii naye atatawala dunia yote kwa kufuata sheria, kanuni, Amri na taratibu zote za MUNGU pasipo kuyumbishwa na yeyote yule.
 
Back
Top Bottom