haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,829
- 4,614
Mimi nimekujibu uongo wako kuhusu ivyo viroba havina madini na kama kungekuwa na madini vingelindwa na sio kukaa kizembe hivyo binafsi nilipoona izo picha miaka ya nyuma na mtu akisema madini niliamini hivyo.[emoji1][emoji1] basi Kumbe hata kusema Rwanda& Uganda inaiba madini Congo Ni uongo,maana wanaibaje wkt Walalahoi wanaangalia tu Kama vile hawana shida nayo [emoji1][emoji1]