Kuamka mapema sio tatizo.. mradi wawahi kulala tuuImekaaje hii?
Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.
- Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
- Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
- Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
HAIINGII AKILINI KABISA
Nani atamfundisha yote hayo?Kama mzazi unarudi saa tatu usiku.Wengine wanaona ujanja mtoto miaka miwili anaanza kupelekwa day care..principle yangu ni mtoto akae home awajue siblings, ajue viumbe vya dunia, atembee ahave fun, ajue milima mito na bahari, ajue abc -z akiwa home, 1 to 100 akiwa home.. alale, acheze, ale.
Nursery nataka asome mwaka mmoja tu..sitaki kuskia ya baby class, kg 1, kg 2, pre grade 1 ..Halaf baada ya hapo ndo agraduate aende class 1 lol..watu wanafanywa mtaji
Hayo madarasa ya mitihani watoto wanarudi nyumbani saa mojaTunaendeshwa sana na Mentality.
Mtu anaishi Tabata anataka kumpeleka Mwanaye shule iko Mbezi Beach, kisa workmates wake wamepeleka watoto wao kule.
Kiufupi kuna ujinga mwingi sana unaendelea kwa habari ya haya mashule na Wazazi tumeupokea kama Mazombie.
Pia kuna hili suala la watoto Wa Madarasa ya mitihani kulazimishwa kukaa Bweni.
Mwenye mtoto ndio mjinga, hili swala halihitaji time, Wala Cheti Cha ufaulu mtiahan wowote wa kitaifa kujua n sawa au sio sawa hata wangu tuu wa class 5 kuamka saa 11:30 aende Shule huo ujinga sifanyi nimewapa 15minutes za kujiandaa asubuh chai 5minutes saa 1:10 safari ya Shule ianzeImekaaje hii?
Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.
- Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
- Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
- Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
HAIINGII AKILINI KABISA
Na kuna wazazi wengine mafala mtoto wa miaka mitano anakapeleka boarding....Mie naona hawa watu wa haki za binadamu hawafanyi kazi yao. Wamekalia ushoga baadala ya kuwatetea wototo. Sasa mtoto wa miaka minne saa kumi na moja anaenda shule kufanya nini? Kuwatesa tuu watoto.
mifumo ya kifamilia zetu zilizojaa wajomba mashangazi na kina bamdogo tumeziacha.. tupo radhi tuwe na mabeki tatu hata wawili ila sio kuweka ndugu wa kukaa nao ambao ndio walikua chachu ya watoto kujifunza michezo, elimu za awali na awareness ya ndugu..siwezi laumu sanaNani atamfundisha yote hayo?Kama mzazi unarudi saa tatu usiku.
Nakubaliana na weweHakuna mateso mabaya kama haya mzazi unaamka saa 10 na wewe unajiandaa kumpeleka mtoto kituoni akasubiri basi.
Ndio ukute basi limeondoka utajuta maana madereva wengi wa basi za wanafunzi wajeuri sana.
Unakuta vimelaliana kwenye gari. Huu ni zaidi ya ukatili ni vyema tuboreshe shule zetu za kata.
Hakuna biashara inayolipa kwa kuanzisha shule...wanafunzi wa nurseries n primaries wanalipa ada zaidi ya tuition fee ya kozi za chuo kikuu cha dar es salaam.Sidhan Kama wazazi wa kaliba Hii wanalitambua hili,
Went mamlaka wanapaswa kuingilia Kati, Elimu imefanywa biashara wameacha kuzingatia utu na Haki za watoto.
Elimu bora. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kuna wazazi wengine mafala mtoto wa miaka mitano anakapeleka boarding....
Ulifanya vizur Sana, wewe Ni mmojawapo wa wazazi Bora Sana. Bravo[emoji106]Its insanity 😡, wazazi wakiwa na maamuzi ya ovyo wanaoteseka ni watoto. Hapo mtoto anaamshwa saa kumi na moja ili aandaliwe alishwe yaani ni mateso matupu. Mie nilikosa mdada wa kazi nikaenda ki Day care kimoja eti wananiambia saa kumi na mbili na nusu mtoto awe tayari nikawaambia huo ujinga sifanyi alivyokosa haya ananijibu mbona hawa wote mama zao wanawapakia saa kumi na mbili nikawaambia ni hao mwalimu sio mimi. Nikapata nyingine ujinga huo huo eti watoto wa miaka 3 na miezi 3 saa kumi na mbili wawe tayari nikachomoa kabisa ikabidi tunagotiate kuwa wangu wawe wanafuatwa 7.20am ambao ndio muda ninaoenda kazini. Hebu tuwahurumie watoto wetu jamani