Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zenye watoto wa miaka 4

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zenye watoto wa miaka 4

Imekaaje hii?

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
  • Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
  • Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
  • Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA

Inashangaza sana mtoto wa miaka 4 anakaa shuleni kwa zaidi ya saa nane sijui kama hao walimu wanaweza kuwangalia kwa ukaribu kiasi hicho...huu uzungu mara zote tunaukurupukia na unatugharimu kweli kweli..
 
Wamiliki wa shule wana ubavu kuliko taasisi za kudhibiti Elimu.
Huwa nawaona Bungeni wanavyodharau waziri, shule za serikali, n.k
Ndio madhara ya huria na kila mtu kupambana kupata Elimu ya kwenye makrtasi.
Na utamaduni wa familia kuwa cooperate utaleta shida nyingi zaidi.
 
Ndo Hawa tunaokuta miaka 16 tayar keshahitimu kidato Cha nne,

Unabaki kujiuliza maswali mengi sana[emoji848]
We jamaa umefanya utafiti kuhusu kumaliza na umri mdogo? Kuna mjapani alikuwa ana miaka 21 ana master wewe unashangaa miaka 16!
Umri wa mwili na umri wa akili ni vitu tofauti.
Unaweza ukawa una miaka 29 hesabu za drs7 zikakushinda.
Mtoa mada ameongelea kuwahishwa shule na si kuanza shile umri mdogo.
Mambo ya kuanzisha watoto wakiwa na miaka 7+ yamepitwa na wakati.
Kanuni zinasema mtoto huanza kujifunza mara tu anapozaliwa, sasa wewe unataka mtoto amalize f4 na miaka mingapi na kwa sababu ipi ?
Mtoto wangu kaanza std i na miaka 5 ukijumlisha 6+4, atamaliza f4 na miaka 15 dipl 3 + digrii 3, jumla 22.
Hivyo basi ataanza maisha akiwa na miaka 22.
Kuna kijana niliwahi mshuhudia ana miaka 21 na yupo mwaka wa 3 course za IT.
Mkuu kama mtoto wako kilaza mpeleke akiwa na miaka 10 ila mimi nimekataa hakuna mtoto wangu ataanza std 1 zaidi ya miaka 6 labda awe na matatizo ya akili.
Jambo hili nalisema kwa sababu kazini ndio utaona gape, yani wewe una miaka 30 kuna mwenzio ana miaka 25 mnachukua mshahara sawa kisa tu wazazi wako walikuchelewesha shule.
Niishie hapa tu japo nina mengi ya kupinga hoja yako "open your mind" dunia ya sasa ni tofauti na ya zamani.
 
We jamaa umefanya utafiti kuhusu kumaliza na umri mdogo? Kuna mjapani alikuwa ana miaka 21 ana master wewe unashangaa miaka 16!
Umri wa mwili na umri wa akili ni vitu tofauti.
Unaweza ukawa una miaka 29 hesabu za drs7 zikakushinda.
Mtoa mada ameongelea kuwahishwa shule na si kuanza shile umri mdogo.
Mambo ya kuanzisha watoto wakiwa na miaka 7+ yamepitwa na wakati.
Kanuni zinasema mtoto huanza kujifunza mara tu anapozaliwa, sasa wewe unataka mtoto amalize f4 na miaka mingapi na kwa sababu ipi ?
Mtoto wangu kaanza std i na miaka 5 ukijumlisha 6+4, atamaliza f4 na miaka 15 dipl 3 + digrii 3, jumla 22.
Hivyo basi ataanza maisha akiwa na miaka 22.
Kuna kijana niliwahi mshuhudia ana miaka 21 na yupo mwaka wa 3 course za IT.
Mkuu kama mtoto wako kilaza mpeleke akiwa na miaka 10 ila mimi nimekataa hakuna mtoto wangu ataanza std 1 zaidi ya miaka 6 labda awe na matatizo ya akili.
Jambo hili nalisema kwa sababu kazini ndio utaona gape, yani wewe una miaka 30 kuna mwenzio ana miaka 25 mnachukua mshahara sawa kisa tu wazazi wako walikuchelewesha shule.
Niishie hapa tu japo nina mengi ya kupinga hoja yako "open your mind" dunia ya sasa ni tofauti na ya zamani.
21 mbna wengi wanamaliza degree, sio jambo la ajabu hata.
 
NI UPUMBAV WA WAZAZ
Utakuta mitaa ya jirani kuna shule karibia 3 ambapo mtoto anaweza kuamka saa 1 asubuh akapanda bus kuwah shule, lakini mzazi mjinga ana amini shule ya mbali ni nzuri kwasabab ina jina zuri, uniform ya kuvutia, na kusikia tu kwa watu wakisifia shule...
As long as unataka mwanao asome hizo DayCare au English medium schools, zingatia ukaribu wa shule kutoka nyumban kwako, usalama au mazingira salama ya hio sehem...
 
Serikali isilifumbie macho hili lakini kwetu hapa litapita tu...
Kuna siku narudi home alfajiri saa 10.40 hivi napandisha kilima cha kijichi nikammulika mwanafunzi mdogo kiasimiaka 8,9 hivi anapandisha kuelekea stand nikastuka sana,nikapata mawazo kama 100 hivi kwa dk 2...nikashindwa jizuia mbele kidogo nikapata sehemu ya kugeuza nikarudi ili nimuhoji.na nijue wazazi wake bahati mbaya ile nakaribia kituo tu kuna msamaria pale akakasaidia lift mshikaki wakaondoka na bodaboda
 
20220302_122432.png
 
21 mbna wengi wanamaliza degree, sio jambo la ajabu hata.
Nimeanza na mjapani na kumalizia hapa. 21 nwenye master bongo yupo?
Sijasema ajabu kuwa na digrii at 21 bali nataka iwe hivyo tena hata 18 watu wawe na digrii na 21 wawe na master kama wenzetu walioendelea.
Kuna watu bado wanafikiri kizamani kwamba kuwa na miaka mingi ndio kuelewa shuleni kumbe elimu haitaki misuli bali akili.
Tulioanza shule miaka ya tisini tulipotezewa muda sana na mifumo, yani mtu unaazishwa drs la kwanza ukiwa na miaka 10+ na kazi unaanza una miaka 25+ kitu sio poa.
Binadamu anatakiwa aanze kuishi maisha yake anapotimiza miaka 18 japo wachache wanaanza hata miaka 15.
Mtoto wa kitanzania wa miaka 15 hakuna cha maana anachojua zaidi ya kubeba madaftari ya uraia na maadili.Hana skills nyingi bali chache tu.
 
Halafu kurudi nyumbani mara nyingi ni saa 10 mpaka 12 jioni! Unakuta katoto kamechoka na kusinzia tu kwenye hayo magari yao!

Haya ni zaidi ya mateso aisee kwa watoto.
Halafu bado kamepewa "home work" yaani mateso tu
 
Imekaaje hii?

Saa 11:20 alfajiri unapishana na Peschoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
  • Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
  • Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
  • Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA

Dawa wewe mpeleke mwanao st. Kayumba alale anenepe. ACHA na wanaowatesa wanawe.
 
Imekaaje hii?

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
  • Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
  • Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
  • Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA

Tatizo ni wazazi siku hizi hawataki wasaidizi wa kazi za ndani hivyo mtoto anapelekwa shule anashinda huko huko hadi jioni saa 12 (wanatoka saa kumi ila kuna masaa 2 tena tution)ili mama akirudi kazini mda huo ampitie mtoto shule warudi home

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeanza na mjapani na kumalizia hapa. 21 nwenye master bongo yupo?
Sijasema ajabu kuwa na digrii at 21 bali nataka iwe hivyo tena hata 18 watu wawe na digrii na 21 wawe na master kama wenzetu walioendelea.
Kuna watu bado wanafikiri kizamani kwamba kuwa na miaka mingi ndio kuelewa shuleni kumbe elimu haitaki misuli bali akili.
Tulioanza shule miaka ya tisini tulipotezewa muda sana na mifumo, yani mtu unaazishwa drs la kwanza ukiwa na miaka 10+ na kazi unaanza una miaka 25+ kitu sio poa.
Binadamu anatakiwa aanze kuishi maisha yake anapotimiza miaka 18 japo wachache wanaanza hata miaka 15.
Mtoto wa kitanzania wa miaka 15 hakuna cha maana anachojua zaidi ya kubeba madaftari ya uraia na maadili.Hana skills nyingi bali chache tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Imekaaje hii?

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
  • Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
  • Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
  • Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA

Kuna wakati nilishawahi kufikiri maisha ya Dar ni laini sana.

Sasa nipo Dar saa kumi na moja ninapigana vikumbo na watoto wa shule kugombea daladala kutoka Tabata kwenda Mnazi Mmoja. Ukichelewa muda huo ujue kazini ama shuleni kwa wanafunzi hao ni saa nne asubuhi.

Wakati wa kurudi nimeshuhudia watoto wanapitishwa vituo kwa kusinzia. Kwa ufupi maisha ya Dar ni hatari kwa afya zetu.
 
Imekaaje hii?

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
  • Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
  • Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
  • Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA

Na muda huo wa asubuhi kwa umri wao wanakwenda shuleni kufanya nini!
 
Binafsi niliachana na kutumia "school bus" kwa mambo kama haya, dereva alikuwa anakuja saa kumi na mbili kamili kumchukua mtoto, kisha anazunguka nae tu kwenye bus kupitia watoto wengine na shuleni wanafika saa mbili, mtoto ameisha choka kabla hata ya kuanza masomo. Jambo jingine lilinikera ni kutokuwa makini kwa hawa madereva juu ya maadili ya watoto, siku hiyo nilimsikia mtoto wangu anaimba ule wimbo unaimba ..."kuchapiwa mke ni siri ya ndani....." nikamuuliza umesikia wapi, anasema uncle anawekaga kwenye Bus....hapo ndio nikaamua kuchukua maamuzi magumu!
 
Binafsi niliachana na kutumia "school bus" kwa mambo kama haya, dereva alikuwa anakuja saa kumi na mbili kamili kumchukua mtoto, kisha anazunguka nae tu kwenye bus kupitia watoto wengine na shuleni wanafika saa mbili, mtoto ameisha choka kabla hata ya kuanza masomo. Jambo jingine lilinikera ni kutokuwa makini kwa hawa madereva juu ya maadili ya watoto, siku hiyo nilimsikia mtoto wangu anaimba ule wimbo unaimba ..."kuchapiwa mke ni siri ya ndani....." nikamuuliza umesikia wapi, anasema uncle anawekaga kwenye Bus....hapo ndio nikaamua kuchukua maamuzi magumu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwanao kakuonesha yeye ana kipaji cha kuimba, wee una mcancel, khaaaaah
 
Imekaaje hii?

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
  • Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
  • Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
  • Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA

Hao ndo wanaongoza kuwahi ofisini..
 
Back
Top Bottom