Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zenye watoto wa miaka 4

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zenye watoto wa miaka 4

Wamiliki wa shule binafs wana umoja wao.je wazazi wa watoto wa shule za private kwanini wasiunde umoja wao? Kama ilivyo kwa makundi mengne
 
ndg zangu wanaume punguzeni Sana au acheni kabisa kuwasukumia Moto ma housegirl wanaotafutwa na ndg zao .........
 
Sikupingi mkuu,
hizi sera za Beijing zinatuaribia jamii yetu[emoji3525]
Ni sera za UN mkuu alias USA and co.
Beijing ilikuwa ni venue tu, nadhani walidhamiria ifanyike pale ili iwaathiri zaidi wenyeji sema wachina akili mingi sana walishawashtukia mapema. Waliambulia patupu.

Women's roles were primarily kinship roles: daughter, sister, wife, daughter-in-law, mother, and mother-in-law. In all these roles, it was incumbent on women to accord with the wishes and needs of closely-related men: their fathers when young, their husbands when married, their sons when widowed.
1646071906621.png

Asia Society › education

Women in Traditional China | Asia Society

 
Kero zenu ni ngumu mno kutatuliwa na serikali ya Tanzania..kwanza watoto wanaosoma nje ya shule za umma wamekuwa as if sio priority.hawanaga msemaji, hata NGO's kama HAKI ELIMU au TWAWEZA wanamulika sana dosari wanaziona kwny shule za serikali kuliko za private..solution nyie wazazi wa watoto husika undeni umoja wenu.
 
Imekaaje hii?

Saa 11:20 alfajiri unapishana na schoolbus zimebeba wanafunzi wadogo wa miaka 4-6 wakipelekwa mashuleni. Unabaki unajiuliza maswali mengi sana kichwani,
  • Hivi Hawa watoto wameamshwa saa ngapi?
  • Hivi Hawa watoto wameandaliwa kwa MDA gani?
  • Hivi Hawa watoto wamekaa vituoni kusubiria school bus kwa MDA gani?
Wazazi, waalimu,Serikali, jamii na wahusika wote wa Hizi DAYCARE na PRIMARY SCHOOLS mnaofanya hivi mjitafakari sana kwa hili.

HAIINGII AKILINI KABISA

Moja kati ya mada muhimu hii. Moderators napendekeza muiselect hii mada na kuivalue indeed
 
Hili sio la kulaumu shule wala waalimu wala serikali, hili ni la wazazi wa watoto husika!!

Hivi Mtoto wako unakubalije aamke saa 10 usiku kama mlozi??

nikweli huwa tunaubizy wa kushindwa kuwapeleka watoto shule wenyewe kisha tuka elekaea kazini??

Watoto Tunapenda kuwatafuta ila kuwalea ndio shida eti!

Wakwangu nikitoka na mzee tunawadrop shule kisha ananidrop kazini then nayeye anaelekea kazin!! Ndio utaratibu wetu!
 
Kwa jicho moja ni vibaya. Kwa jicho lingine Mazingira yanalazimisha. Hivi umeoa a corporate Lady. Ndugu hawa niwaamini Na Mtoto wangu all day long? Hapana kwa kweli pia Dada Wa kazi ni changamoto. All in all wanaume tutafute hela tuoe a housewife Na sio corporate lady. Hawa kulea ni changamoto. Childcare ni janga dunia nzima wala sio tz tu. Tujadili bila mihemko. Pia wanaume tuache kukataa watoto tupunguze single women family.
 
Wazazi wote ni waajiriwa.

Majumbani

Ma uncle na wafanyakazi wa majumbani hawaaminiki.

The only safe place iliyobakia ni Shuleni.

Unless mzazi mmoja aache ajira yake awe mama wa nyumbani.
 
Daycare sawa, hata saa kumi na moja waje wamchukue mtoto niwahi kazini au nam drop center nikiwa nawahi foleni. Huko wana vitanda na hulala, huogeshwa, kulishwa, kucheza na kusoma kidogo maana mtoto wa miaka mi3 bado hata haelewi shule ni nini. Jioni nikimpitia au wakimleta nikiwa home tayari hatakama ni saa moja usiku. Mnaopinga Daycare mna house maids wazuri au mmeamua kujitoa muhanga, au mnawatu wa kuwaachia watoto nyumbani au bado hamna watoto au tayari ni wakubwa. Ila zinasaidia sana
Na wewe tafuta house maids wazuri
 
Back
Top Bottom