Ndio najiuliza hawa wanaolalamika wana watu wa kuwaachia sio bure ila kama bado hawajazaa waache kabisa maana yajayo yanafurahishaDaycare sawa, hata saa kumi na moja waje wamchukue mtoto niwahi kazini au nam drop center nikiwa nawahi foleni. Huko wana vitanda na hulala, huogeshwa, kulishwa, kucheza na kusoma kidogo maana mtoto wa miaka mi3 bado hata haelewi shule ni nini. Jioni nikimpitia au wakimleta nikiwa home tayari hatakama ni saa moja usiku. Mnaopinga Daycare mna house maids wazuri au mmeamua kujitoa muhanga, au mnawatu wa kuwaachia watoto nyumbani au bado hamna watoto au tayari ni wakubwa. Ila zinasaidia sana