Nina ndugu yangu yeye mwalimu ana hali ngumu sana ila anafyatua watoto kama ana kiwanda cha kufyatua matofali..ana watoto 5 na mtoto wa kwanza ana miaka 9 anamsomesha shule ada 1.2M kwa mwaka primary na mtoto kilaza vibaya...nimemshauri sana kuhusu hela anazotupa ila nagundua ni limbukeni basi namuacha tu.