Kuna hawa pia wa darasa la nne nao ni mateso tu. Wanaambiwa waripoti shuleni saa 12 asubuhi kila siku. Wanarudi nyumbani saa 11 jioni halafu wanarudi tena shuleni saa 12 jioni mpaka saa 3 usiku kila siku. Jumamosi pia wanaenda.
Hivi mtoto wa darasa la nne anasoma nini muda wote huo?
Elimu imekuwa mateso kwa watoto kisa shule zinatafuta sifa za kuonekana zinafaulisha zinabaki kukaririsha watoto.
Hivi mtoto wa darasa la nne anasoma nini muda wote huo?
Elimu imekuwa mateso kwa watoto kisa shule zinatafuta sifa za kuonekana zinafaulisha zinabaki kukaririsha watoto.