Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Piga chini kabla hajakupiga chini wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kipumbavu Sana hili, Wewe ungeulizwa swali kama hilo ungejibu??! Hizo ni red flags jiongeze acha uboyaAmeshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Saafi sana! Sema Dogo hajalala Kabisa na uwezo wa kusafiri aliko demu Hana, hapo ndio maumivu yanazidiWanawake sio wataalam sana wa matumizi ya sim. Mimi pia Kuna Binti aliomba nimsaidie Hela kidogo. Wakati nataka kumpigia ili nimpe location akawa anatumika. Tuma meseji hazijibiwi, piga anatumika mpaka siku mbili. Siku ya tatu naonana nae ananilaumu kuwa nilimdanganya. Tulijaribu kupigwa ipo bize kama Kawa, tukakagua sim kumbe kablock bila kujua, tukarekebisha na maisha yakaendelea. Ukiona umeanza kuwa na mawazo hasi Kwa mpenzi wako ujue uanaume unakushinda kwahiyo kaunge juhudi.
Achana naye tu. Piga nyama chini.Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.
Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.
Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.
Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.
Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Babu jinga Mali yako inaliwaWadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.
Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.
Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.
Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.
Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Mzee wa uchochezi naona upo kazini😀Kama una demu kapanga kwake na humlipii kodi acha wivu kijana. Jua tu kuna sponsor na akipiga simu lazma ipokelewe na wewe upo kundi la wasumbufu. Hakuna kitu kama block ya bahati mbaya
Ananitafuta. Hata sasa amemaliza kunitext nimeamkaje. Ila hisia kumwambia aje ghetto zinaisha. Hakuna mke hapaInaonekana bado unampenda sana huyo mwanamke ila kwa dalili hizo ashakuacha sema anaogopa kukueleza ukweli .
Chamsingina cha sekondari fanya nawe kumuacha na usimpigie hata simu wala kumtumia sms naimani naye atakupuuza , usikubali kuendeshwa na hisia .
Shukrani sana mkuuSasa unataka uambiwe na nani ndio uamini kuwa wakati ukiambiwa namba inatumika alikuwa akitumika yeye?
Hata tukikwambia sisi hautaamini utaenda kumuuliza mhusika tena kama alikuwa akitumika
Msamehe huenda aliblock bahat mbayaWadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.
Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.
Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.
Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.
Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Nawewe unasubiri akuambie ndio anaye mwanaume mwingine?Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Hili nenoSijui mnawezaje kumng’ang’ania mtu ambaye ameshaona hutoshei kuwa naye? Tujithamini jamani
Mkuu sijaikubali. Na sitaikubali. Na sasa amemaliza kunitafuta. Ukweli sitamwambia aje nyumbani kwangu tena. Atatoka kichwani taratibuBlock ya bahati mbaya ndiyo inakuwaje ??? Na kwanini iwe usiku???...sababu ya kitoto sana na umeikubali