Saa 3 usiku mpaka saa 11 asubuhi simu inatumika

Saa 3 usiku mpaka saa 11 asubuhi simu inatumika

Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Kumbe wewe ndiyo ulikuwa unaingilia starehe zetu? Alikuwa kwangu, tuliza mshono. Ana papuchi tam sana ila kiuno kimekaza, hili nalo ukalitazame, nasema uongo ndugu zangu?
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Kwani Kuna shida gani akitumia simu yake ucku kucha?
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Fear of unknown ""principal of LOVE""
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Acha uzoba hapo umepigwa block jiongeze
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Hadi leo hii una muda gani unatumia simu?
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Dogo nisikilize mimi hapa.

Kamwe usimhukumu mtu bila kuwa na uhakika wa jambo unalomtuhumu nalo. Nilikuwa kama wewe kipindi fulani. Binti wa watu asipojibu hata texts zangu tu kwa wakati naumia sana na kupata mawazo mabaya. Na kuna jamaa walikuwa naye karibu sana; nikamhukumu kwamba alikuwa anatoka naye. Siku moja nilichukua simu yake ndipo nilikaujua ukweli na niliishia kuona aibu sana. Nilichojifunza ni kuwa na open communication...na kuambiana ukweli hata kama ni ukweli unaouma namna gani!

Nasisitiza tena. Kamwe usimtuhumu mtu bila kuwa na uhakika. Kama kuna jambo una wasiwasi nalo muulize. Usiporidhika na jibu lake fanya uchunguzi na kama anakuchiti mwishowe utajua tu maana mapenzi kamwe huwa hayafichiki.

Na unapoanza kufanya uchunguzi wako uwe umejiandaa kisaikolojia hasa kama unampenda sana. Je, ukikuta ni kweli anakuchiti una kifua cha kuweza kumuacha maana sasa hivi ni tuhuma tu lakini tayari kuna kitu kinakuniga. Vipi ukikuta kweli jamaa wanamtindua huko? Kama huna kifua cha kumuacha basi acha hata usimchunguze. Na Emotional Intelligence ya mwanaume hupimwa kwa jinsi anavyoweza kushughulika na ishu kama hizi bila kupaniki utafikiri mwisho wa dunia umefika!

➡️➡️➡️ By the way, unafikiri kuchapiwa kunaepukika, hasa siku hizi - tena kwenye long distance relationship kama yako? Wewe huna demu mwingine? 🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️

downloadfile-359.jpg
 
Dogo nisikilize mimi hapa.

Kamwe usimhukumu mtu bila kuwa na uhakika wa jambo unalomtuhumu nalo. Nilikuwa kama wewe kipindi fulani. Binti wa watu asipojibu hata texts zangu tu kwa wakati naumia sana na kupata mawazo mabaya. Na kuna jamaa walikuwa naye karibu sana; nikamhukumu kwamba alikuwa anatoka naye. Siku moja nilichukua simu yake ndipo nilikaujua ukweli na niliishia kuona aibu sana. Nilichojifunza ni kuwa na open communication...na kuambiana ukweli hata kama ni ukweli unaouma namna gani!

Nasisitiza tena. Kamwe usimtuhumu mtu bila kuwa na uhakika. Kama kuna jambo una wasiwasi nalo muulize. Usiporidhika na jibu lake fanya uchunguzi na kama anakuchiti mwishowe utajua tu maana mapenzi kamwe huwa hayafichiki.

Na unapoanza kufanya uchunguzi wako uwe umejiandaa kisaikolojia hasa kama unampenda sana. Je, ukikuta ni kweli anakuchiti una kifua cha kuweza kumuacha maana sasa hivi ni tuhuma tu lakini tayari kuna kitu kinakuniga. Vipi ukikuta kweli jamaa wanamtindua huko? Kama huna kifua cha kumuacha basi acha hata usimchunguze.

[emoji3591][emoji3591][emoji3591] By the way, unafikiri kuchapiwa kunaepukika, hasa siku hizi - tena kwenye long distance relationship kama yako? Wewe huna demu mwingine? [emoji2221][emoji2221][emoji2221]

View attachment 2987421
Umeandika kitu kizuri. Tabia ya kuhukumu bila kuwa na uhakika imevunja mahusiano mengi. Mtu akipiga simu haipo hewani anaanza kuwaza anaibiwa, ikiwa inatumika anawaza anaibiwa hii si njema kwa afya ya mahusiano. Ajipe muda kama anaibiwa kweli atajua.
 
sisi tunaolipa wenyew mnatuonea 😃
Kitu nimejifunza kwenye haya maisha ni kuwa mwanamke hapendi kugharamia chochote na anaumia sana hata kwa vitu vidogo atoe hela yake. Itachukua miaka 1000 kuamini eti mwanamke atajipangia chumba ajilipie kodi miaka yote bila kutafta mtu wa kumtwisha jukumu hilo. Mara zote mnalalamikaga kinoma utafikiri nyumba anaishi mtu baki. Oh kuna wanaume basi sikuhizi mi napambana sana yani najilipia kodi blaah blaah.😁 Sasa kulipa kodi si moja ya jukumu la mtu mzima.
 
Kitu nimejifunza kwenye haya maisha ni kuwa mwanamke hapendi kugharamia chochote na anaumia sana hata kwa vitu vidogo atoe hela yake. Itachukua miaka 1000 kuamini eti mwanamke atajipangia chumba ajilipie kodi miaka yote bila kutafta mtu wa kumtwisha jukumu hilo. Mara zote mnalalamikaga kinoma utafikiri nyumba anaishi mtu baki. Oh najilipia kodi blaah blaah.😁
😃Sijui kwann inatuuma kutoa ela yetu
Nilipataga ela za kwangu mwenyew na nilizitumia mwenyew lkin roho ikaanza kuniuma😂😂😂😂
 
Umeandika kitu kizuri. Tabia ya kuhukumu bila kuwa na uhakika imevunja mahusiano mengi. Mtu akipiga simu haipo hewani anaanza kuwaza anaibiwa, ikiwa inatumika anawaza anaibiwa hii si njema kwa afya ya mahusiano. Ajipe muda kama anaibiwa kweli atajua.
Hahahahaha mnavyolalamikaga sasa,,,"tatizo lako hauniamini 😁!" naijua hiooo
 
Back
Top Bottom