Saa 3 usiku mpaka saa 11 asubuhi simu inatumika

Saa 3 usiku mpaka saa 11 asubuhi simu inatumika

Umeandika kitu kizuri. Tabia ya kuhukumu bila kuwa na uhakika imevunja mahusiano mengi. Mtu akipiga simu haipo hewani anaanza kuwaza anaibiwa, ikiwa inatumika anawaza anaibiwa hii si njema kwa afya ya mahusiano. Ajipe muda kama anaibiwa kweli atajua.
Issue sio kutumika. Issue ni blocking 🚫 ambaye anasema aliifanya bahati mbaya ghafla saa 12 asubuhi ndio akakumbuka aka unblock.

Yaani aliblock namba. Sasa sijui alishindwa kuona hata jina alilosevu kwa simu yake?
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Mrs wangu aliniblock bila yeye kujua, nikapiga namba nyingine kwenyw simu yake ndogo akapokea, nikamuuliza mbona laini nyingine uko busy?? Akasema iko online mbona, sikufuatilia zaidi, niliporudi nyumban nikakuta umeblock kwa bahati mbaya


Tafta aspect nyingine ili uthibitishe aspect ya kwanza, mwanaume unahitaji kuwa na busara kuliko mihemko
 
Naona unatumia gharama kutafuta Shinikizo la Damu...., Mwisho wa siku ni wewe ndio unajua (una taarifa zaidi kuliko sisi)..,

Ingawa kuna mdau wangu mkemia aliwahi kuniambia relationships zinaweza zikawa reversible reactions ukiweka catalyst fulani inaweza kubadilika from one state to another.... Lakini cha maana ni wewe mwenyewe na hulka yako kama una wivu sana au unadhani unaweza kumiliki binadamu akawa wako peke yako huenda mapenzi huyawezi na ushauri wangu achana nayo (don't fall too deep) your bound to get hurt...
 
Mkuu acha kuwa support hawa, sio wajinga kama udhanivyo they know what they're doing. Mwanamke kama hakupendi na anakutumia lazima atakupa red flags ambazo ndo hizi watu wengi wanachanganya eti kujisahau. Jamaa hapo hatakiwi ku second guess, huo ni ulofa kabisa. Kadri atakavyo vumilia ndo maiumivu makubwa atayapata mbeleni.
Mimi siko hapa kupinga au kusapoti mtu mkuu; maana mambo menyewe haya wala hayanaga fomyula. Nimetoa tu uzoefu wangu.

Ukiona pisi yako kila siku mnatuhumiana kwa hizi ishu ndogo ndogo bila uthibitisho basi jua kuwa hamko mature enough, mnatumiana na kupotezeana muda tu; na au mlikurupuka.

Huwa nawashauri vijana- hasa wale wanaojaribu kutafuta wenza wa kudumu - waanzie katika urafiki ili kuweka misingi imara ya mahusiano. Hata kuaminiana na open communication vinakuwa rahisi huko mbele ya safari.

Lakini kama lengo ni kupelekeana moto tu hiyo ni everything goes...no holes/drama barred!🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️🚶🏿‍♂️
 
Unataka ushauri gani jombaa??
Mwanamke wako ana jamaa mwingine anamkunja.
Endelea nae hadi akupe gonno sugu maana umeshindwa kumuacha
 
Kama una demu kapanga kwake na humlipii kodi acha wivu kijana. Jua tu kuna sponsor na akipiga simu lazma ipokelewe na wewe upo kundi la wasumbufu. Hakuna kitu kama block ya bahati mbaya
Hivi ku block kwa bahati mbaya ndo kukoje??😂
Long distance relationships hizi ni changamoto
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Kwa nini usimuamini mwenzako. Kama mligombana aka ku-block amini, lakini kama hamjagombana ila alikosea aka ku-block bahati mbaya hauna haja ya kuleta haya masuala mtandaoni.
Ukiangalia pia simu yako unaweza kukuta kuna watu ume wablock bila wewe kujua.
Huku mtandaoni utapata ushauri wa kila aina na utamwacha mwenza wako.
 
Issue sio kutumika. Issue ni blocking [emoji724] ambaye anasema aliifanya bahati mbaya ghafla saa 12 asubuhi ndio akakumbuka aka unblock.

Yaani aliblock namba. Sasa sijui alishindwa kuona hata jina alilosevu kwa simu yake?
Duhh! Pole sana.

Au mlikwazana akakublock makusudi?
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Unasubiri uambiwe? 😁
Ni fedheha mwanaume kuachwa aise.
 
Back
Top Bottom