Saa 3 usiku mpaka saa 11 asubuhi simu inatumika

Saa 3 usiku mpaka saa 11 asubuhi simu inatumika

Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Dawa moja tu tafuta mtu mwingine huyo sio wako.....utakufa bure pressure....achana nae mapenzi mbali shida.....tafuta demu wa karibu wewe utakufaaaaaa
 
Kulazimisha usipotakiwa ndio mnakuja kujitupa kwenye madaraja..... Mwanamke yoyote at any time, ana options nyingi kwenye mstari wake, usipokuwa mbele ya huo mstari hakuna rangi utaacha ona 🤣 🤣 🤣 🤣

Ukionyeshwa ishara yoyote ya dharau na kutojali, ondoka.
 
😃Sijui kwann inatuuma kutoa ela yetu
Nilipataga ela za kwangu mwenyew na nilizitumia mwenyew lkin roho ikaanza kuniuma😂😂😂😂
Mi huwa najifunzaga vitu vidogo vidogo nyumbani.

Sabuni za kuogea huwa nanunua nzuri zile ila ikatokea zimeisha maana wanatumbukizaga chooni, mwenzio atanunua kichelema cha jamaa kile. Sio kama hela hana ila uchungu sijui au nini kile.

Nachukua piece moja toka kwa sabuni za mtoto naiweka bafuni. Akiikuta tu ile jamaa ataitoa chap iende kwenye bin ya kuweka nguo chafu. Sasa unajiuliza kama huyu mtu anapenda sabuni nzuri kwanini hanunui akikuta imeisha? Starehe ya Dove na Savanah anaitaka ila hayupo tayari kununua.
 
[emoji23][emoji23] Wewe unatakiwa umuamini mpenzi wako ili uishi kwa amani. Uzuri ni kwamba mtu akishaanza usaliti lazima utamjua ila tusiwe wepesi kuhukumu mtu kisa hajapokea simu kwa wakati, tujipe muda.
Muda wa kumchunguza utoke wapi guts huwa haziongopi.😂 Ukihisi unapigiwa jua ni hivyo
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
Namba haiwezi kublockiwa kizembe nishawahi kuwa kwenye mahisiano siku mbili tofauti saanne nampigia simu inaita mpaka inakata asubuh ananipigia ila machale yangu yananicheza siku nyingine tena usiku namba haipatikan asubuh inapatkana akarudi nyumban alivyorud kupitia simu nikajua analiwa uroda nikamkatia mrija wake nikavuta kipusa kingine sahiv anauza mamantilie kwao
 
"Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah."


Ah nitoshe kusema wewe ni zoba ..
 
Umeandika kitu kizuri. Tabia ya kuhukumu bila kuwa na uhakika imevunja mahusiano mengi. Mtu akipiga simu haipo hewani anaanza kuwaza anaibiwa, ikiwa inatumika anawaza anaibiwa hii si njema kwa afya ya mahusiano. Ajipe muda kama anaibiwa kweli atajua.
Na ukiwa na mtu wa hivyo jua kuwa hamtafika mbali labda uwe mvumilivu sana.

Mimi huyu wangu alinivumilia mno mpaka leo huwa tunacheka tu hasa akinikumbusha how insecure I was.

Emotional maturity/intelligence kwa wengi wetu bado ni tatizo. Ukijumlisha na inferiority complex/insecurity pamoja na makovu ya kuumizwa huko nyuma + trauma za utotoni basi matatizo tupu yaani. Mtu huwezi hata kufurahia mapenzi kila muda kesi kisa umechelewa kujibu meseji yake kwa nusu saa...tayari ushahukumiwa eti ulikuwa unachati na malaya zako huko! 🚮
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
kwamba kama amelala na mwanaume mwingne akwambie!!! Uliuliza swali la kishenzi sana. NINGEKUSHAURI ILA KWA AKILI HIZO ,ITAKUWA USHASAMEHE
 
Mi huwa najifunzaga vitu vidogo vidogo nyumbani.

Sabuni za kuogea huwa nanunua nzuri zile ila ikatokea zimeisha maana wanatumbukizaga chooni, mwenzio atanunua kichelema cha jamaa kile. Sio kama hela hana ila uchungu sijui au nini kile.

Nachukua piece moja toka kwa sabuni za mtoto naiweka bafuni. Akiikuta tu ile jamaa ataitoa chap iende kwenye bin ya kuweka nguo chafu. Sasa unajiuliza kama huyu mtu anapenda sabuni nzuri kwanini hanunui akikuta imeisha? Starehe ya Dove na Savanah anaitaka ila hayupo tayari kununua.

[emoji23] Kichemela ndio nini?
 
Umeandika kitu kizuri. Tabia ya kuhukumu bila kuwa na uhakika imevunja mahusiano mengi. Mtu akipiga simu haipo hewani anaanza kuwaza anaibiwa, ikiwa inatumika anawaza anaibiwa hii si njema kwa afya ya mahusiano. Ajipe muda kama anaibiwa kweli atajua.
Acheni kumpa fariji jamaa, demu kamwambia emb tulale! tayari jamaa ni indicator kubwa demu anamficha kitu, hapo kashawekwa benchi hatakiwi kujiuliza mara mbili.... wanawake tunawajua vizuri sana michezo so stupid, kuchezeana hisia tu, jamaa anatakiwa apige chini mara moja hakuna coincidence hapo
 
Wadau naomba ushauri wenu.
Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi.

Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message lakini hazikujibiwa.

Ilivyofika saa 12 na robo asubuhi akanipigia. Akasema eti aliblock namba yangu kwa bahati mbaya na alishituka baada ya kuona sijamtafuta. Akaomba msamaha.

Jana nikamwambia ulikuwa umelala na mwanaume mwingine. Nikamtext nikamwambia kama una mwanaume mwingine naomba uniambie. Akajibu NAOMBA TULALE. Lakini bado ananitafuta. Kuna kitu kinaniniga wallah.

Ameshindwa kuniambia kama ana mwanaume mwingine. Ushauri tafadhali
sasa unataka ushauri gani? kwanza jiulize,je unamgharimia? kama humgharimii una mamlaka gani juu yake?
 
Na ukiwa na mtu wa hivyo jua kuwa hamtafika mbali labda uwe mvumilivu sana.

Mimi huyu wangu alinivumilia mno mpaka leo huwa tunacheka tu hasa akinikumbusha how insecure I was.

Emotional maturity/intelligence kwa wengi wetu bado ni tatizo. Ukijumlisha na inferiority complex/insecurity pamoja na makovu ya kuumizwa huko nyuma + trauma za utotoni basi matatizo tupu yaani. Mtu huwezi hata kufurahia mapenzi kila muda kesi kisa umechelewa kujibu meseji yake kwa nusu saa...tayari ushahukumiwa eti ulikuwa unachati na malaya zako huko! 🚮
Mkuu acha kuwa support hawa, sio wajinga kama udhanivyo they know what they're doing. Mwanamke kama hakupendi na anakutumia lazima atakupa red flags ambazo ndo hizi watu wengi wanachanganya eti kujisahau. Jamaa hapo hatakiwi ku second guess, huo ni ulofa kabisa. Kadri atakavyo vumilia ndo maiumivu makubwa atayapata mbeleni.
 
Acheni kumpa fariji jamaa, demu kamwambia emb tulale! tayari jamaa ni indicator kubwa demu anamficha kitu, hapo kashawekwa benchi hatakiwi kujiuliza mara mbili.... wanawake tunawajua vizuri sana michezo so stupid, kuchezeana hisia tu, jamaa anatakiwa apige chini mara moja hakuna coincidence hapo

Unajua mambo ya mapenzi hayashauriki. Hapa tunaweza muambia aachane nae kumbe usiku halali. Ataamua yeye afanyaje.
 
Back
Top Bottom