Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Shida ni tr 2 za EU ndiyo maana wanatumia uongo mkubwa kudanganya watu kupitia Bunge na Nec. Kweii chadema wapeeke jina mtu yupo mahabusu na wamshauri DPP amwachie, uongo mwingine wa ajabu. Mahera anadai Nov 19 chadema wamepeeka majina kesho yake Azam Tv anaripotiwa kuwa hajapokea majina toka CDM, uongo wa ajabu kabisa. Wameshikwa pabaya hizo pesa za EU hawapati mabeberu siyo wajinga kihivyo.
Ajabu sana. Cha kusikitisha hata hawajali kabisa.
 
Nusrat Hanje ndiye amesaidia hapa kuonyesha ni nani muongo
Wote Mahela na Hanje wameonesha uongo wa CCM na serekali yake.
Lakini pia kwa roho mbaya walonayo waandamizi wengi wa CCM, Nusrat aweza rudishwa lupango.
 
Kwa waliowahi kutumia manati, unamlenga ndege umevuta manati yako hadi mwisho halafu kipago kinachomoka mkononi kinakurudia usoni. Balaa lake usiombe.

Mwisho mzuri wa hili jambo ni pande zote kukaa mezani waongee kama watu wenye akili, hiki kinachoendelea ni kuzidi kujitia aibu tu.
Washakuwa wasaliti, kibaya zaidi wamekuwa wanafki kwa kujifanya wanamshkuru Mwenyekiti kwa kuwapa ile fursa.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kama Judge Mkuu halindi Mamlaka yake kwa Wivu sasa nani atamsaidia?? Mahakama kipindi hiki inasemwa vibaya kila uchao Ni jukumu lao wajitenge na kashfa hizi wasionekane hawafai..Mtu anakaa jela miezi kesi ambayo ina dhamana
Jaji mkuu naye ni mpuuzi kama wapuuzi wengine na mteuaji wao.
Taifa zima linadhalilika live!
 
Watu wana wivu meku.

Nampongeza Nusrat kwa kujiokoa.

Sifa nyingine si laazima uzipate kwa watanzania maana ni wanafiki na wenye roho mbaya tu.
Ila pia haiondoi ukweli kwamba CCM wamechemsha kwenye hii issue
 
Tatizo hapa sio ubunge wa Bi Hanje, bali tatizo ni namna gani alitolewa mahabusu? Nani alimteua kuwa mbunge kwa mujibu wa sheria za nchi? Nadhani ukweli uanzie hapo kwanza.
Nakuelewa kabisa mkuu.. na tuko kwenye same page... CCM ni wapuuzi tu wala usifikir nipo upande wao.. nimeangalia tu angle ya huyu dada
 
Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.

Tuwe tu wakweli saa nyingine

Watu hatupo huku...

Hakuna mtu mwenye shida na UHURU wa Dada Nusrat Hanje wala ubunge wake...

In fact tunamshukuru sana Baba wa mbingu na nchi kwa sababu amewafanya "wajinga na wapumbavu" waliomfunga gerezani kwa uonevu ili kwa ujinga na upumbavu wao huohuo wamtoe wenyewe tena kutoka gerezani...!

Shida na shaka ya kila mtu ni taasisi za serikali kufanya mambo kiholela pasipo kuzingatia sheria za nchi...

Huu ndiyo mjadala unaoendelea...!
 
Mkuu usichanganye haya mambo maana utafikia hitimisho batili. Hakuna aliyetaka Nusrat kuendelea kubaki jela, na kila mtu anataka ubunge. Lakini unapokubali kuupata ubunge kwa kukiuka msimamo wa chama, hapo inakuwa umejijali binafsi. Huyo dada angeitikia wito wa kamati kuu utetezi wako ungekuwa na mashiko. Tusichanganye huyo dada kukaa jela, na kilichofanyika kwenye huo ubunge maana tunapoteza mantiki.
You are so smart and intelligent ndugu...

Ni kweli, Nusrat angefika mbele ya kamati na kusema tu kuwa, yeye alikuwa gerezani na hakujua lolote linaloendelea huku nje, wajumbe wa KK wangemwelewa vizuri na kirahisi sana...

Angeendelea kujitetea kwa kusema kuwa, alipoona anakuja kutolewa gerezani hakuwa na sababu kuanza kuhoji haya mambo yamekuaje. Kilichokuwa kichwani mwake kwa wakati huo ni kufurahia uhuru wake wa kutoka gerezani...

Na angeendelea kujitetea kwa kusema pia kuwa, alijiona ni mwenye bahati ya mtende kutoka gerezani na moja kwa moja kuukwaa ubunge...

Angejitetea hivi, nina hakika wajumbe wa KK wangemwelewa vizuri sana na asingekuwa kwenye adhabu hii ya jumla na wenzake...

Kwa upande mwingine Nusrat ni kweli anayo makosa yake, lakini yasiyo ya adhabu ya kufutiwa uanachama. Mf. kosa la kushawishiwa kutenda uasi kwa mamlaka na kukubali...

Kinyume chake, mtu hawezi kuwa na shaka yoyote kuwa, dada huyu anafuata mkumbo. Amedanganywa na akadanganyika na kwa hiyo kajiunga na Kundi la waasi bila yeye kupenda...!!
 
Shida ni tr 2 za EU ndiyo maana wanatumia uongo mkubwa kudanganya watu kupitia Bunge na Nec. Kweii chadema wapeeke jina mtu yupo mahabusu na wamshauri DPP amwachie, uongo mwingine wa ajabu. Mahera anadai Nov 19 chadema wamepeeka majina kesho yake Azam Tv anaripotiwa kuwa hajapokea majina toka CDM, uongo wa ajabu kabisa. Wameshikwa pabaya hizo pesa za EU hawapati mabeberu siyo wajinga kihivyo.
Hivi hizi trillion 2 zinatolewa na EU kila mwaka au baada ya kila miaka mitano? Na hizi pesa wanapewa bunge?
 
Hivi hakuna namna ya kumshurutisha Mahera alitolee maelezo hili la Nusrat kwa umma? Hii ni dharau sana kwa watanzania.
 
Kama Judge Mkuu halindi Mamlaka yake kwa Wivu sasa nani atamsaidia?? Mahakama kipindi hiki inasemwa vibaya kila uchao Ni jukumu lao wajitenge na kashfa hizi wasionekane hawafai..Mtu anakaa jela miezi kesi ambayo ina dhamana
Mahakamaccm ni mali binafsi ya CCM majaji hawaamui kesi kwa mjibu wa Sheria bali kwa zidumu fikra zisizo za mtukufu mwenyekiti wa CCM
 
Hivi hakuna namna ya kumshurutisha Mahera alitolee maelezo hili la Nusrat kwa umma? Hii ni dharau sana kwa watanzania.
Dawa yake ni kumlaani kuandamana moyoni kumshitakia mungu kwa vitendo vyake vya kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani huku akishiriki ununuzi wa covid 19 sasa
 
Hivi hizi trillion 2 zinatolewa na EU kila mwaka au baada ya kila miaka mitano? Na hizi pesa wanapewa bunge?
Sasa hawatoi mpaka waone wabunge wa upinzani Bungeni ndiyo maana Ndungai akaamua kuwanunua covid 19 akiamini Dili lingrtiki vizuri
 
CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.

1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.

2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?

Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.

Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Wala hakuna haja ya Chadema kufungua kesi kwani wazungu wanamsemo "Never argue with a fool" kwa sinema hili la kihindi walilocheza MATAGA hakika wamezidi kujivua ngua kwa watanzania ambao sikuzote wamekuwa wakiwashangaa kwa sarakasi za kihindi wanazochezaga .Dawa yao ni kuwakalia kimya mpaka akili ziwarudi pengine....
 
CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.

1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.

2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?

Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.

Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
We have to come together as a nation and unite around our shared goal: defeating this virus called ccm
 
Nchi ina zaidi ya miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani pesa zote za walipa kodi zinatumika kudidimiza demokrasia badala ya maendeleo
 
Wala hakuna haja ya Chadema kufungua kesi kwani wazungu wanamsemo "Never argue with a fool" kwa sinema hili la kihindi walilocheza MATAGA hakika wamezidi kujivua ngua kwa watanzania ambao sikuzote wamekuwa wakiwashangaa kwa sarakasi za kihindi wanazochezaga .Dawa yao ni kuwakalia kimya mpaka akili ziwarudi pengine....
Mahakamaccm ni mali binafsi ya CCM hakuna haki kwa chadema
 
Back
Top Bottom