Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini unakubali kwamba walioucheza huo mchezo hawakujua kama mambo yangekua hivi? Huyo dada kutoka kwake ni furaha kwa kila mpenda haki lakini hawa wanaoendelea kutudanganya ni bora wakae kimya maisha yaendelee. Kama unakubali huu mchezo umechezwa basi tuko pamoja, hayo ya huyo dada kutoka ni furaha kwa wote na hilo limepiganiwa kwa muda mrefu.Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.
Tuwe tu wakweli saa nyingine
Ni maajabu ya duniaHuwa wanatumia uji kufikiri Hawa jamaa, wametuaminisha wapinzani wanapinga maendeleo wapinzani wanachelewesha maendeleo Leo wamebakia pekee yao ajabu wanatumia tena nguvu kubwa kulazimisha wapinzani waingie bungeni hapa tuwaelewe vipi nn wanataka.
Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.
Tuwe tu wakweli saa nyingine
Hii ni analysis ya nguvu. Safi sana.CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
CCM sasaivi hawaangalii tena haya mambo kwa sasaivi wao akili yao iko mbali sana, unaweza kwenda siku kwanza mahakamani kufungua hili shauri ukaambiwa tunalipilia mbali huko na msisogee tena kwenye jengo hili la mahakama., nchi yenu ipo kihuni sanaCCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Kivipi?Nusrate hanje ameonyesha 99 Kuwa hao madogo wanatumika na CCM
CCM sasaivi hawaangalii tena haya mambo kwa sasaivi wao akili yao iko mbali sana, unaweza kwenda siku kwanza mahakamani kufungua hili shauri ukaambiwa tunalipilia mbali huko na msisogee tena kwenye jengo hili la mahakama., nchi yenu ipo kihuni sana
Corona walikuwepo toka zamani huko bungeni ila muda ule wakati wanaitwa corona walikuja juu ila sasa wenyewe wamekubali kuitana corona.Na ccm wamekaribisha corona 19 (wabunge 19 ) ili waendelee kuvuna pesa au?
Tatizo waafrika wenyewe hamna utamaduni wa kuheshimu hizo katiba,unaweza kukuta mtu anapiga kelele kwa serikali kufanya jambo lililo kinyume na katiba ila mtu huyohuyo chama chake cha siasa kikifanya jambo kinyume na katiba ya chama yeye ndio wa kwanza kutetea hilo jambo bila kuangalia kuwa imevunja katiba. Unakuta tunatetea udikteta wa vyama vya siasa ila et tunataka kupinga udikteta wa serikali.Sasa hakuna katiba wala Sheria kinachofanyika ni kutumia katiba za Mabutu wa zaire na Iddy Amin dada wa Uganda kuendesha kwa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
Narudia tena kuwa Polepole aliwaita wapinzani wote kuwa ni corona na wapinzani wakang'aka sana ila sasa walewale waliyong'aka kwa kuitwa hilo jina ndio hao hao leo hii wanaitana kwa wenyewe kwa wenyewe kwa jina lilelile walilolikataa.Mtoa rushwa na mpokea rishwa wote ni wahalifu, polepole kawanunua covid 19 kala 10% cha juu kwenye huo ununuzi haramu wa kishetani, wote ni wagonjwa wa corona baada ya kuambukizana
Angerudishwa mahabusu.Hii ilikua fursa kwake kwenda kuomba samahani na 100% angesamehewa na hata sasa huyu ana nafasi kubwa ya kusamehewa kurudi kwenye chama chake kama ataomba msamaha na kuukataa ubunge ambao aliingizwa bila kufuata taratibu za chama chake.
Tatizo hapa sio ubunge wa Bi Hanje, bali tatizo ni namna gani alitolewa mahabusu? Nani alimteua kuwa mbunge kwa mujibu wa sheria za nchi? Nadhani ukweli uanzie hapo kwanza.Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.
Tuwe tu wakweli saa nyingine
Tatizo ninaloliona mimi ni ccm walishajiaminisha kwamba wana mamlaka yote katika nchi hii, hivyo wanaweza kufanya lolote na wakati wowote na maisha yakaendelea kama kawaida. Hasa katika uongozi wa huyu mzee imekuwa mambo yakienda kimaamuzi zaidi kuliko sheria zinavyosema, lakini wananchi bado tuna uvumilivu, unafiki, ubinafsi na uoga dhidi ya wanao tufanyia maovu yote haya. Hivyo wataendelea kutuburuza adi siku m/mungu atakapo ingilia kati, maana sisi wenyewe tumeshashindwa kujisimamia kupinga maovu yote tunayo fanyiwa.CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Mtanzania anae waamini ccm akappimwe akiliCCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.