Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Huwa wanatumia uji kufikiri Hawa jamaa, wametuaminisha wapinzani wanapinga maendeleo wapinzani wanachelewesha maendeleo Leo wamebakia pekee yao ajabu wanatumia tena nguvu kubwa kulazimisha wapinzani waingie bungeni hapa tuwaelewe vipi nn wanataka.
Hakika inashangaza sana[emoji3][emoji3]
 
Watz wengi dhoofu Hali mtaani huwezi amini wengi ula mlo mmoja saa 12 Hadi kesho ni watoto wadogo tu ndo angalau upikiwa wasife coz hawawezi himili njaa.
Wengine ula mara 4 kwa wiki yaani mtu akila Leo kesho anavusha Hadi kesho kutwa angalau asife njaa huu ni ushahidi kamili field.Then watawala wao wanasaza Kodi za wananchi masikini Hadi kuzichezea.
Nikitafakari Sana aisee ni bora wakoloni walikuwa na utu kuliko sie waswahili.
Mkoloni mweusi tokea chato yeye hajali kuwa kuna umasikini huko mitaani vijijini , yeye pesa yake binafsi na pesa za walipa kodi kawekeza kwenye kudidimiza demokrasia kurejesha mfumo wa chama kimoja badala ya maendeleo hataki maendeleo kabsa
 
Hawa watu wanabuni michezo ya kutakasishia Kodi zetu tu. Yule bwana mambo ya hovyo hovyo ya kuhakikisha upinzani unakufa pesa zipo we andaa propals tu.
Pesa za madawa pesa za nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma hazipo na hakuna kabsa, lakini pesa za kuua upinzani anazo saa 24 mda wowote zipo
 
Mkoloni mweusi tokea chato yeye hajali kuwa kuna umasikini huko mitaani vijijini , yeye pesa yake binafsi na pesa za walipa kodi kawekeza kwenye kudidimiza demokrasia kurejesha mfumo wa chama kimoja badala ya maendeleo hataki maendeleo kabsa
Furaha ya wakomunisti ni kuona wananchi wakiwa dhoofu Hali masikini wa kutupwa kwa kuwalimisha meno ili wawatawale. Hakuna dikteta yeyeto duniani mwenye confidence ya kuongoza matajiri na wasomi ni lzm awamalize.
 
CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.

1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.

2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?

Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.

Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Unashinda kwa mahakama ipi? Ya Mugasha? Ya Mwarija?
 
Furaha ya wakomunisti ni kuona wananchi wakiwa dhoofu Hali masikini wa kutupwa kwa kuwalimisha meno ili wawatawale. Hakuna dikteta yeyeto duniani mwenye confidence ya kuongoza matajiri na wasomi ni lzm awamalize.
Naunga mkono hoja yako kwa 100% wingi wa umasikini ndiyo unafuu wa pressure kwa CCM kwani masikini hana uwezo wa kuitikisa Serikali hata kwa kutumia ndumba tu
 
Wanafungua kesi mahakamani,wakati mahakama ipo chini ya JPM. Hizi sio enzi za Kikwete. JPM alichowafanyia kwenye ubunge majimboni,wanatakiwa akili ziamke. JPM ni Evil in human being body.
Ndiyo maana wenye akili wamegoma kwenda mahakamani ! Walishajipanga kubariki batili kwa kutumia mhuri wa mahakama.

Daima mipango iliyosukwa na mjinga hubuma kirahiiisi!
Walianza na sukari ikawashinda. Zikaja hadithi za kuokota mabehewa bandarini,mara Tr.2.5 zipo/hazijaibiwa,mara oooh nchi tumefungua viwanda zaidi ya 4000 (lakini ajira hakuna),tunajenga na kutekeleza miradi kwa pesa ya ndani (misaada ikibaniwa kidogo yowe kama lote),uchaguzi na ushindi wa kishindo n.k.

Naomba kuuliza: Hivi nani aliwaambia ccm kuhoji ni kosa??? Kolimba alipowaambia mtazamo wake ikawa nongwa.Je,huo ndiyo mnataka uwe utaratibu wa kuendesha nchi/siasa?

Mifumo na taasisi zetu zimeoza!
 
Naunga mkono hoja yako kwa 100% wingi wa umasikini ndiyo unafuu wa pressure kwa CCM kwani masikini hana uwezo wa kuitikisa Serikali hata kwa kutumia ndumba tu

Thus awataki uraia pacha diaspora sababu wale wataleta mawazo mapya ya mabadiliko.
 
Polepole aliwaita wapinzani kuwa ni corona ila wapinzani wakang'aka sana ila sasa naona wenyewe wamelikubali hilo jina wanaitana covid 19(corona) sijui Polepole aliona nini hadi akawaita hivyo.
 
Polepole aliwaita wapinzani kuwa ni corona ila wapinzani wakang'aka sana ila sasa naona wenyewe wamelikubali hilo jina wanaitana covid 19(corona) sijui Polepole aliona nini hadi akawaita hivyo.
Mtoa rushwa na mpokea rishwa wote ni wahalifu, polepole kawanunua covid 19 kala 10% cha juu kwenye huo ununuzi haramu wa kishetani, wote ni wagonjwa wa corona baada ya kuambukizana
 
Polepole aliwaita wapinzani kuwa ni corona ila wapinzani wakang'aka sana ila sasa naona wenyewe wamelikubali hilo jina wanaitana covid 19(corona) sijui Polepole aliona nini hadi akawaita hivyo.
Na ccm wamekaribisha corona 19 (wabunge 19 ) ili waendelee kuvuna pesa au?
 
Nchi ina zaidi ya miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za viwanda pesa za maendeleo pesa za walipa kodi zinatumika kwa mambo ya hovyo hovyo yasiyo na tija kwa Taifa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu, huku tuviendeleo kiduchu twa SGR flyover bwawa la umeme tumejaa ufisadi mkubwa, miradi yote mikubwa ina ufisadi hakuna kitu kinafanywa na CCM kikakosa kasoro, mapungufu na ufisadi mkubwa.
 
Filamu za ovyo nchi hii huwa haziishi.Hii ni nyingine tena,tena waongozaji hawajataka ata kuihariri angalau itizamike kwa wenye akili timamu.Alafu walioifanya ni wasomi kabisa wa nchi hii.Kuna mambo ukiyaangalia vizuri unaweza kuona hii nchi nikama bado tuko kwenye ukuaji kifikra.
Walifeli,kulikuwa hakuna option na walifukia point ya no return.

Tumeoneshwa wazi kabisa ni kwa jinsi gani katiba,sheria, kanuni namiongozo tuliyojiwekea aidha haina maana au
inafanya kazi kwa wanyonge
 
Back
Top Bottom