Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD na mshauri ni le mutuz na cyprian Musiba hiyo phD hugeuka na kuwa darasa la nnePhd maganda ya karanga
Sasa hakuna cha katiba wala Sheria bali wanatumia vitabu vya marehemu Idd Amin Dada na vitabu vya mabutu, Bokasa, Gadafi Sadam Hussein Elbashiri wa Sudan, Abacha chiluba na Akina mseveni kagameNampenda sana rais magufuli lakini ananiangusha sana kwenye swala la kusimamia utawala wa sheria.
Pesa inayotumika CCM kulazimisha kupendwa kwa nguvu na pia kuhujumu kudhoofisha chadema na upinzani kwa ujumla ni pesa nyingi mno ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi, CCM hatataki kuwekeza kwenye maendeleo wapate kura pasipo kudidimiza demokrasia badala yake wamewekeza kwenye kukandamiza demokrasia kwa gharama kubwa ili iwe sehemu ya wajanja madalali wa siasa huko CCM kupiga 10% kiufisadi, hizo mbinu za kuua upinzani ni Dili zao za kujipatia pesa toka kwa mtukufu kwa njia haramu za kishetani
Soon bashite atapewa uenezi ili ife kabisaKidogo kidogo naiona ccm ikidondoka na siyo kuanguka, yaani puuuuuh!
Laana za uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso kwa wapinzani zinawaandama hasa laana ya kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetaniKidogo kidogo naiona ccm ikidondoka na siyo kuanguka, yaani puuuuuh!
Tena ni zile taka ngumu za kudump mazima, hazihitaji hata kufanyiwa recycling.!NEC,AG na Spika ni takataka kabisa!
Huko CCM wajanja wakitaka pesa huenda kwa mtukufu na kumwambia kuwa wana mbinu mpya ya kutokomeza upinzani na ndipo hupewa pesa Yaani sasa upinzani ni Dili la kula pesa za mtukufu kwa njia haramu za kishetani, pesa za walipa kodi inateketea kwa mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa TaifaTrue hii Ni miradi ya kutakasishia Kodi zetu.
Kutumia nguvu kubwa Sana kupambana na upinzani ni mikakati ya kutakasishia Kodi zetu.Naniliu ni wa 17 afrika nzima kwa kuwa na pesa ndefu za ukwapuzi.
Kauli ya kukera ila inafikirisha.Wa kulaumiwa ni mijitu tuliyoipa fursa ya kutuongoza halafu yanatumia "masaburi" kufikiri. Ni aibu ilioje!Natafakari sana pale wazungu wanapotuita nyani kama kuna kaukweli fulan hv
Pesa inayotumika kuwanunua covid 19 ingekuwa imetumika kuleta maendeleo sidhani kama CCM wangekuwa wanatumia nguvu kubwa kulazimisha kupendwa na kudidimiza demokrasiaKila baya wawatendealo upinzani linawarudia mara 100.Hili limebuma nalo
Njia ya CCM kula pesa za mtukufu ni kupeleka list ya wapinzani ambao watarejea CCM sasa hii miradi haramu ya CCM inafirisi pesa za walipa kodiKauli ya kukera ila inafikirisha.Wa kulaumiwa ni mijitu tuliyoipa fursa ya kutuongoza halafu yanatumia "masaburi" kufikiri. Ni aibu ilioje!
Pesa za viwanda pesa za walipa kodi inapigwa na wajanja wachache huko CCM kwa kisingizio cha kurejesha mfumo wa chama kimoja kwa njia haramu za kishetaniKuna vitu vinafanyika mpaka unaona aibu kuitwa mTanzania.
True lipo wazi ukitaka pesa washughulikie wapinzani tumeona kwa mahakimu wamelamba teuzi za ujaji, wengine UDC,nk Kama fadhila kwa kuwashughulikia wapinzani na kuhakikisha awapati usingizi.Huko CCM wajanja wakitaka pesa huenda kwa mtukufu na kumwambia kuwa wana mbinu mpya ya kutokomeza upinzani na ndipo hupewa pesa Yaani sasa upinzani ni Dili la kula pesa za mtukufu kwa njia haramu za kishetani, pesa za walipa kodi inateketea kwa mambo ya hovyo yasiyo na tija kwa Taifa
Kutumia Pesa za walipa kodi kupanga kuwaza vitu vya hovyo visivyo na tija kwa Taifa ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodiUnajisumbua kuwaza bure tu wenyewe wanajua wanachofanya wanajua kitakachotokea sio wajinga kama ynavyodhan mchezo ulipangwa juu ya meza ya mninga
Ni ufisadi mpya wizi wa pesa za umma kwa njia haramu za kishetaniTrue lipo wazi ukitaka pesa washughulikie wapinzani tumeona kwa mahakimu wamelamba teuzi za ujaji, wengine UDC,nk Kama fadhila kwa kuwashughulikia wapinzani na kuhakikisha awapati usingizi.
Watz wengi dhoofu Hali mtaani huwezi amini wengi ula mlo mmoja saa 12 Hadi kesho ni watoto wadogo tu ndo angalau upikiwa wasife coz hawawezi himili njaa.Njia ya CCM kula pesa za mtukufu ni kupeleka list ya wapinzani ambao watarejea CCM sasa hii miradi haramu ya CCM inafirisi pesa za walipa kodi