FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Saa kumi asubuhi nimepishana na katoto kadogo kana begi kubwa mgongoni, hivi shule za namna gani hizi?
Nimeumia sana moyoni!
Nimeumia sana moyoni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo shule ndio sasa zinafundisha ushogaView attachment 2486909View attachment 2486910
Kama huna pesa huku unakuona kuchungu japokuwa kuna zile taabu ambazo ni kwa wote haijalishi una pesa or not.Dar ni mkoa wenye maisha ya taabu Kwa watu walio wengi, na maisha ya kifahari Kwa watu wachache
Mzazi wa huyo mtoto ndio wakulaumiwaLeo nimshuka kutoka bai la mkoani mida ya saa9 usiku hapa stand ya magu.
Kupanda daladala mida hiyo nashangaa kunakatoto kashule moyoni nikajiuliza shule mida hii nani atamfungulia.
Hilo nimoja ya gap watu wenye nia mbaya wanaweza kutumia.
#EeBabaMunguTulindieWatotoWetu
Wewe umeshakuwa mkubwa?Watoto saivi wapo kwenye mateso makali
Dah.... 💔Leo nimshuka kutoka bai la mkoani mida ya saa9 usiku hapa stand ya magu...
Intake radhi mkuu😓Wewe umeshakuwa mkubwa?
Mimi sio mkuu. Mimi ni babuIntake radhi mkuu😓
Tuige Kigali govtNimeumia sana moyoni!