Saa kumi asubuhi nimepishana na katoto kadogo kana begi kubwa mgongoni, hivi shule za namna gani hizi?

Saa kumi asubuhi nimepishana na katoto kadogo kana begi kubwa mgongoni, hivi shule za namna gani hizi?

Rwanda wanabadili muda wa watoto kwenda shule ili wapata angalau muda wa kunywa japo chai na wazazi wao hiyo taabu inamkuta mwanangu anatoka nyumbani 11:30 kigambon mpaka mikocheni aliko pangiwa shule jana kafika shule saa 1:30 mwalimu mkuu kamchapa mpaka kamtegua mkono na anajua changamoto aliyo kua nayo mtoto aliambiwa anakaa mbali
Bull shit!!!
 
Back
Top Bottom