Saa kumi asubuhi nimepishana na katoto kadogo kana begi kubwa mgongoni, hivi shule za namna gani hizi?

Leo nimshuka kutoka basi la mkoani mida ya around saa 9 usiku hapa stand ya magu.
Kupanda daladala ya gomz mida hiyo nashangaa kuna katoto kashule moyoni nikajiuliza shule mida hii nani atamfungulia.
Hilo ni moja ya gap watu wenye nia mbaya wanaweza kutumia.
#EeBabaMunguTulindieWatotoWetu
 
Mzazi wa huyo mtoto ndio wakulaumiwa
 
Ni ujinga na ulimbukeni wa elimu na asilimia kubwa ya wazazi wanaofanya hivyo ni wale ambao hawajaenda shule ila Mungu kawabariki kipato aisee hili kundi linatesa watoto mtoto darasa la pili apumziki kama hivyo kamamka sasa tisa anaenda shule kurudi nyumbani sasa tatu usiku maana.. akitoka shule anaenda tution yaani elimu inakuwa kama utumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…